Kwenye suala la Tozo, Rais Samia ataibukia hapa kuonesha ni msikivu

Kwenye suala la Tozo, Rais Samia ataibukia hapa kuonesha ni msikivu

Hili ni suala relative, kama una kipato kikubwa na hela yako rahisi kutoka huwezi kuona hili kama jambo kubwa.

Jambo la muhimu ni kujua "the point of diminishing returns" kwa nfumo mzima.

Si kila mtu ana kipato kama chako.

Kwa kuangalia miamala ilivyodorora siku chache zikizopita, inaonekana watu wengi hawakubaliani nawe.

Kitu kingine, kuna msemo "Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno".

Hizi kodi na tozo zinatumika kwa ufanisi kivipi?

Kuna nchi nyingi kama kwa mfano za Scandinavia zinatoa kodi kubwa, lakini wananchi wanaona kodi zinafanya kazi gani, shule bure mpaka chuo kikuu, matibabu bure, huduma bora mpqka magerezani etc. Hapo hata mwananchi haoni tqmabu kulipa kodi kubwa.

Sasa huku kwetu kila kukicha unasikia scandal watu wameiba hela, hapa EPA, hapa Deep Green, you name it. Sasa hapo unategemea wananchi wawe na imani na mfumo?

Rais kapendekeza lijengwe daraja jipya Selander, mawqziri wamemwambia daraja halina tija hapo, lingewekwa sehemu nyingine, rais kasema hapa daraja litapendeza, watu watapiga picha. Akala,imisha daraja lijengwe ili watu wapige picha. Kwa gharama sana. Halafu watu wakamuliwe mpaka mavi kulipia gharama.

Hapo watu wakiona tozo hizi ni ujinga utawakatalia?
Hakuna pesa rahisi wala kipato kikubwa ,naona hii ni serikali ya kubembelezana kulipa kodi
 
Huyu hapa

IMG-20210718-WA0139.jpg
 
Nimekuuliza hivi.

Unafahamu Laffer Curve ni nini?

Hujajibu.
Huu sio wakati wa kufanya uchambuzi wa curves ni muda wa kulipa kodi tutoke hapa tulipo kujadili vyoo miaka na mikaka.

Uchina hakuna upumbavu kama huo ,amri ikitoka ni utekelezaji ndio maana wapo hapo.
 
Huu sio wakati wa kufanya uchambuzi wa curves ni muda wa kulipa kodi tutoke hapa tulipo kujadili vyoo miaka na mikaka.

Uchina hakuna upumbavu kama huo ,amri ikitoka ni utekelezaji ndio maana wapo hapo.
Nimeelewa kwa nini una support kodi na tozo hizi.

Wewe na serikali yako mnapenda sana kukubali vitu kabla ya kuangalia data.

Your willful ignorance is as alarming as your cockamamie confidence.
 
Nimeelewa kwa nini una support kodi na tozo hizi.

Wewe na serikali yako mnapenda sana kukubali vitu kabla ya kuangalia data.

Your willful ignorance is as alarming as your cockamamie confidence.
Wewe pumpkin head cha maana ulichochangia ni kitu gani pamoja kujinadi kujua kuchambua curves zaidi?
 
Wewe pumpkin head cha maana ulichochangia ni kitu gani pamoja kujinadi kujua kuchambua curves zaidi?
Wewe umeshindwa kujadili Laffer Curve naona unaniletea ushuzi tu hapa nakupeleka ignore list kabla hujachafua hali ya hewa.

Kuanzia hapa sitaona mchango wako wowote.

"Much success to you, even if you wish me the opposite.
Sooner or later we'll all see who the prophet is".

Nas - " Nas Is Like".
 
Wewe umeshindwa kujadili Laffer Curve naona unaniletea ushuzi tu hapa nakupeleka ignore list kabla hujachafua hali ya hewa.

Kuanzia hapa sitaona mchango wako wowote.

"Much success to you, even if you wish me the opposite.
Sooner or later we'll all see who the prophet is".

Nas - " Nas Is Like".
Kitu kisichokuwa na maana naanzaje kupoteza mda na nguvu kujadili?

Kwamba mkiachiwa vihela vyenu hivyo vitawasaidia nini cha maana ukilinganisha na kujaza kibaba zikajenga barabara,maji,madarasa nk?

Badala ya kujadili namna ya kufunga mikanda na kutatua changamoto za miaka na miaka unaleta porojo za curves,informal economy na curves wapi na wapi wewe mchambuzi feki
 
Kitu kisichokuwa na maana naanzaje kupoteza mda na nguvu kujadili?

Kwamba mkiachiwa vihela vyenu hivyo vitawasaidia nini cha maana ukilinganisha na kujaza kibaba zikajenga barabara,maji,madarasa nk?

Badala ya kujadili namna ya kufunga mikanda na kutatua changamoto za miaka na miaka unaleta porojo za curves,informal economy na curves wapi na wapi wewe mchambuzi feki
Screenshot_20210719-225602~2.png
 
Unafahamu "Laffer Curve" ni nini?

Laffer Curve​


By
ADAM HAYES


Reviewed by
MICHAEL J BOYLE

Updated May 19, 2021

What Is the Laffer Curve?​

The Laffer Curve is a theory formalized by supply-side economist Arthur Laffer to show the relationship between tax rates and the amount of tax revenue collected by governments. The curve is used to illustrate the argument that sometimes cutting tax rates can result in increased total tax revenue.
 
Hakuna cha tozo kubwa hiyo ni tozo ya kawaida tena inafidia Ukwepaji kodi kunakofanywa na wananchi kutodai na kutoa risiti.. yaani kwenye 130,000 kwa mfano unakatwa 6180 ndio pesa nyingi hiyo?

Hapo kuna faida ya kampuni 3650 na tozo ya serikali 2530 sasa tozo kubwa iko wapi? VAT inalipwa na kampuni
Dah kweli we differ Mimi 500 ni kubwa ka laki hivi kwa kweli hzo tozo tuwaachie matajiri, tu ndo wanaweza
 
Back
Top Bottom