Kwenye Utawala wa awamu ya 5, Viongozi wa Chadema walikamatwa, walitekwa, walifungwa jela, walipotezwa, walijeruhiwa na wengine waliuawa

Binafsi Namshukuru kwa kazi nzuri ya kuwasafirisha kuzimu wahuni. Ameondoka na makumi ya wahuni walioinyonya nchi hii.

Hata mungu hakusubiri mwisho wa dunia ili aihukumu sodoma, alipoona uhuni wao umezidi Kiasi aliwamaliza.

Aliyoyafanya uncle ni kama alipanda mbegu tu, Tusubiri miche ichipue. Wahuni watendelea kupata tabu ileile.

NIMEMIS SANA KUSIKIA HABARI ZA WAHUNI KUOKOTWA KWENYE VIROBA
 
Binafsi Namshukuru kwa kazi nzuri ya kuwasafirisha kuzimu wahuni. Ameondoka na makumi ya wahuni walioinyonya nchi hii.

Hata mungu hakusubiri mwisho wa dunia ili aihukumu sodoma, alipoona uhuni wao umezidi Kiasi aliwamaliza.
Mmh!
 
Chadema walishawahi kuteka mtu? Walishawahi kutesa mtu? Chadema wanakula pesa za umma?

Au chadema wanauza Rasilimali za Taifa kwa Mabeberu?
Hapo mwisho hapo

Chadema ndio vibaraka wa wezi wa mali za umma

Akiongozwa na Mbombo ngafu Makelele wa Ubeljiji
 
Wewe ni mjinga. Tapeli na kundu. Watanzania Wana kero nyingi kwasasa ndiyo za kuwasaidia na si upumbavu unao andika hapa kwa chuki binafsi. Mawazo kafa hata Magufuli hajaapishwa
 
Lakini mama amerejesha democrasia na amani, yote yamebaki historia. Mama anaupiga mwingi
 
Kwa maovu haya ndiyo maana DIKTETA hakuchukua muda mrefu Mungu akampeleka jehanam
 
Oops! We ran into some problems

You do not have permission to view this page or perform this action.
 
Awamu ya tano wewe na yule wa kujiita Stroke mlisherehekea ukatili kila siku humu. Awamu hii imekutengeni mnaisoma namba tu. Naona tukilalamikia tabu zinazosababishwa na serikali tupo pamoja nanyi sasa. Adabu itawakaa.
Kumebadilika nini raisi Samia,makamo Mpango,pm Majaliwa nini kimebadilika au chadema wapo madarakani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…