Kwenye vijiwe vya boda boda kuna mambo ya ovyo sana

Kwenye vijiwe vya boda boda kuna mambo ya ovyo sana

Habari za jion

Sorry mimi sio mtaalamu sana wa kuandika kiswahili naomba tuvumiliane

Naenda direct leo nilikuwa nimeenda sehemu fulani uko wakati na naludi usafiri ulikuwa unasumbua ikabidi nisubilie kwenye kijiwe cha boda boda ndipo nikaaza kuona vimbwanga

Boda boda mmoja akawa amemkumbatia mwezake uku ana mnonya shingo nikashangaa sana walivyo ona nawatolea macho waka stop

Nikapiga jicho pengine naona mwingine ana anza mtekenya mwezie nae mwizie anacheka yaani kafulahishwa na hicho kitendo nikawa nadua tu

Hapaja kaa sawa nawaona wale wa mwazoni wana anza tena nikawa nataman kuwauliza nini kinaendelea hapa hila nikasema sio watoto wangu kazi kwako

Nimeamini leo kuwa kwenyee hivyo vijiwe hayo mambo yapo mengi sana af watoto wakiume now wameona ndio mchezo
Vijana wanaisha
 
Basi shida kuna muda nasema mtoto wangu akikua akasome nje uko au ni mfwate mpaka darasani nakosa jibu
Mithali 22:6 Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.


Silaha kubwa kwa mtoto wako ni Mungu, akimcha Mungu hatakua peke yake.

Wewe huwezi kuwa nae wakat wa majaribu

(Ukimpeleka nje huko ndo kumeharibika kumeoza)

Haya yote yanatokea maana watu wamemsahau Mungu
 
wanaongoza kuwa na matatizo ni bodaboda na sababu hizi:
-waliokosa ajira
-wezi na watu wabaya
 
U
Habari za jion

Sorry mimi sio mtaalamu sana wa kuandika kiswahili naomba tuvumiliane

Naenda direct leo nilikuwa nimeenda sehemu fulani uko wakati na naludi usafiri ulikuwa unasumbua ikabidi nisubilie kwenye kijiwe cha boda boda ndipo nikaaza kuona vimbwanga

Boda boda mmoja akawa amemkumbatia mwezake uku ana mnonya shingo nikashangaa sana walivyo ona nawatolea macho waka stop

Nikapiga jicho pengine naona mwingine ana anza mtekenya mwezie nae mwizie anacheka yaani kafulahishwa na hicho kitendo nikawa nadua tu

Hapaja kaa sawa nawaona wale wa mwazoni wana anza tena nikawa nataman kuwauliza nini kinaendelea hapa hila nikasema sio watoto wangu kazi kwako

Nimeamini leo kuwa kwenyee hivyo vijiwe hayo mambo yapo mengi sana af watoto wakiume now wameona ndio mchezo
sikute hizo pea mwanaume ni yule mwenye boda mwingine wake hupewa day wako so anabembeleza kwa kutekenywa au kuny oon ywaa. Mungu atuokoe. Tunateketea.
 
Wache wawe mashosti competition ipungue. Wale boda wenzao mashababi wasumbufu sio poa
 
Back
Top Bottom