Sheikh wangu samaki aliwa pande zote, hasa mwenye mkia mkubwa ukimla na JICHO bhasi naiinjoooy sheikh wangu [emoji104][emoji7]Jicho hili hili ambalo ni jicho au JICHO JICHO? [emoji12][emoji12][emoji12]
ila ugali samaki wa kukaanga, mchicha wa nazi au chuku chuku na kachumbari bomba sana [emoji39][emoji39][emoji39]
Moja ya vyakula nisivyovipenda ni samaki
Jicho la samaki mkuu..😂😂Jicho hili hili ambalo ni jicho au JICHO JICHO? 😜😜😜
ila ugali samaki wa kukaanga, mchicha wa nazi au chuku chuku na kachumbari bomba sana 😋😋😋
Jicho la samaki mkuu..😂😂
Hilo chukuchuku ukiwa na pilipili na likao kwa mbaaaali😋😋😋😋😋🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️Minyoo yangu jamani😅😅
Mkuu wewe unapenda sehemu gani ya samaki BAK
Hapa katikati nilikuwa buzy kiaina chief..we siumenichunia hutaki tena kunipa hints 😥
meno mabovu mm nataka vitu simple mifupa hapana siwezi nawwchia nyie wenye sharp teeth.
Leo umekula samaki ndiyo maana unatusumbua huku jiraniKwa upande wangu napenda kula kichwa aise[emoji2296][emoji2296][emoji2296] Ninaweza nisile ugali aloo[emoji2957][emoji2957]..ninakisosomola ni kinouma[emoji2222][emoji2222][emoji1732][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa[emoji28][emoji28]namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona[emoji28][emoji28] [emoji117][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226][emoji225][emoji226]
Akili za kuumwa na njaa hizi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto[emoji1787][emoji1787]
Imeisha hiyoooo...[emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635]
Utakua mchawiMoja ya vyakula nisivyovipenda ni samaki
Haya nasubiria utulie unipe hayo mabalaa 😍 Niko gud kidogo, Vp ww?Hapa katikati nilikuwa buzy kiaina chief..
Nitakucheki tu usijali ngoja nitulie.
Unaendeleaje lkni
Hivi kumbe mkia unamnofu ee..sifa nyingine