Kwenye phonebook yako kuna marehemu wangapi?

Kwenye phonebook yako kuna marehemu wangapi?

Hakika hilo nalijua ila kuna sababu gani mtu kupewa namba ya mtumba(namba iliyotumika)?

Kampuni za simu ziliangalie hili
Unasajili namba mpya Unaambiwa Unadaiwa Songesha, marehemu alikua kwenye harakati za kutoboa kimaisha.

Kuna namba hua kila nikiifikiria kuifuta nashindwa kabisa, Chatting za Whatsapp nazo nimeshindwa..
R.I.P Piarizi.
 
Kuna watu ni wavivu kufutaga contact za marehemu mpaka sasa wako nazo wengine tunasave majina kwenye Gmail ukiingiza kwenye simu mpya yana jirestore.Mimi nina marehemu Watano majina yao nimeamua tu niyaache. Imma, yuni, mamkubwa, elia na fundi Tandika.
Sijui umewaza nini huko lakini[emoji848][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom