Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kama ni samaki wa kike wa pale samakisamaki namla kote masikioni mpaka jichoni tena bila huruma hata kama ananiangalia kwa huruma.
 
I don't think so...hawanivutii hasa hasa kina kambale,sijui sato na sangara

Mie aina ya samaki nayopenda ni wale kamba wale wekundu,ngisi,pweza na kaa
Kumbe unapenda lakini unamachaguzi sio!!sawa mama nitakununulia hao kamba siku moja ule mpaka uchoke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…