Kwenye vita hii natoa tahadhari kwa Balile, Kigwangalla vua nguo uoge ili utakate

Kwenye vita hii natoa tahadhari kwa Balile, Kigwangalla vua nguo uoge ili utakate

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Niona vita kali kati ya Hamisi Kigwangalla Mbunge na ndugu yangu Ta Balille,

Chanzo cha vita ni RIPOTI aliyoitoa Balile na wenzake mbele ya Makamu wa Rais siku za hivi karibuni.

Za chini chini inasemekana Kigwangalla anapambana RIPOTI ile kusema ni uongo mtupu, Ta Balille anampotosha Makamu wa Rais Ili ajipatie umaarufu. Dkt. Kigwa anapambana kujisafisha kwa wabunge wenzake kwa kumchafua Balile, nasikia anaenda mbali zaidi anadai Balile ni mabaki ya Mwendazake hafai kusikilizwa hata kidgo.

Nae ya Balile akiwa nyumbani kwake kule karibu na Gongo la Mboto na taulo kiunoni anazinyaka taarifa za kuchafuliiwa na Dkt. Kigwa. Haraka anaamua kuandika jumbe kupitia status yake zikimjibu Dkt. Kigwa.

Sijafuatilia kujua kama Dkt. Kigwa amejibu au la? Mwenye no za simu za Kigwangalla aangalie status naona kama wanarushiana vijembe. Ealai tungekuwa na Wanahabari makini hii ilikuwa Tipu nzuri unawaalika wote Hawa unawapiga kitimoto kudadeki ukweli unajulikana.

Je, Jamhuri ilichangia Dkt. Kigwa kupoteza Uwaziri wake kwa kumwandika ya kuwa alipanda ndege na msanii mmoja wa kike na kwenda kumtafunia huko ng'ambo?

Rai Kwa Dkt. Kigwa, vua nguo uoge utatakata (jitokeze hadharani sio majungu majungu vibarazani utabakia na uchafu). Waitu Ta Balile hii vita ni ngumu ularebage!

Balile.jpg
Balile2.jpg
 
sisi jumuia ya wapwa tunamsihi sana mlezi wetu wa hii jumuiya anko Kigwa achutame kustiri aibu zake.Tabalile angalau kamuacha anko wetu na boksa uwezo wa kuivua na hiyo boksa Tabalile anao.
 
..hizo familia 12 ndio zimeharibu bonde lote la Ihefu?

..Balile alisema bonde la Ihefu lilikuwa square km 84 sasa limebaki kuwa square km 10.

..siamini kama eneo lote hilo limeharibiwa na hizo familia 12 peke yao.

..Tujadili suala hili kwa mapana. Tuulize maswali magumu. Tushinikize serikali ichukue hatua haraka.
 
Hizo familia 12 mbona hazitajwi hadharani?
Zina kinga gani, au zinaogopewa kwa nini?
Japo hata makamu mwenyekiti alitajwa kwenye meno ya ng'ombe lakini hakuna kilichofanyika.
Asali ipo kidogo.
 
Hizo familia 12 mbona hazitajwi hadharani?
Zina kinga gani, au zinaogopewa kwa nini?
Japo hata makamu mwenyekiti alitajwa kwenye meno ya ng'ombe lakini hakuna kilichofanyika.
Asali ipo kidogo.
Zikitajwa nchi itatikisika
 
Hii nchi Kwa drama ..
Hizi drama husaidia kuwa keep busy wapinzani na kuua ajenda za maana. CCM kazi yao ni kupost picha then wapinzani ndio hutoa captions. Katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, zimeshajifia!

Usishangae miaka yote kuna nchi hujakubeba some CCM elites kuongoza mipango ya kushinda uchaguzi. CCM haiwezi kutolewa na wapinzani nje ya wao wenyewe kupasuka na kuipasua dola kama ilivyokuwa kwa Lowasa. Kama Lowasa angeendeleza ile vita bila kuhama chama angeipasua CCM.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
yule mwandishi wa habari kule iringa alijioipua
Wewe mpaka utahiwe majina ?its.not easy as you think. Kama hadi makamu Rais anaskiri kuwa vita hii yeye na Rais hawaiwezi who is balile. Huyu ni kati ya makamanda wachache nchini kwetu .Balike deserve huge respect si kutaka kila kitu mtafuniwe then muwekewe mdomoni wabongo mna nini?
 
Kwani Kigwa mbona anahangaika sana siku hizi kwenye media, kila jambo linaloibuka nchini lazima alisemehe.....ukija kwenye siasa utamsikia, kwenye sports na burudani yupo, sasa anakoelekea ni kumiliki media yake...
 
Back
Top Bottom