Kwenye samaki unapenda kula nini?

hahahahaha tembele chuku chuku home samaki JF 😜😜😜
Unafikiri nitafanyaje sasa BAK ..hakuna namna.🀣🀣

Kesho nitakula ugali na mlenda...pilau la kukubwa kienyeji JFπŸ˜…πŸ˜…

Maisha ndo haya haya baba
 
Reactions: BAK
ndugu wajumbe

kuna samaki anaitwa changu ni hatari kwa dona
🀣🀣🀣🀣🀣🀣hiyo dona hapo nahisi umechapia mkuu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Basi sawa
 
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹mkuu unashtakiwa kwa kusababisha minyoo yangu ikaanza kupiga kelele..

Mwamba hiyo sehemu ya tumbo sio poa aise.πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
Hahahahaaaa hatari sana Mkuu,.. Napata supu ya samaki karibu tufaidi wote.
 
Wewe njoo ukae kwetu. Kwenye familia yetu hakuna mtu anakula kichwa
Niambie ni wapi nianze kufunga safari mkuu...hakuna namna aiseπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜Ž
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…