Kwenye suala la mapenzi, mabinti wa kitanga ni undisputed

Mabinti wote wa kitanga ambao nishawahi kuwa nao, ilikuwa hata tugombane vipi, sinyimwi shoo. Ila akiondoka Bado ataendelea kukununia, wanapenda kudeka sana, japo wao pia ni mafundi wa kudekeza
 
Sisi wahehe tunasubiti uziwetu wa uvivu na kutojua kubembelezaπŸ˜€
Wahehe uvivu labda muanze miaka hii ya karibuni
Nilipokua mdogo wadada wa kazi wote walikuwa wanatokea pande hizo kuna mmoja tulikaa nae karibia 10yrs alikuwa kama ndugu very humble pamoja na kuwa tulikuwa tunamkanyaga kanyaga mabegani na mambo mengine ya utoto she was fine
 
Ili mwanamke awe wa kufaa kuwa Mpenzi au mke anatakiwa kuwa na wastani wa Sifa fulani kadhaa. Yaaani full package.

Na sio kigezo kimoja tu cha kukatika mauno .

Actually kukatika mauno ni Sifa ya ziada au nyongeza baada ya mambo ya msingi kutumia.
Mwanamke hata awe na umri gani, still anahitaji guidance ya mumewe. Tanga sio viuno, wako vizuri angle nyingi. Ukitaka viuno, sogea uzaramuni pale. Hiyo sekta nawapa sifa zao, ni undisputed. Ila kwingine ni sifuri
 
mamaJ Ni msukuma ila Moto wake hata
Ex wangu suriana mdigo wa Tanga haoni ndani[emoji4]
Muwamba ngoma uvutia kwake. Huyooo ni chaguo lakooo, huyo ni chaguo lakooooπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Alafu wapole balaa sema vihadura hasira vya chini chini
 
Wahehe wanapiga kazi sana, pia wakarimu. Alaf ni wavumilivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…