Kwenye vita hii natoa tahadhari kwa Balile, Kigwangalla vua nguo uoge ili utakate

Yote haya ni matokeo ya mtu mmoja kuwa na mamlaka kuteua mawaziri, ifika wakati mawaziri waombe kazi na wachaguliwe na wananchi na kuondolewa na wananchi
 
Kigwangalla ni takataka tu. Sijui Magufuli aliona nini mpaka akampa uwaziri
 
Huyu ni Mataga sasa mshauri wa wapinzani[emoji16]
 
Kumbe Balile (Walikula) ni Kyoma? Mmgh..jamaa kavu kishenzi ahahahah, yaani alikaza sura hadi VP akaogopa!

Nshomilesi bojo mbeija ukunonkya olamanya tata!
 
Inawezekana kabisa. Hizo sq km 74 walizochukua ni hekari 18,000+ kila familia ina kama ekari 1,500. Hilo si eneo kubwa kwa watu walafi kushindwa kujimilikisha.
 
"Kigwangalla was a vocal defender of the Tanzanian government, In an April 2017 interview with BuzzFeed News while serving as deputy health minister, he said he supported the use of anal exams to judge whether someone has had gay sex, despite it being widely considered by medical experts to be a violation of human rights.[6][7]"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…