Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mbinu ni zile zile hakuna jipya katika Serikali zetu za Kiafrika. Kutengeneza tatizo halafu unalitatua.
Tumeona jinsi ambavyo sasa wana CCM wameambiwa wajifanye kumwomba Rais Samia aangalie suala la tozo mpya ya miamala ili baadaye Rais aseme amesikia kilio cha wananchi na kuondoa.
Inabidi watumike CCM na si wapinzani ili isije onekana amewaogopa wapinzani. Tutasikia Jumuiya, Wabunge na viongozi kadhaa wa chama wakisema wameongea na Rais naye atatoa tamko.
MAMA ANAUPIGA MWINGI INGAWA NI NJE YA UWANJA.
Tumeona jinsi ambavyo sasa wana CCM wameambiwa wajifanye kumwomba Rais Samia aangalie suala la tozo mpya ya miamala ili baadaye Rais aseme amesikia kilio cha wananchi na kuondoa.
Inabidi watumike CCM na si wapinzani ili isije onekana amewaogopa wapinzani. Tutasikia Jumuiya, Wabunge na viongozi kadhaa wa chama wakisema wameongea na Rais naye atatoa tamko.
MAMA ANAUPIGA MWINGI INGAWA NI NJE YA UWANJA.