Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Habari za jion
Sorry mimi sio mtaalamu sana wa kuandika kiswahili naomba tuvumiliane
Naenda direct leo nilikuwa nimeenda sehemu fulani uko wakati na naludi usafiri ulikuwa unasumbua ikabidi nisubilie kwenye kijiwe cha boda boda ndipo nikaaza kuona vimbwanga
Boda boda mmoja akawa amemkumbatia mwezake uku ana mnonya shingo nikashangaa sana walivyo ona nawatolea macho waka stop
Nikapiga jicho pengine naona mwingine ana anza mtekenya mwezie nae mwizie anacheka yaani kafulahishwa na hicho kitendo nikawa nadua tu
Hapaja kaa sawa nawaona wale wa mwazoni wana anza tena nikawa nataman kuwauliza nini kinaendelea hapa hila nikasema sio watoto wangu kazi kwako
Nimeamini leo kuwa kwenyee hivyo vijiwe hayo mambo yapo mengi sana af watoto wakiume now wameona ndio mchezo
Sorry mimi sio mtaalamu sana wa kuandika kiswahili naomba tuvumiliane
Naenda direct leo nilikuwa nimeenda sehemu fulani uko wakati na naludi usafiri ulikuwa unasumbua ikabidi nisubilie kwenye kijiwe cha boda boda ndipo nikaaza kuona vimbwanga
Boda boda mmoja akawa amemkumbatia mwezake uku ana mnonya shingo nikashangaa sana walivyo ona nawatolea macho waka stop
Nikapiga jicho pengine naona mwingine ana anza mtekenya mwezie nae mwizie anacheka yaani kafulahishwa na hicho kitendo nikawa nadua tu
Hapaja kaa sawa nawaona wale wa mwazoni wana anza tena nikawa nataman kuwauliza nini kinaendelea hapa hila nikasema sio watoto wangu kazi kwako
Nimeamini leo kuwa kwenyee hivyo vijiwe hayo mambo yapo mengi sana af watoto wakiume now wameona ndio mchezo