T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Hata mwaliko hamuna mkuu?Sikukuu iko vizuri tunamshukuru Mungu
Siyo vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mwaliko hamuna mkuu?Sikukuu iko vizuri tunamshukuru Mungu
Sana tu... Changu, sangara, king, tasi, tuna etc etcOhoooo oky...lakini wengine si sawa mkuu
Nishataja kule juu... Ushawahi kunywa supu ya macho ya tuna?Hapo sawa kabisa....ni sehemu gani sasa unapenda sana kuila kwenye hao samaki mkuu
Mimi naenda kula nimepata mwaliko muda si mrefuNinamarafiki wengu waislam lkni wamenichinjia baharini..nipo tu sijielewi elewi mkuu
[emoji28][emoji28][emoji28]tusameheane tu
[emoji1666]Ohooo kumbee..sawa!
Nafikiri nilishawahi kunywa ila sikumbuki.
KaribuWow!!hongera mkuu..plz take care of yoself man[emoji1635]
Hahaha.....kumbe unayajua.Matobolwa mkuu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]asante
Ooh!!kumbeNilikutana nayo tabora kipindi hicho
MkiaKwa upande wangu napenda kula kichwa aise🙆♀️🙆♀️🙆♀️ Ninaweza nisile ugali aloo🤪🤪..ninakisosomola ni kinouma🤸♀️🤸♀️🤸💃💃💃💃🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasa😅😅namaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona😅😅 👉🐠🐟🐠🐟🐠🐟
Akili za kuumwa na njaa hizi😅😅😅😅
Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto🤣🤣
Imeisha hiyoooo...🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂