Kwenye suala la mapenzi, mabinti wa kitanga ni undisputed

Ndugu yangu acha kabisa watu wa nyanda za juu kusini mambo ya mapish wahayajui, kubembelezahawajui yan tafran daaah... Maisha haya... Yule mtoto alikuwa ndani anashinda na mtandio unaoangaza ndani kavaa kufuli zuri yan akiwa anapika me nipo nyuma mashine isha simama, Itoshe kusema watu wa TA ni noma. Wenyewe wanasema mchele unalimwa mbeya wali unapikwa Tanga na ni kweli...
 
Hakika wali unapikwa Tanga[emoji4][emoji4]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Mwaka flani tulikuwa group la vijana 4 mmoja uyo ndio mwenye pesa na hiyo Idea ya kilimo cha kitunguu basi tukajikusanya hao mpaka Tanga juu uko basi round ya kwanza tukalima fresh tukapata faida round ya pili sasa mbona tulijuta baada mwenye hiyo project kuingia na mausiano na mtoto wa kitanga siku 3 haji shamba akija kaulamba anatoa amri tu tufukuze nyani atukuchukua round tukamkimbia na shamba lake mpaka sasa yupo uko Tanga now anavaa Kanzu
 
Waliokukia vijijini sawa.siyo hawa dot.com
Ni hovyo hovyo
 
💯🤝

Nakazia hapa hili jambo nimelisema mara kwa mara.

Utundu wa mwanamke kunako 6×6 unadtermine idadi ya round anazoenda mwanaume kitandani.

Hapa michepuko ndo inapochokua point 3 muhimu hawafanyagi makosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…