Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana dear , hakika sote tutakufa tu.Hizi mada za marehemu wengine zinatuumiza sana 🥹🥹
Nipe nijaribu kupigaNamba Jpm nimeshindwa kuifuta😥😥😥
Njoo pm nikutumieNipe nijaribu kupiga
Endelea kuwa nazo tu ,utakipata unachokitafutaKuna watu ni wavivu kufutaga contact za marehemu mpaka sasa wako nazo wengine tunasave majina kwenye Gmail ukiingiza kwenye simu mpya yana jirestore.Mimi nina marehemu Watano majina yao nimeamua tu niyaache.Imma,yuni,mamkubwa,elia na fundi Tandika.
Polee sana myHizi mada za marehemu wengine zinatuumiza sana 🥹🥹
Ahsante CharlePolee sana my
Ila wizo sasa namba za watu usiowajua za kazi gani? 😀Phonebook yangu imejaa namba za watu wa mitandaoni ambao hata siwajui.
Simu yangu haina namba ya mtu ninayemjua, kwa sababu wote niliowajua niligundua ni masnichi nikawafuta.
Kwahiyo mtu akifa wala siwezi kujua.
Hata namba ya bosi sina. Nasubiri anipigie yeye.
Usiumie Mkuu!Mimi naamini huko kupo kama huku,maisha yanaendelea watu muhimu Duniani wameondoka waliobaki ni makapi tu.Ukifa unaenda kukutana na walioifanyia Dunia hii makubwa uenda ulikuwa unawasoma vitabuni tu.Hizi mada za marehemu wengine zinatuumiza sana 🥹🥹
Nilitarajia jibu kama hili😀Njoo pm nikutumie
Mhhh hongera...ni kwa neemaMimi hamna mtu ambaye nina namba yake amewahi kufariki.
Duuuh! nao ni marehemu?Nimefuta namba za wale mawakala wa branch na pesa x , nimehuzunika sana
🙏Usiumie Mkuu!Mimi naamini huko kupo kama huku,maisha yanaendelea watu muhimu Duniani wameondoka waliobaki ni makapi tu.Ukifa unaenda kukutana na walioifanyia Dunia hii makubwa uenda ulikuwa unawasoma vitabuni tu.
Unaweza ukaona sifa kuandika hivi kumbe wajanja tunakuona ni bonge LA boyaSisi majambazi tulifuta na kulewa hatar siku hiyo.
Namba za marehemu FUTA unachokitafuta utakipata siku hiyo namba itakapofanyiwa uhalifu sehemu utakua mmoja ya watu wake wa karibu hizo namba zikikaa mda mrefu bila kutumika mitandao ya simu inawapa watu wengine watumieKuna watu ni wavivu kufutaga contact za marehemu mpaka sasa wako nazo wengine tunasave majina kwenye Gmail ukiingiza kwenye simu mpya yana jirestore.Mimi nina marehemu Watano majina yao nimeamua tu niyaache. Imma, yuni, mamkubwa, elia na fundi Tandika.