Kwenye suala la mapenzi, mabinti wa kitanga ni undisputed

Tanga ni Kwa wote. Hata wageni wakiingia Kwa mara ya kwanza, lazima waweke kambi. Ntakuja kununua kiwanja huko, nikaribisheni [emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787] karibu sana Mr Analyse ukija huku njoo na nguo ulizovaa tu
 
Inatokana na wewe ulikuaje mimi nimejaa tanga miaka minne ni mgeni natokea dar sijaona cha ajabu tena naona kwenye chakula hakuna kitu si tumezoea dambo dambo fresh nyama choma kuku sekela chapat upate za zahir au chief pride tanga hawaingii hata kwa sent hawana lolote hata mapenz hawajui ni wizi tu kwa malimbuken
 
Kama huna hela ya kununua nyama ( kilo 10000) usijifariji kwa kusema babichi tamu ( Fungu 200).Tafuta hela ule nyama mkuu
 
yaani kichwa chako kimejaa upumbavu mtupu wa ngono ngon tu. what awasted sperm!
 
yaani kichwa chako kimejaa upumbavu mtupu wa ngono ngon tu. what awasted sperm!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Sasa mkuu, umekuja kwenye jukwaa la mahusiano na mapenzi,alaf unataka tujadili nini?

Nenda kaanzishe mada kwenye jukwaa la biashara au siasa, nitakuja kuchangia 😊😊
 
Kama huna hela ya kununua nyama ( kilo 10000) usijifariji kwa kusema babichi tamu ( Fungu 200).Tafuta hela ule nyama mkuu
We jamaa nyama ndio unaona bei ghali sana? Mbona me nimechoka kula nyama mpaka nimeamua kuwa vegetarian, anyways kuna kitu huelew labda mkuu nyama pekeake haitoshag mboga zingine lazima ziwepo mkuu sikusema kama nyama haipo hata vikiwepo vyote na kabichi( sio babich kama ulivyosema wewe), mimi nlikuwa kabich sili, mkuu yan naweza kuaford vodacom Superfast 100, offering download speeds of up to 100Mbps, and upload speeds of up to 18Mbps, nishindwe nyama, your kiding right?
 
Nakubaliana na Mtoa mada Tanga si Mchezo lakini pia hawa mabinti wa musoma nao wako vizuri jamani mi nimebahatika juwa nao wawili toka kanda maalum aaah si haba ila wanahasira kitu kidogo Jazba
 
Nakubaliana na Mtoa mada Tanga si Mchezo lakini pia hawa mabinti wa musoma nao wako vizuri jamani mi nimebahatika juwa nao wawili toka kanda maalum aaah si haba ila wanahasira kitu kidogo Jazba
You can say that again... Albinoomweusi Mara ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…