Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Yes, ninamashaka na huyo jamaa,huenda nayeye tumempoteza.Una uhakika ulikuwa kituo cha bodaboda au cha mashoga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, ninamashaka na huyo jamaa,huenda nayeye tumempoteza.Una uhakika ulikuwa kituo cha bodaboda au cha mashoga?
Usiangalie ni nani anakuambia nini,angalia anachokuambia na ukizingatiehuyo mwenyewe mbona kila siku tako lilikuwa linahumuka?
Na yule ni wale wale sema alikuwa anawaonea wivu wenzake
Nimegundua kuwa alikuwa mkuu wa mkoa at the same time kama rais wa nchiKwani umegundua nini?
Akaja kubugi kugombea ubunge kinyume na utashi wa boss wake,, 😁katika vitu jpm hakupenda ni mtu kwenda tofauti na alivyotaka yeyeNimegundua kuwa alikuwa mkuu wa mkoa at the same time kama rais wa nchi
Mashoga wa msoga hawawezi kukubaliHivi makonda hawezi kurudishwa kuwa RC?🤔🤔🤔🤔 nimeuliza tu
Honestly nilijua baada ya kushindwa kwenye kura ya maoni angemrudishwa lakini ikawa tofauti.Akaja kubugi kugombea ubunge kinyume na utashi wa boss wake,, 😁katika vitu jpm hakupenda ni mtu kwenda tofauti na alivyotaka yeye
Unajua maana ya neno mswahiliHabari za jion
Sorry mimi sio mtaalamu sana wa kuandika kiswahili naomba tuvumiliane
Naenda direct leo nilikuwa nimeenda sehemu fulani uko wakati na naludi usafiri ulikuwa unasumbua ikabidi nisubilie kwenye kijiwe cha boda boda ndipo nikaaza kuona vimbwanga
Boda boda mmoja akawa amemkumbatia mwezake uku ana mnonya shingo nikashangaa sana walivyo ona nawatolea macho waka stop
Nikapiga jicho pengine naona mwingine ana anza mtekenya mwezie nae mwizie anacheka yaani kafulahishwa na hicho kitendo nikawa nadua tu
Hapaja kaa sawa nawaona wale wa mwazoni wana anza tena nikawa nataman kuwauliza nini kinaendelea hapa hila nikasema sio watoto wangu kazi kwako
Nimeamini leo kuwa kwenyee hivyo vijiwe hayo mambo yapo mengi sana af watoto wakiume now wameona ndio mchezo
Inasema hili nalo likaangaliwe!Kwani ilani inasemaje?
Usitake kusema na ww ukikutana na watu wa rika yako unaweza kufanya michezo hiyo?Mara nyingi mkikutana kwenye mishe hasa watu ambao mmekaribiana umri huwa na ujinga mwingi sana.
hii hata wazee,
pia mashuleni etc.
Basi shida kuna muda nasema mtoto wangu akikua akasome nje uko au ni mfwate mpaka darasani nakosa jibuUnaweza kutoa machozi
Sina mazoea ya kifala mkuu.Usitake kusema na ww ukikutana na watu wa rika yako unaweza kufanya michezo hiyo?
Hii ni tamaduni ya hovyo sanaMara nyingi mkikutana kwenye mishe hasa watu ambao mmekaribiana umri huwa na ujinga mwingi sana.
hii hata wazee,
pia mashuleni etc.