Mabinti wote wa kitanga ambao nishawahi kuwa nao, ilikuwa hata tugombane vipi, sinyimwi shoo. Ila akiondoka Bado ataendelea kukununia, wanapenda kudeka sana, japo wao pia ni mafundi wa kudekezaKwa jinsi hiyo hata wanaume wao watakuwa hawana magonjwa ya pressure,kama huku kwingine mara mnagombania mali,mara hajapika kisa na yeye kachoka,mara chakula cha usiku hupewi mpaka atakapojisikia,mara unarudi nyumbani anaambiwa house girl kampokee baba na umuandalie na chakula,hatari sana kwakweli...
Hilo ndo kubwa Yaniπ€£π€£π€£ Full kubadilisha channel.Kuna kitu kimesahaulika mleta uzi
Sio wachoyo kutoa mtandao pendwa
Wahehe uvivu labda muanze miaka hii ya karibuniSisi wahehe tunasubiti uziwetu wa uvivu na kutojua kubembelezaπ
Mwanamke hata awe na umri gani, still anahitaji guidance ya mumewe. Tanga sio viuno, wako vizuri angle nyingi. Ukitaka viuno, sogea uzaramuni pale. Hiyo sekta nawapa sifa zao, ni undisputed. Ila kwingine ni sifuriIli mwanamke awe wa kufaa kuwa Mpenzi au mke anatakiwa kuwa na wastani wa Sifa fulani kadhaa. Yaaani full package.
Na sio kigezo kimoja tu cha kukatika mauno .
Actually kukatika mauno ni Sifa ya ziada au nyongeza baada ya mambo ya msingi kutumia.
Katiba mpya sio wali ukisema wakila wanashiba πHawa ndo Vijana wa kibongo.
Wallah hatupatu katiba mpya kwa mwendo huu
Alafu wapole balaa sema vihadura hasira vya chini chiniWahehe uvivu labda muanze miaka hii ya karibuni
Nilipokua mdogo wadada wa kazi wote walikuwa wanatokea pande hizo kuna mmoja tulikaa nae karibia 10yrs alikuwa kama ndugu very humble pamoja na kuwa tulikuwa tunamkanyaga kanyaga mabegani na mambo mengine ya utoto she was fine
Wahehe wanapiga kazi sana, pia wakarimu. Alaf ni wavumilivuWahehe uvivu labda muanze miaka hii ya karibuni
Nilipokua mdogo wadada wa kazi wote walikuwa wanatokea pande hizo kuna mmoja tulikaa nae karibia 10yrs alikuwa kama ndugu very humble pamoja na kuwa tulikuwa tunamkanyaga kanyaga mabegani na mambo mengine ya utoto she was fine