Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

- Kwa hiyo mkuu unasema kwamba mawazo yako mengi kwenye hii thread unatumia hizi facts zenye maneno mekundu au kuna zingine?


Wewe unaonaje?


Hapa tunakubaliana vizuri kabisa.

Respect.

FMEs!

FMES, Hayo ya kusema kuwa hizo habari hazina ukweli wowote ni mawazo yako binafsi. SIo wewe pekee unayemiliki ukweli hapa jamvini. Sio wewe peke yako mwenye dataz ukweli. Wewe unapata data zako na wengine hapa pia wanapata za kwao.

Ukiona kuwa zako ni za kweli basi kuna wengine pia wanaona kuwa wanazo za kweli. Au sio hivyo?
 
Mwaga Dataz Mkuu zinaweza kusaidia katika mjadala huu mkali sana kuhusu cha kiti jimbo la Kyela ambacho kinaashiria kutakuwa na patashika nguo kuchanika za kufa mtu katika kinyang'anyiro cha kumpata mgombea wa CCM tu.

- Mkuu you are right on the money, ndio maana huko nyuma nilisema hivi wananchi wa Kyela na taifa zima la Tanzania, tutanufaika sana debate ya hawa wakuu wawili yaani Engineer na DK, mimi nitaendelea kusimamia facts na dataz katika hii ishu, sina mpango kabisaa wa kwenda low kama ninazoziona inasikitisha sana, maana sasa hivi wananchi wa Kyela watawekwa pembeni.

- Lakini one thing niwe mkweli, member wa JF akisimama kugombea nafasi yoyote ya taifa, automatically anakuwa na my outmost respect, na hapa George na wengine watatu watakaogombea they have my salute! Siamini kwamba kwenye huu mjadala kuna wawakilishi wa George wala DK, I refuse to believe that, halafu mambo bado kabisaaa ndio kwanza yameanza.

Respect.

FMEs!
 

Kama vile ambavyo member wengine pia walivyo na haki ya kumpinga yoyote yule kati ya hao wawili. Katika hili heshima inaendelea kuwepo ila pia upande unaompinga Mwakalinga nao una haki na nafasi sawa ya kuweka kesi yake hapa dhidi ya Mwakalinga.
 

- Kwamba George alikuwa hakuwa chanzo cha ile habari, sina sababu ya kutomuamini anaponiambia kwamba hukongea na huyu Mwandishi, huwa nina tabia ya kuamini mpaka utkaponipa sababu ya kutokuamini, then huwa ninageuka na kuwa animal, so far ninamuamini George na kila kitu alichoniambia leo kuhusiana na ile article na kama nilivyosema wazi hapa.

- Mimi sio msemaji wa George kama ambavyo siamini kwamba wewe ni msemaji wa DK, so far si George wala DK ambaye ana my support kwa 100%, ninawasoma na kuwachambua pole pole as we move forward, lakini nin ajaribu sana kuwa fair na my comments na kujali sana facts, na hasa kuwajali wananchi wa Kyela.

Otherwise, nimekusikia na tupo pamoja sana mkuu, mimi ni baharia, na mabaharia tuna mwiko mmoja, huwa tunaamini baharia mwinigne tu!

Respect.

FMEs!
 
nimekusikia na tupo pamoja sana mkuu, mimi ni baharia, na mabaharia tuna mwiko mmoja, huwa tunaamini baharia mwinigne tu!

Nimeipenda hii Last week nilienda Sicily, CATANIA one of the pub nilikutana na baharia mmoja alinipa hiyo principle yenu. Baab Kubwa, tuendelee na mjadala

Peace
 

1. Ndiyo nina mpango. Nitagawa na ungo na magogo ili usafiri wa angani kwa wana kyela uwe rahisi. Umeme wa Upepo na wa makaa ya mawe ya Kiwira utafanikisha zoezi la kuwa na laptop kwa wana Kyela wote. Pia nitawapatieni na nyie JF kila member masikini asiye na uwezo wa kukutana na Lowasa, Obama, Mugabe, RA, nk laptop na hela ya bill ya umeme.
2. Monduli nilifuata Check yangu kutoka kwa Mzee EL. Nilipotoka hapo nikapitia Igunga nikachukua check zangu. Nikaenda kwa Mkapa nikalamba check na Mzee Chenge na yeye kanilambisha check. Mboma na washirika wengine pia wamenilambisha kitu. (kama una wivu JINYONGE).
3. Unajua tena, Ridhwan mtu wa totoz. Alichanganywa na kitoto kimoja hapa cha Kichina nilichokileta na akaamua kutokufika kwenye Harambee. Ukitaka na wewe nijulishe mapema kabla sijaondoka na mtoto.
4. Mwakipesile aniunge? Kwani nimekatika!! Wee akili zako ziko sawa?
5. Nimeruhusiwa na Mafisadi. Mtu akileta fyoko, ntamtumia Russian Mafia. Hawa Poland wapo kibao (ex-KGB). Mfano mzuri ni bwana Victor Bout wa Ukraine. Check nilizopata zinanipa ubabe hata wa kuwaondoa akina Lowasa nikiona wanaanza kuni-black mail. Sasa wewe ni cha mtoto.
6. Poland huwa narudi kila mwaka. Kuna mashine zetu hapo twazifanyia service kila zinapoharibika kwani ndiyo yalikuwa makubaliano kabla hawajanunua. Na Poland kuna totoz nzuri sana. Mwenyewe Clinton alipomuona Monica Lewinski, akachanganyikiwa. Achana na totoz za Kipolish. Jamaa wengi UK ndiyo wanaponea hapo maana hizi toto za Eastern Europe ni kama NYUMBU kwenye mbuga za wanyama.
7. Ni kweli. Jana dada yako pia kaniletea pesa na nikapokea. Ila mwambie awe ana nyowa kikwapa na kupaka ma-glory glory. Kikwapa nilipokiona nikafikiri ni nyumbani kwa George Kichaka? Kama unavyoona, Mugabe, Obama, Shevchenko, Valuev, Bill Gates na European Union si Watanzania na wamenipa check pia. Wengine wameahidi na ntakujulisha muda ukifika.

Lete mengine mwanangu tutwange (Kinyamwezi twasema KOKUZULE).... ahhh hapana, mie ni Mnyakyusa ila unafahamu tena nilikaa sana Sikonge na Kinyamwezi kimenikaa sana.

Yaani sasa hivi Mwafrika, mie ninapesa kuzidi hata Mengi na Bakhresa ukiwangunisha pamoja pesa zao. Nimekuwa kabilionea fulani kwa Africa. Sasa ni kuanza kuongea na watu kama Ibrahim Mo, Dangute wa 9jeria, na siyo walala hoi kama nyie hapa JF. Nikitaka naweza hata nisigombee ubunge maana mnalialia hapa hadi mnatia huruma, masikini yarabi wapambe wa mtu. MKINISUDUJIA, nitaacha kugombea. Haya mwenye kupiga magoti na apige mapema, ehhh mbali kabisa na suruali yangu maana nina mke.
 


- Haya hayahusu kabisa mkuu, JF huwa tunachambua dataz George, alipokuwa Arusha, Lowassa alikuwa Dodoma bungeni, hilo ninalikataa kwa 100%, DK ana watu wengi makini sana na ninawajua kwa karibu sana hasa wawili anaowamini sana kuliko wengine wote na nimekua kwenye mazungumzo nao sana recently, mmojawapo alifunga hata safari kwenda UK, kukutana uso kwa uso na George na wanajua kila move ya DK, na ya George, lakini hakuna aliyetamka any of this below the belt accusations, na wote wamekuwa impressed sana na George,

- Naona haya ya kumiliki au kutomiliki dataz na ukweli, huwa ni ya kawaida sana hapa JF, wewe umerushiwa mara nyingi sana na sio ajabu wewe kunirushia, lakini siku zote tunasema kwamba pamoja na siasa bado hatuwezi kupoteza utu wetu, tutaendelea kusimamia ukweli tu, kwa sababu DK asingemuondoa Lowassa u-PM, kama sio msaaada wa Muungwana, sasa eti leo Ridhiwani ameenda Kyela kumsaidia George, inahitaji mtu wa hovyo hovyo sana kuamini kwamba Ridhiwani ataenda kumsaidia mtu ambaye hata hamfahamu na wala hajawahi kuzungumza naye hata siku moja, huu ni uongo wa makusudi sana.

- Siku chache sana zilizopita George akiwa Kyela, Mwakipesile, alikuwa akinidadisi kwamba eti George ni nani hasa, leo tayari ameshakuwa mtu wake ana ameshirki naye sana huko Kyela na Mbeya, mkuu ukweli ni kwamba George amesumbuliwa sana na Takukuru na bila hata ya kosa akiwa nyumbani, sasa labda tujiulize hawa walikuwa wanatumwa na nani?

Otherwise, ningekuomba tu mkuu heshima yako hapa JF ni kubwa sana, kulinganisha na hizi below the belt, DK anatakiwa muangalifu sana maana hizi zinaweza kuja kumtokea puani, maana na huko upande wa pili hakuna wajinga na analijua sana hilo. Tutaendelea kusimamia facts na dataz, ingawa hazimilikiwi na anybody hapa JF, ila huwa tunazichambua ipasavyo.

Respect.

FMEs!
 

So far so good. keep them coming ha ha haha


Dada yangu tena? makubwa haya! Nitamwambia anyoe Kikwapa mkuu.



H ah aha ha no wonder Riziwani kaingia mtini. Kama mambo ya kupigiana magoti tena asingeyaweza mwanasheria wa IMMA yule. H ahahaha SIkonge leo kapatikana.

Yaani mbavu zangu!
 
Kama vile ambavyo member wengine pia walivyo na haki ya kumpinga yoyote yule kati ya hao wawili. Katika hili heshima inaendelea kuwepo ila pia upande unaompinga Mwakalinga nao una haki na nafasi sawa ya kuweka kesi yake hapa dhidi ya Mwakalinga.

- Tunachoomba ni kuzingatiwa kwa facts na dataz, maana pia kuna mengi sana ya DK ambayo hamuyajui na hayajawahi kusemwa, lakini yapo, kila mwananchi ana haki ya kuchambua ishu, tunachoomba ni kuheshimiwa kwa ukweli tu.

Respect.

FMEs!
 

Tetetee, kazi na dawa. Tuendelee bila mikwaruzo wala ubaguzi.

BTW: Mkuu, isije kuwa na wewe unaponea kitoto cha Kipolish. Angalia usije kinunulia dawa za kuondoa rangi ya kucha. Maana kitafikiri umenunua sumu ya kukiondoa ndani. Vichupa hivyo vimeandikwa POLISH REMOVER.....
 

Mkuu FMES bado narudia kuwa wewe una dataz zako na mimi ninazangu nikiziunganisha na za wengine hapa JF.


Nafurahi kuona umeichukua angle ya Ridhiwani. Ni mwanzo mzuri.


Haya ni maneno yako binafsi ila kama kawaida yangu hapa jamvini. SItakuuliza ulete uthibitisho kuwa Mwakipesile alikudadisi kuhusu habari za George.


Natumaini huo ushauri utampatia DK mwenyewe maana mimi sio msimamizi wake hapa jamvini.

Otherwise, respect iendelee kuwa pande zote.
 
- Tunachoomba ni kuzingatiwa kwa facts na dataz, maana pia kuna mengi sana ya DK ambayo hamuyajui na hayajawahi kusemwa, lakini yapo, kila mwananchi ana haki ya kuchambua ishu, tunachoomba ni kuheshimiwa kwa ukweli tu.

Respect.

FMEs!

Kama hujaona mkuu, huu mjadala unaendelea kama kawaida bila tatizo lolote. Sijaona mtu yeyote aliyezuiwa kuleta maneno ya DK hapa jamvini. Au wewe umeona tofauti.

Mimi bado naamini kuwa ushirikiano wa Mwakalinga na mafisadi (nawataja tena kina Lowasa, ROstam, RIdhiwani na Mwakipesile) unamfanya yeye awe pia fisadi. Sidhani kama una tatizo la mimi kutoa maoni yangu hapa.
 

Kama kitoto chenyewe kinatumia Laptop za Rostam na teknolojia ya Poland, mambo yangu yatakuwa mswano tu.
 
Kama kitoto chenyewe kinatumia Laptop za Rostam na teknolojia ya Poland, mambo yangu yatakuwa mswano tu.

Hamna wasiwasi. Umeme wa Laptop na kiyoyozi ukitokea Singida, mambo swafiii kabisa. Nina imani hadi mwakani, Mradi wa umeme wa Mwakyembe na Rostam Aziz utakuwa umefanikiwa saana.
 

- Sawa sawa, na tuko pamoja sana mkuu ila tu dataz zangu na hii ishu nzima ya George ninaweza kukupa evidence anytime ukizitaka, ndio maana so far ninamuamia sana George na nimemuambia wazi kwamba hii arcticle was out of the line na ninajua kuwa by keshokutwa atakuwa UK, na soon tutapata mengi, na hasa kama yeye ni member hapa kama inavyodaiwa na wengi hapa, sina uhakika sana na hilo!

Respect kwa pande zote mbili.

FMEs!
 
Hamna wasiwasi. Umeme wa Laptop na kiyoyozi ukitokea Singida, mambo swafiii kabisa. Nina imani hadi mwakani, Mradi wa umeme wa Mwakyembe na Rostam Aziz utakuwa umefanikiwa saana.

Yaani nakwambia, ukichukulia umeme wenyewe ni wa Thailand (aliufuata fisadi kambale Lowasa), viyoyozi vyote kuanzia Igunga (sikonge wakome) hadi Monduli vitakuwa mwuli.

Miaka 18 ulaya si mchezo!
 

Huu ndio uzuri wa forum, unakaribishwa kuweka dataz zako hapa anytime kama vile wengine wanavyoweka za kwao hapa. So far so good.
 

- Sina tatizo lolote mkuu, maana habari ya kweli ni kuwa DK ndiye aliyetaka kuanzisha kampuni ya umeme na Rostam, sasa swali ni je unaweza kufikiria kuanzisha kampouni na adui yako?

- Eti unaweza kuanzisha kampuni ya umeme na Rostam, bila Mwakipesile, Lowassa, na Ridhiwani kuwa involved? Hili swali mtu kama Dr. Slaaa aliyetoa hizi habari ndio anaweza kutoa msaaada mzito.

- Sasa hawa mafisadi basi ni marafiki wa George na DK, at the sametime, si unajua kua it does not make a sense at all!

- Sijawahi kuwa na tatizo na haki za members hapa kutoa hoja, ila ni haki yangu tu kuzichambua. DK akiwa sawa kwa maoni kama juzi kwenye ishu ya madini ninasema na ninasema tena kwamba sina sababu yoyote so far ya kuamini kwamba George ana anything to do na mafisadi, nikijua kama kawa nitasema wazi, bado nasema mnyonge mnyongeni na sisi wa-Tanzania sio mabwege tena!

Respect.

FMEs!
 
Yaani nakwambia, ukichukulia umeme wenyewe ni wa Thailand (aliufuata fisadi kambale Lowasa), viyoyozi vyote kuanzia Igunga (sikonge wakome) hadi Monduli vitakuwa mwuli.

Miaka 18 ulaya si mchezo!

Hehehee Mkuu, mbona Sikonge watukomesha? Sikonge pia kuna umeme. Kwa wiki unakuja dakika 13 na nusu. Mie natumia wa Hybrid ya Thailand na Poland. Nilikuwa nataka iwe USA/Thailand maana kungelikuwa na picha ya Tiger Wood.

Kweli miaka 18 si mchezo. Hivi dada yako ana mingapi vile? Isijekuwa nimekaa zaidi ya umri wa dada yako wa kikwapa, teteteeee!!

Mkuu, Lowasa ni FISADI. Huwezi ukamuita Kambale maana hao THAMAKI nawapenda kinoma na SUBU lao huwa kali kishenzi. Ukiliwekea kidogo kalio laini la Mkimbu aka Kinyole aka tui la karanga, haki ya nani utalamba kidole. So never ever call Lowasa Kambale maana TUTAKOSANA milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…