Kwenye sakata hili la Bandari, Prof. Kabudi, Bashiru Ally, Humphrey Polepole jiandaeni kujibu mbele ya Mungu wenu kama mnamwamini

Kwenye sakata hili la Bandari, Prof. Kabudi, Bashiru Ally, Humphrey Polepole jiandaeni kujibu mbele ya Mungu wenu kama mnamwamini

Binafsi Imani Yangu kwenu haikuwahi kuwa na Shaka. Ukimya wenu kwenye suala hili la bandari bila kujali nafasi mlizopewa unadhibitisha kuwa hamko tofauti na watanzania wengi wanaotetea matumbo Yao.

Haijarishi mnazo nafasi gani kwenye hii serikali .ukimya wenu ni majibu tosha kuwa tuliwaweka kwenye nafasi ambazo hamkustahili.

Mungu ibariki Tanzania.
.

Kichwa cha habari na andiko haviendani
 
Binafsi Imani Yangu kwenu haikuwahi kuwa na Shaka. Ukimya wenu kwenye suala hili la bandari bila kujali nafasi mlizopewa unadhibitisha kuwa hamko tofauti na watanzania wengi wanaotetea matumbo Yao.

Haijalishi mnazo nafasi gani kwenye hii serikali. Ukimya wenu ni majibu tosha kuwa tuliwaweka kwenye nafasi ambazo hamkustahili.

Mungu ibariki Tanzania.
Kabudi aliondolrwa Kwenye kamati ya negotiation kwani wawekezaji walimdanganya Samia kuwa Jamaa anamisimamo na anajua Sheria hivyo wawekezaji wanshindwa kupata wanachitaka
 
Binafsi Imani Yangu kwenu haikuwahi kuwa na Shaka. Ukimya wenu kwenye suala hili la bandari bila kujali nafasi mlizopewa unadhibitisha kuwa hamko tofauti na watanzania wengi wanaotetea matumbo Yao.

Haijalishi mnazo nafasi gani kwenye hii serikali. Ukimya wenu ni majibu tosha kuwa tuliwaweka kwenye nafasi ambazo hamkustahili.

Mungu ibariki Tanzania.
Kwani hii nchi ni yao hao na wewe tu. Nchi ya Watanzania wote.
 
Apinge wakati yeye ndiye anayaunda?

Wewe umeyaona mabadiliko, yana ubaya upi?
Yeye na jopo Ndio waliitunga hii sheria ya rasilimali za Taifa inayoenda kubadilishwa na kuitetea Chini ya Usimamizi wa JPM baada ya sakata lile la madini maarufu makinikia...!

Ndio maana anasema atamshangaa Kabudi kama atakaa kimya... ana hoja!
 
Binafsi Imani Yangu kwenu haikuwahi kuwa na Shaka. Ukimya wenu kwenye suala hili la bandari bila kujali nafasi mlizopewa unadhibitisha kuwa hamko tofauti na watanzania wengi wanaotetea matumbo Yao.

Haijalishi mnazo nafasi gani kwenye hii serikali. Ukimya wenu ni majibu tosha kuwa tuliwaweka kwenye nafasi ambazo hamkustahili.

Mungu ibariki Tanzania.
Acha mambo za kulazimisha bana, sema sana wewe mwenyewe unasikika.
 
Back
Top Bottom