Kwenye vijiwe vya boda boda kuna mambo ya ovyo sana

Kwenye vijiwe vya boda boda kuna mambo ya ovyo sana

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Habari za jion

Sorry mimi sio mtaalamu sana wa kuandika kiswahili naomba tuvumiliane

Naenda direct leo nilikuwa nimeenda sehemu fulani uko wakati na naludi usafiri ulikuwa unasumbua ikabidi nisubilie kwenye kijiwe cha boda boda ndipo nikaaza kuona vimbwanga

Boda boda mmoja akawa amemkumbatia mwezake uku ana mnonya shingo nikashangaa sana walivyo ona nawatolea macho waka stop

Nikapiga jicho pengine naona mwingine ana anza mtekenya mwezie nae mwizie anacheka yaani kafulahishwa na hicho kitendo nikawa nadua tu

Hapaja kaa sawa nawaona wale wa mwazoni wana anza tena nikawa nataman kuwauliza nini kinaendelea hapa hila nikasema sio watoto wangu kazi kwako

Nimeamini leo kuwa kwenyee hivyo vijiwe hayo mambo yapo mengi sana af watoto wakiume now wameona ndio mchezo
 
Hivi asilimia ngapi ya watz ni wendawazimu.?....Rejea takwimu siku nyingine usishangae bure ukasahau wajibu wako wa kujenga taifa...
 
Afya ya Akili na bodaboda wengi Akili zao moja kuna boda mmoja nilimwona anamshika mwezake makalio nkamuuliza vipi mbona unapromote ushoga akaanza kujitetea ana utani nae wa kushikana matako aibu.
Dah akakujibu bila hofuu utani?
 
Habari za jion

Sorry mimi sio mtaalamu sana wa kuandika kiswahili naomba tuvumiliane

Naenda direct leo nilikuwa nimeenda sehemu fulani uko wakati na naludi usafiri ulikuwa unasumbua ikabidi nisubilie kwenye kijiwe cha boda boda ndipo nikaaza kuona vimbwanga

Boda boda mmoja akawa amemkumbatia mwezake uku ana mnonya shingo nikashangaa sana walivyo ona nawatolea macho waka stop

Nikapiga jicho pengine naona mwingine ana anza mtekenya mwezie nae mwizie anacheka yaani kafulahishwa na hicho kitendo nikawa nadua tu

Hapaja kaa sawa nawaona wale wa mwazoni wana anza tena nikawa nataman kuwauliza nini kinaendelea hapa hila nikasema sio watoto wangu kazi kwako

Nimeamini leo kuwa kwenyee hivyo vijiwe hayo mambo yapo mengi sana af watoto wakiume now wameona ndio mchezo
Una uhakika ulikuwa kituo cha bodaboda au cha mashoga?
 
Back
Top Bottom