Kwenye suala la mapenzi, mabinti wa kitanga ni undisputed

Aisee nusu nianze kulia umenikumbusha mbali chief, tena yule mtoto alikuwa anajua kupika sijui nilikosea wapi, yan me nlikuwa sipendag kabich, dagaa, spinach na vitu kama izo ila yule demu ndio alinifanya nijue kumbe kabich ni tamu kama nyama tu aisee.. Nimekuja kuangukia kwa mtu anajua kupiga ugali maharage na maparachichi ya tukuyu aiseee... 😭😭😭😭😭
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mkuu. Kuna siku ex boyfriend kaja na ndugu yake nikawapikia. Yule ndugu yake akawa anamwambia ex bf, aaah mura kumbe huku ndo unalishwa hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hapo kwenye jikoni Tanga tuko vizuri



Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…