Kwenye sakata hili la Bandari, Prof. Kabudi, Bashiru Ally, Humphrey Polepole jiandaeni kujibu mbele ya Mungu wenu kama mnamwamini

Kwenye sakata hili la Bandari, Prof. Kabudi, Bashiru Ally, Humphrey Polepole jiandaeni kujibu mbele ya Mungu wenu kama mnamwamini

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
Binafsi Imani Yangu kwenu haikuwahi kuwa na Shaka. Ukimya wenu kwenye suala hili la bandari bila kujali nafasi mlizopewa unadhibitisha kuwa hamko tofauti na watanzania wengi wanaotetea matumbo Yao.

Haijalishi mnazo nafasi gani kwenye hii serikali. Ukimya wenu ni majibu tosha kuwa tuliwaweka kwenye nafasi ambazo hamkustahili.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Mbona mnalazimasha watu waseme.. eti Barozi! we kilaza kweli!
 
Binafsi Imani Yangu kwenu haikuwahi kuwa na Shaka. Ukimya wenu kwenye suala hili la bandari bila kujali nafasi mlizopewa unadhibitisha kuwa hamko tofauti na watanzania wengi wanaotetea matumbo Yao.
Haijarishi mnazo nafasi gani kwenye hii serikali .ukimya wenu ni majibu tosha kuwa tuliwaweka kwenye nafasi ambazo hamkustahili.

Mungu ibariki Tanzania.
Herding behavior
 
Kweli kabisa Kwa wote waliokaa kimya ina mana wanasapoti tukianzia na JK😁
 
Ukimya wao una akili tatizo ni wewe akili zako ndogo wameacha watu wajionee wenyewe kuwa ni wahuni ndiyo wanao tuongoza kwa sasa ...

watu walikuwa hawa amini kuwa wahuni wapo serikalini kwa ukubwa kiasi gani? Pia wangeonekana wao ndiyo wanamkwamisha mama ila kwa sasa wamefanya jambo jema kunyamaza ili nyoyo za wapumbavu waliompinga jpm waaibike ...leo tunawaona kina lissu na mage kimambi wanamtaja jpm kwa kumtukuza.

Kuna wahuni kama kina rostam watu walikuwa wanawatetea sana kuwa jpm anawaonea ila leo ukweli umejulikana
 
Kweli kabisa Kwa wote waliokaa kimya ina mana wanasapoti tukianzia na JK[emoji16]
Tumia akili ...polepole amefanya sawa kabisa ili uovu wa watu ufunguke .... kuna muda utafika sasa nguvu zao zitakuwa kubwa baada ya wapumbavu walio mkashifu mtukufu JPM watakapo sujudu kama kina lissu na mange kimambi na mbowe na wanafiki kina zito
 
Mbona hata wewe hujatumia akili?[emoji57]
Kivipi wewe ujui fitina za kiutu uzima ...siasa ni fitina za damu tumia akili kunyamaza kwao ni silaha kubwa sana dhidi ya wahuni ila watskuja kuongea kwa wakati stahiki
 
Binafsi Imani Yangu kwenu haikuwahi kuwa na Shaka. Ukimya wenu kwenye suala hili la bandari bila kujali nafasi mlizopewa unadhibitisha kuwa hamko tofauti na watanzania wengi wanaotetea matumbo Yao.

Haijarishi mnazo nafasi gani kwenye hii serikali .ukimya wenu ni majibu tosha kuwa tuliwaweka kwenye nafasi ambazo hamkustahili.

Mungu ibariki Tanzania.
Kimya nacho ni jibu
 
Binafsi Imani Yangu kwenu haikuwahi kuwa na Shaka. Ukimya wenu kwenye suala hili la bandari bila kujali nafasi mlizopewa unadhibitisha kuwa hamko tofauti na watanzania wengi wanaotetea matumbo Yao.

Haijarishi mnazo nafasi gani kwenye hii serikali .ukimya wenu ni majibu tosha kuwa tuliwaweka kwenye nafasi ambazo hamkustahili.

Mungu ibariki Tanzania.
Kutetea watu kila siku wasiojielewa...nikupoteza muda.. Wa Tz ni watu wa porojo. Kelele mitandaon.. hakuna lolote wanaloweza chukua hatua.. wanapandishiwa matozo.. kimya.. wanaibiwa kura.. kimya.. CAG anatoa taarifa za kutisha. Watu wameuchuna tu... Acha linchi liuzwe had hapo akil za wa Tz ztakapokaa sawa.. ningekua mbowe. Au hao uliowataja.. ningekaa kimyaa.. sabab wa Tz unafki ni mwing mno.. kina steve nyerere na sampul ya watu wa aina yake. Kina mwijaku ndo wamejaa huko kwenye chama. Ni aibu kwa vinaja wa taifa hili
 
Kabudi, Kabudi, Kabudi!!! Ukimya wako juu ya hili la bandari ni usaliti mkubwa kwa Taifa letu la Tanzania!! Lazima useme!! Au umepewa kifumba mdomo? maana si kwa ukimya huo!! Polepole kuna wah*ni wametuingiza mkenge huku!! Usipokemea wah*ni hawa na wewe utakuwa ni mmoja wao!! Bashiru, Bashiru, Bashiru!!! Si kwa ukimya huu!! Watanzania wanakushangaa!!! Je ni Bashiru huyo huyo tunayemjua au siku hizi tuna Bashiru wa kichina?? Ni kweli Bashiru tunayemjua ni wa kukaa kimya kwenye jambo kubwa kama hili la bandari zetu kuporwa jumla? Sidhani kama kuna namna nyingine kubwa ya kuwasaliti watanzania kama kukaa kimya katika kipindi hiki ambacho kila mzalendo anapaswa apaze sauti!! Kwa safari hii, kelele za chura LAZIMA zimzuie jambazi kuchota maji!!
 
Kuna baadhi ya watu ukiriwaindi tepu...natamani ingekuwa(la hau lah) hivyo.....utaona ni jinsi gani walivyokuwa mstari wa mbele kuhakikisha wale wote, wakiwamo waliotajwa kwenye mada hii....wapotezwe kisiasa.

Leo hii mnawahitaji au ndio geresha zile zile wakitokea muwakurupushe na matusi......muwakebehi, muwazodoe....Ngoja sindano iingie. Na bado mpaka kieleweke.
 
Back
Top Bottom