Kwenye sakata la Mchungaji Kimaro, nasimama na Kiongozi wangu Askofu Malasusa

Malasusa ni kada mtiifuvwa ccm.
Nawe ni chawa ungempinga?
Sio siri kuwa Kimaro
ni chawa wa Mbowe! Hilo liko wazi. Kanisa linamsitiri Kimaro kwani kuna
ubadhirifu mkubwa wa sadaka / fedha Kijitonyama!
 
Nilisali pale 2004-2007
Kimaro awe mpole tu.
Mabadiiko ni muhimu
Bado mchungaji Mastahi wa Kimara Korogwe
Mastahi ni mmoja ya Mchg wa hovyo sana.

Nakumbuka wakati wa uchaguzi Mkuu 2020 nilisali pale Kimara Korogwe alimsimamisha Prof Mkumbo na kimpigia debe wazi wazi pamoja na yule Mzee wa Chato.

Tangu siku hiyo niliacha utaratibu wa kwenda kusali ninapokuwa Dar.Mchg Mastahi alinikwaza sana tena sana nilitoka kabla ya Ibada kumalika.Nilijiuliza hili Kanisa la KKKT limeingiliwa na mdudu gani kama Mchg ana mahaba na CCM hajui kuna baadhi ya waumini wake hawataki si CCM.

Huyu chawa wa CCM ni vyema angefukuzwa kazi mara moja au kuhamishiwa Lumumba.
 
Alikuwa anajipendekeza CCM ili wasipanue barabara eneo la kanisa,maana alichangisha watu sadaka wakanunua eneo kumbe ni hifadhi ya barabara
 
Makanisa yakijitenga na siasa basi watamhubiri Mungu wa kweli
So far makanisa yamepoteza mwelekeo
Malasusa mmm sio kabsaaa
Tuombee majumbani Mungu anasikia
Malasusa aliacha kazi ya uAskofu siku nyingi.Kazi yake kubwa ilikuwa kwenda Airport kupokea ndege za Bwana yuleee.
 
Yoote umeeleza umesahau kutaja kuwa kwenye ajira kuna na haki za muajiriwa.
Kuhamishwa kwa Dr,Kimaro kwangu sioni shida,shida ni utaratibu uliotumika kumuhamisha.
Mimi ni mluther nasikitika kuona kwamba kuna hekima zinazidi kupotea kadri kanisa linavyozidi kuwa mikononi mwa wasomi wabobezi wa theorojia kuliko lilivyokuwa mikonooni mwa wachungaji wa kiroho wenye elimu ya kawaida kwenye theolojia.

Jiulize ,kabla ya Kimaro kuletwa kijitonyama alitokea wapi? na kule kariakoo
hali yake kihuduma ilikuwaje baada ya kuhamishwa? ni ukweli usiopingika kwamba huduma zilidolora.Na wengi walihamia kijitonyama kumfuata.
Utaratibu huu wa kujenga sehemu na kubomoa sehemu nyingine siuungi mkono kama muumini wa KKKT.

Natamani uongozi wa Dayosisi ya mashariki na Pwani uwekeze kuwajengea uwezo
wachungaji wengi wawe kama Kimaro na Mastai wa Kimara badala ya kutegemea kuhamisha hao wawili
kwenda kuimalisha sehemu zilizodolora ambazo nazo zina wachungaji waliosoma vyuo sawa sawa
na wawili hawa.Tungewatumia wawe mentors wasaidie wengine kuhimalisha sharika zao.
Niko tayari kukosolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…