Kama ushirikina vileKuna watu ni wavivu kufutaga contact za marehemu mpaka sasa wako nazo wengine tunasave majina kwenye Gmail ukiingiza kwenye simu mpya yana jirestore.Mimi nina marehemu Watano majina yao nimeamua tu niyaache. Imma, yuni, mamkubwa, elia na fundi Tandika.
I'd fake isikudanganye kuongea Kila kitu humu huu ni mfumo wa google na humu Kuna watu wa Kila aina unaweza kuongea kama utani ila Kuna madharaUnafikiri najali basi kuhusu wewe unafikiri nini mkuu?
Pia apo nimeongea ki code RIP mwamba magufuli 🙏
Wala sio hivyo mkuu kuna kila mtu najua ,pia mimi ni mtu , alafu kingine umetafsiri vip mchango wangu ,nafikir apo ndio kuna shida.I'd fake isikudanganye kuongea Kila kitu humu huu ni mfumo wa google na humu Kuna watu wa Kila aina unaweza kuongea kama utani ila Kuna madhara
AlirogwaNi bora kufuta tu. Nilikuwa na mpenzi chuo wa IRINGA akafarik, nimekaa na namba baadae ikawa inapatikana na mtu wa tarime tena.
Mizagamuo wizooIla wizo sasa namba za watu usiowajua za kazi gani? 😀
Same boat broMungu aendelee kuwarehemu marehemu na mahayati wote nilionao kwenye phonebook yangu
Kimsingi mimi sifuti number zao deliberately, naona kama kufuta number zao ni kujitenga nao mazima. Kwangu kukaa na number zao ni kuwaheshimisha
Kifo kisikie kwa mwenzio tu , ila kadiri tunavyokuwa watu wazima ni lazima mada za vifo zojadiliwe bila uoga maana hata ukiogopa kifo kipo tu.Hizi mada za marehemu wengine zinatuumiza sana 🥹🥹
Ipo siku Utakutana na vibwengoMizagamuo wizoo
Hakuna shida mbona, maana inafutwa ule umiliki kwaiyo inakua freeHakika hilo nalijua ila kuna sababu gani mtu kupewa namba ya mtumba(namba iliyotumika)?
Kampuni za simu ziliangalie hili
Wee mwenyewe marehemu ujayeKuna watu ni wavivu kufutaga contact za marehemu mpaka sasa wako nazo wengine tunasave majina kwenye Gmail ukiingiza kwenye simu mpya yana jirestore.Mimi nina marehemu Watano majina yao nimeamua tu niyaache. Imma, yuni, mamkubwa, elia na fundi Tandika.