Kwenye soka Mhhindi hawezi kushindana na Muarabu. Kwa hali hii Yanga mpaka 2030

Kwenye soka Mhhindi hawezi kushindana na Muarabu. Kwa hali hii Yanga mpaka 2030

Haya mapito tu, hiyo miaka 6 mbele nani atakubali timu iwe mbovu kama hii huku mwekezaji akibaki yuleyule?

Hivi vilabu kwa tunaovijua Wala hatubabaiki sana, vinatoaga furaha za misimu kadhaa siyo muda wote.

Mstarajie hata Simba SC kubaki dhaifu miaka yote.

Furaha imewazidi, tambeni ila muda wa vilio ukiwafika muutumikie vizuri.
 
Haya mapito tu, hiyo miaka 6 mbele nani atakubali timu iwe mbovu kama hii huku mwekezaji akibaki yuleyule?

Hivi vilabu kwa tunaovijua Wala hatubabaiki sana, vinatoaga furaha za misimu kadhaa siyo muda wote.

Mstarajie hata Simba SC kubaki dhaifu miaka yote.

Furaha imewazidi, tambeni ila muda wa vilio ukiwafika muutumikie vizuri.
Mkuu upo nchi gani ? hujui kwamba mhindi kainunua timu moja kwa moja milele ?
 
Nakubaliana na wewe wahindi wanatabia ya ubahili , wanapenda short investment returns tofauti na longterm hii inawafanya kukosa uvumilivu wa ki uwekezaji upande wa mwarabu anajali zaidi investment impact, unaweza kuta GSM faida aliopata pale Yanga ni ndogo kuliko alichowekeza lakini hana nongwa.
 
Nakubaliana na wewe wahindi wanatabia ya ubahili , wanapenda short investment returns tofauti na longterm hii inawafanya kukosa uvumilivu wa ki uwekezaji upande wa mwarabu anajali zaidi investment impact, unaweza kuta GSM faida aliopata pale Yanga ni ndogo kuliko alichowekeza lakini hana nongwa.
Gsm kapata faida kubwa sana watu wengi wamemjua zaidi tofauti na kipindi kile alivyokua hajaanza kuwekeza yanga
 
Huyo Muhindi anaendaga sehemu na malengo hata Ubunge ilikuwa ni malengo ya kuprotect mambo yake hivyo hata hapo sio kufanya jambo kwa manufaa ya pande zote bali anaangalia zaidi upande wake
 
Muhindi anachungulia sana pochi na akiweka mzigo mkubwa ujue ni malengo ya kibiashara mfano kuinunua timu moja kwa moja.

Hebu ona haya klabu maaruufu waarabu wanaweka mizigo ya maana, wana mapenzi makubwa na pira,
acheni kutaja makabila ya watu,kuhusu muhindi kwani hamkumbuki muhindi gulamali alimgalaza mwarabu bakhressa?
 
Muhindi anachungulia sana pochi na akiweka mzigo mkubwa ujue ni malengo ya kibiashara mfano kuinunua timu moja kwa moja.

Hebu ona haya klabu maaruufu waarabu wanaweka mizigo ya maana, wana mapenzi makubwa na pira,
Hata huko duniani,waarabu ndio wananunuaji wa timu kubwa
 
Nakubaliana na wewe wahindi wanatabia ya ubahili , wanapenda short investment returns tofauti na longterm hii inawafanya kukosa uvumilivu wa ki uwekezaji upande wa mwarabu anajali zaidi investment impact, unaweza kuta GSM faida aliopata pale Yanga ni ndogo kuliko alichowekeza lakini hana nongwa.
Kwa Tanzania wafanyakazi wanaofanya kwa wahindi ndio wanaongoza kwa dhiki na malalamiko lkn hawaachi kazi.
 
Gsm kapata faida kubwa sana watu wengi wamemjua zaidi tofauti na kipindi kile alivyokua hajaanza kuwekeza yanga
Hio ndio tunaita investment impact ndio alicholenga GSM sio faida ya hela kutoka Yanga hata MO amefahamika sana kupitia Simba ,Shida ya Mo yeye anataka apate vyote kwa wakati mmoja hela.ya faida na Umaarufu wa brand zake na jina.
Mfano mchukule Ronaldo , Benzema , Mane ,Neymer na wenzake wamesajiliwa kwa pesa nyingi na mishahara juu katika ligi ya Saudi sio kwasababu ya faida mkononi bali ni ile effect yao
 
Yana muda basi! Ngoma ikivuma sana .....
Muda hapa hakuna Yanga inaimarika kila mwaka, na tukimchukua Dube, Yanga itakuwa moto sana, mtani kilio cha kolowizard ni miaka mingi mbele!!
 
Back
Top Bottom