Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani utakuwa unavutia hivyohivyo Kama uandishi wako!tukielewana mimi Ni mfipa unaeza pata na experience za Sumbawanga!π€π€πππ Shukrani J
[emoji16][emoji16] dirisha lipo wazi kwa haohao wachezaji wanaojituma[emoji28][emoji28][emoji28] Bado nipo kwenye mechi za kirafiki, uwanja wa kukodi. Wachezaji wanajituma, pengine dirisha kubwa tutafanya usajili[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Alafu sasa mwanamke yule kanikoleza na utamu baada ya hapo kanifungia madirisha kabisa yaani ndio imebakia memory tuuNaona kakupoteza kabisa π π
πππππWe kumbe ndio wale msiochagua bia!kutoka tanga mpaka mpanda!Nialike pm nilete CV zangu. Nimepamiss Mpanda π
usinambie nimeikalia ajira bila kujua?? ngoja nichangamkie fursa, ila kwenye hio chai ya makuti nimecheka kama mjinga hata mimi chai ya majani matupu siiwezi bora nichemshe mchaichai bila majani ya chai nakunywa bila shidaMmh ya kweli hayo? Tanga binti yeyote aliyevunja ungo, akija bara ni mwalim/ kungwiπ π π
Jamaa inaonekana mnanichora sana humu yaani kila mtu anasema mnaniachia mimi kitengo cha kwa mpalange π€ππ π π Hicho kitengo nakuachia ww mkuu
Tanga kwa limbwata ndo wenyewe hao wengine wanaiga tuLimbwata tena?? Nyie ndio mnafanya baadhi ya vijana wasioe
π π π Nimeandaa chai, alaf yeye naiita maji ya makuti???usinambie nimeikalia ajira bila kujua?? ngoja nichangamkie fursa, ila kwenye hio chai ya makuti nimecheka kama mjinga hata mimi chai ya majani matupu siiwezi bora nichemshe mchaichai bila majani ya chai nakunywa bila shida
Madam s wewe ni wa wapi mbona kama ni wa tanga hiviWewe yanakusaidia nini ukishayajua?? Umeisoma thread kweli?? Umeambiwa kwenye elimu ni Kagera unataka kujua huku iwe vipi sasa
Tanga kwa limbwata ndo wenyewe hao wengine wanaiga tu