Okay ,.. tulikuwa wapi?
1. Je ni kweli una mpango wa kugawa Laptop kwa wana Kyela wote?
2. Je ulifuata nini Monduli (kwa mzee wa mvua za Thailand)
3. Je ni kwa nini Ridhiwani Kikwete alikimbia ile harambee yako ya Kyela?
4. Je Mwakipesile na mwenyekiti wa ccm mkoa wa Mbeya wanakuunga?
5. Je umeruhusiwa kuanza kampeni kabla ya muda wake?
6. Je utarudi tena Polandi (ha ha h aha)
7. Kuna taarifa kuwa unapokea michango toka kwa watu wasio wa Kyela, ni kweli?
..... itaendelea.
1. Ndiyo nina mpango. Nitagawa na ungo na magogo ili usafiri wa angani kwa wana kyela uwe rahisi. Umeme wa Upepo na wa makaa ya mawe ya Kiwira utafanikisha zoezi la kuwa na laptop kwa wana Kyela wote. Pia nitawapatieni na nyie JF kila member masikini asiye na uwezo wa kukutana na Lowasa, Obama, Mugabe, RA, nk laptop na hela ya bill ya umeme.
2. Monduli nilifuata Check yangu kutoka kwa Mzee EL. Nilipotoka hapo nikapitia Igunga nikachukua check zangu. Nikaenda kwa Mkapa nikalamba check na Mzee Chenge na yeye kanilambisha check. Mboma na washirika wengine pia wamenilambisha kitu. (kama una wivu JINYONGE).
3. Unajua tena, Ridhwan mtu wa totoz. Alichanganywa na kitoto kimoja hapa cha Kichina nilichokileta na akaamua kutokufika kwenye Harambee. Ukitaka na wewe nijulishe mapema kabla sijaondoka na mtoto.
4. Mwakipesile aniunge? Kwani nimekatika!! Wee akili zako ziko sawa?
5. Nimeruhusiwa na Mafisadi. Mtu akileta fyoko, ntamtumia Russian Mafia. Hawa Poland wapo kibao (ex-KGB). Mfano mzuri ni bwana Victor Bout wa Ukraine. Check nilizopata zinanipa ubabe hata wa kuwaondoa akina Lowasa nikiona wanaanza kuni-black mail. Sasa wewe ni cha mtoto.
6. Poland huwa narudi kila mwaka. Kuna mashine zetu hapo twazifanyia service kila zinapoharibika kwani ndiyo yalikuwa makubaliano kabla hawajanunua. Na Poland kuna totoz nzuri sana. Mwenyewe Clinton alipomuona Monica Lewinski, akachanganyikiwa. Achana na totoz za Kipolish. Jamaa wengi UK ndiyo wanaponea hapo maana hizi toto za Eastern Europe ni kama NYUMBU kwenye mbuga za wanyama.
7. Ni kweli. Jana dada yako pia kaniletea pesa na nikapokea. Ila mwambie awe ana nyowa kikwapa na kupaka ma-glory glory. Kikwapa nilipokiona nikafikiri ni nyumbani kwa George Kichaka? Kama unavyoona, Mugabe, Obama, Shevchenko, Valuev, Bill Gates na European Union si Watanzania na wamenipa check pia. Wengine wameahidi na ntakujulisha muda ukifika.
Lete mengine mwanangu tutwange (Kinyamwezi twasema KOKUZULE).... ahhh hapana, mie ni Mnyakyusa ila unafahamu tena nilikaa sana Sikonge na Kinyamwezi kimenikaa sana.
Yaani sasa hivi Mwafrika, mie ninapesa kuzidi hata Mengi na Bakhresa ukiwangunisha pamoja pesa zao. Nimekuwa kabilionea fulani kwa Africa. Sasa ni kuanza kuongea na watu kama Ibrahim Mo, Dangute wa 9jeria, na siyo walala hoi kama nyie hapa JF. Nikitaka naweza hata nisigombee ubunge maana mnalialia hapa hadi mnatia huruma, masikini yarabi wapambe wa mtu. MKINISUDUJIA, nitaacha kugombea. Haya mwenye kupiga magoti na apige mapema, ehhh mbali kabisa na suruali yangu maana nina mke.