Pole sana mkuu...sio wewe wako wengi tu😅😅😅ni vizuri kutokueleweka saa ingine ili maisha yapate kwenda kas😄😄[emoji1][emoji1][emoji1]mwandiko wako unanipa wakati mgumu sana kujua wewe ni she or he?
Enewei!!karibu sana mkuu
Mmmh....haya bhanaPole sana mkuu...sio wewe wako wengi tu[emoji28][emoji28][emoji28]ni vizuri kutokueleweka saa ingine ili maisha yapate kwenda kas[emoji1][emoji1]
Eniwei waweza muuliza jirani yangu Iceberg9 pengine anaweza kukusaidia.
Asante sana mkuu
Kwa kweli nakuwa mgumu sana kukubaliana na weweHuo ndo ukweli mkuu sio zangu.hutaki au[emoji28][emoji28]
Mkia[emoji23][emoji23][emoji23] samaki Ni samaki tuu...Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise[emoji2296][emoji2296][emoji2296] Ninaweza nisile ugali aloo[emoji2957][emoji2957]..ninakisosomola ni kinouma[emoji2222][emoji2222][emoji1732][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa[emoji28][emoji28]namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona[emoji28][emoji28] [emoji117][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226]
Akili za kuumwa na njaa hizi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto[emoji1787][emoji1787]
Imeisha hiyoooo...[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635]
We ni haki yako kula kichwa...mi kwa kweli mkia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu umetisha aiseh loh!!!
MmmmmmmhNi nini kinachokutia ugumu “tomaso”[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeona Sasa?? Unataka kuwa msemaji wa akili yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] enhee inawaza Nini Tena?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimeshajua akili yako inawaza nini sasa hivi...[emoji1][emoji1]
Unaumwa na jino T 1990 ELYMmmmmmmh
[emoji23][emoji23] nshajua uwazalo ndo Mana umevungaa[emoji1787][emoji1787] basi ITOSHE KUSEMA...Tumewaza sawa[emoji23][emoji23][emoji28]ngoja nivunge tu hakuna namna
Haya bhana ChakoriiUnaumwa na jino T 1990 ELY
Huu mwandiko wako umekaa kinyonge mno T 1990 ELY kwaniniHaya bhana Chakorii
firigisiKwa upande wangu napenda kula kichwa aise🙆♀️🙆♀️🙆♀️ Ninaweza nisile ugali aloo🤪🤪..ninakisosomola ni kinouma🤸♀️🤸♀️🤸💃💃💃💃🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa😅😅namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona😅😅 👉🐠🐟🐠🐟🐠🐟
Akili za kuumwa na njaa hizi😅😅😅😅
Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto🤣🤣
Imeisha hiyoooo...🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂