Wakaz
Member
- Mar 17, 2021
- 92
- 279
Miezi sitaHivi usipotumia namba.....wanaigawa kwa mwingine baada ya muda gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miezi sitaHivi usipotumia namba.....wanaigawa kwa mwingine baada ya muda gani?
Unasajili namba mpya Unaambiwa Unadaiwa Songesha, marehemu alikua kwenye harakati za kutoboa kimaisha.Hakika hilo nalijua ila kuna sababu gani mtu kupewa namba ya mtumba(namba iliyotumika)?
Kampuni za simu ziliangalie hili
Save namba yangu na mimi nisife..Mimi hamna mtu ambaye nina namba yake amewahi kufariki.
Mtihani sana...Sasa tunao safari miezi kadhaa....hakuna namna ya kuomba wasiigawe?Miezi sita
Sijui umewaza nini huko lakini[emoji848][emoji2827]Kuna watu ni wavivu kufutaga contact za marehemu mpaka sasa wako nazo wengine tunasave majina kwenye Gmail ukiingiza kwenye simu mpya yana jirestore.Mimi nina marehemu Watano majina yao nimeamua tu niyaache. Imma, yuni, mamkubwa, elia na fundi Tandika.