Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi na shule....Tunaomba matokeo yao ya form four..mapenzi ya utapeli
Kama kaniroga vile mhuni huyuHongeren sana aisee.
🤣🤣Natafuta mdada mtanga awe kungwi wangu
Ww binti acha nikae kimya tuulimbwata tena?? nyie ndio mnafanya baadhi ya vijana wasioe
Hongera sana, watu wanatofautiana..Itoshe kusema huu ushuhuda ni wa kweli
Sitaki kukumbuka vitu nilivyokuwa napewa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi nilipata dem wa kikuria akawa ananinolea panga, nikifika ananiambia babe nimekuandalia panga kwaajili ya kunipiga , nikikataa kumpiga analia anasema simpendi sina wivu na yeye
Humble AfricanWay back niliendaga Tanga nikanunua demu elfu 17, akaniambia hiyo hela ya gesti Bora nikalale kwake tu then nimpe yeye. Nikakubali nikampa 27.
Wewe! Kumbe pale bei elekezi Huwa ni buku 7 tu... Kwa hiyo nimempa top 10 na 10 ya kwake.
Nilipewa Bumbu Hadi nikasusa maana nikaanza kukojoa upepo na sio BAO tena.
Asubuhi, nikapikiwa chai na chapati kama mume kabisaa. I was shocked.
Nikajisemea nikiendekeza mapenzi ishu zangu zote zitaishia hapa. Nikajikaza nikasepa zangu home Mwanza. [emoji16]
I'm doing very fine. It's always pleasure kukuona best yangu wa dhati hapa JF. Makiwendo .
vipi tenaWw binti acha nikae kimya tuu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Fungua pm dada, nasikia hadi pm yako inanukia iliki 😁😁
yeahKumbe mtoto mashaallah unatokea kanda yenye huba.