Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
Sasa mbona umesema ivyoSina mazoea ya kifala mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona umesema ivyoSina mazoea ya kifala mkuu.
Aiseee inafikirisha sana hayo mambo kila kukicha yanazidi ni nini shida
Vijana wanaishaHabari za jion
Sorry mimi sio mtaalamu sana wa kuandika kiswahili naomba tuvumiliane
Naenda direct leo nilikuwa nimeenda sehemu fulani uko wakati na naludi usafiri ulikuwa unasumbua ikabidi nisubilie kwenye kijiwe cha boda boda ndipo nikaaza kuona vimbwanga
Boda boda mmoja akawa amemkumbatia mwezake uku ana mnonya shingo nikashangaa sana walivyo ona nawatolea macho waka stop
Nikapiga jicho pengine naona mwingine ana anza mtekenya mwezie nae mwizie anacheka yaani kafulahishwa na hicho kitendo nikawa nadua tu
Hapaja kaa sawa nawaona wale wa mwazoni wana anza tena nikawa nataman kuwauliza nini kinaendelea hapa hila nikasema sio watoto wangu kazi kwako
Nimeamini leo kuwa kwenyee hivyo vijiwe hayo mambo yapo mengi sana af watoto wakiume now wameona ndio mchezo
Mithali 22:6 Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.Basi shida kuna muda nasema mtoto wangu akikua akasome nje uko au ni mfwate mpaka darasani nakosa jibu
Basi uzi wako hauna mantikiSikuweza kuwapiga picha na sikuwa na wazo hilo la kuwapiga picha
mno, mazoea ya kupitiliza.Hii ni tamaduni ya hovyo sana
aBasi uzi wako hauna mantiki
Vijana wanaisha
huwa nawaona kama ww ulivyowakuta.Sasa mbona umesema ivyo
Ulitaka niwapige picha?Basi uzi wako hauna mantiki
Tayari ushatamani lile tako....Hivi makonda hawezi kurudishwa kuwa RC?🤔🤔🤔🤔 nimeuliza tu
sikute hizo pea mwanaume ni yule mwenye boda mwingine wake hupewa day wako so anabembeleza kwa kutekenywa au kuny oon ywaa. Mungu atuokoe. Tunateketea.Habari za jion
Sorry mimi sio mtaalamu sana wa kuandika kiswahili naomba tuvumiliane
Naenda direct leo nilikuwa nimeenda sehemu fulani uko wakati na naludi usafiri ulikuwa unasumbua ikabidi nisubilie kwenye kijiwe cha boda boda ndipo nikaaza kuona vimbwanga
Boda boda mmoja akawa amemkumbatia mwezake uku ana mnonya shingo nikashangaa sana walivyo ona nawatolea macho waka stop
Nikapiga jicho pengine naona mwingine ana anza mtekenya mwezie nae mwizie anacheka yaani kafulahishwa na hicho kitendo nikawa nadua tu
Hapaja kaa sawa nawaona wale wa mwazoni wana anza tena nikawa nataman kuwauliza nini kinaendelea hapa hila nikasema sio watoto wangu kazi kwako
Nimeamini leo kuwa kwenyee hivyo vijiwe hayo mambo yapo mengi sana af watoto wakiume now wameona ndio mchezo
MKuu ushapata nafasi? Unaenda lini? Niombee na mimi nafasi mbili na ya mke wangu. TutKuja tu ila usituite wewe.Tayari ushatamani lile tako....
Mbinguni tutaenda wachache sana...
Washalusumbua sana ninWache wawe mashosti competition ipungue. Wale boda wenzao mashababi wasumbufu sio poa
Hao jamaa ni msala boss. Ukishaskia “nna boda wangu” manake mchezo ushaishaWashalusumbua sana nin