Eti cheupe dawa wako ulimlipia ngomba 35...acha urongo bana
Mtoto guu guu, paja paja, hata kovu hana.
Siyo kama wako, makovu kibao. Hasa lile na mguuni alimwagikiwa UJI W MOTO.
Kama umechukizwa na mie kuwa na mke "Cheupe dawa", nenda Dampo. Walau na wewe utagundua kuna wengine umewapita.
Achana nao hawana hoja, zimeisha.
Nimekusoma na kukuelewa mkuu...Pa1Balantanda,
Binafsi huwa nasoma posts zako na najua huwa unatoa hoja za maana. Sina tatizo kabisa na maandishi au hoja zako hapa JF hata kama ni kwenye mambo tunayotofautiana.
Hii thread haikuletwa na shabiki wa Mwakalinga, ililetwa na wanaompinga kwa lengo la kumpakazia. Hii imeletwa na Malafyale ambaye ni mtu wa karibu wa Dr. Mwakyembe na yuko maeneo karibu Houston. Huyu mzee hajui lolote kuhusu Kyela maana anaenda kama mtalii. Kuna articles zake nyingi kweli hapa zimejaa wrong information.
Bahati mbaya sisi hatukuwepo na hivyo kufanya habari nyingi za uwongo zisijibiwe on time.
Strategy iliyotumika ilikuwa kuleta watu wao hapa; wajifanye ni wapambe wa Mwakalinga kisha wanaendika habari za kumwangusha Mwakalinga. Ilifanikiwa mwanzoni kwasababu hakukuwa na mtu wa kukanusha.
Mwakalinga hategemei huruma yoyote toka members wa JF na in fact anaamini katika kumkoma nyani Giladi bila kumwangalia usoni. Lakini pia anaamini kwenye hoja zenye data badala ya uzushi.
Mfano ni hiyo ya Malafyale kusema Mwakalinga yuko Kyela anafanya vikao wakati ushahidi wote ukionyesha Mwakalinga wakati huo alikuwa Manyara na Ngorongoro. Au huyo jamaa anasema ametoka kumsindikiza Mwakalinga airport na kwamba alikuwa naye kwenye kampeni Kyela, kumbe ni huyo jamaa wa Yanga ambaye ndiye rafiki wa karibu kuliko wote wa Dr. Bahati nzuri tuliongea naye kwa simu na tukamdanganya kuhusu muda wa kuondoka Dar na yeye akafanya makosa yale yale ya muda. Njia ya mwongo ni fupi kweli kweli.
Nakuhakikishia kwa asilimia 100 kwamba hii thread haikuletwa hapa kumpandisha chati Mwakalinga bali kumshusha. Lakini kama ulivyosema mwenyewe kampeni si hapa JF bali ni kule Kyela na wananchi wa Kyela ndio wataamua.
Za kwako ziko wapi?
Dah,mkuu mbona hivi????,yaani umeamua kutuwakia na kutuita wana Jf wanafiki wakubwa kisa Mwakalinga...Kama ulitaka kumfikishia ujumbe Mwanakijiji ungemPM tu badala ya kuwahusisha wanaJF wote na kuwaita wanafiki.....Tutake Radhi mkuuHivi mnajua kanda2 ni nani?
Hivi mnajua Mwafrika ni nani?
Hivi Mwanakijiji mbona hachangii thread hii?
JF wanafiki wakubwa, mnakuja kumchafua mwana JF mwenzenu eti laptop kumbe mmepanga?
Kama mnatofauti na Mwakalinga kwa nini msitoe hoja kwa usernames zenu za kawaida?
Mnatengeneza strategy ya kuandika absurd things ili Mwakalinga aonekane hafai?
Futeni hii post lakini ukweli tumeugundua, Mwanakijiji kua kaka! Hata Mwakalinga naamini anajua ukweli huu.
As long as yuko hapa hapa jamvini na aje na majibu basi. Hatutaki wapambe kumjibia...binafsi nataka kujua kwanini Mwakalinga anafikiri atafaa kuwa Mbunge na mwakilishi wa wana Kyela.
..tunajua kwamba Mwakalinga ni msomi, but so is Dr.Mwakyembe.
..tunajua kwamba Mwakalinga inaipenda Kyela ame-invest huko etc etc, lakini sidhani kama kuna mtu anaweza kudai Dr haipendi Kyela.
..hatuna taarifa kwamba Mwakalinga ni fisadi. Dr naye vilevile anasifika taifa zima kwa kuupinga ufisadi.
..mtizamo wa Mwakalinga kuhusu Kyela ni upi?
..kwanini anafikiri wana Kyela wanapaswa kubadilisha uongozi ktk nafasi ya Mbunge?
..ni kitu gani ambacho anadhani anaweza ku-offer, tofauti na Dr.Mwakyembe,katika nafasi ya ubunge, ili kusukuma mbele zaidi maendeleo ya Kyela?
Hivi mnajua kanda2 ni nani?
Hivi mnajua Mwafrika ni nani?
Hivi Mwanakijiji mbona hachangii thread hii?
JF wanafiki wakubwa, mnakuja kumchafua mwana JF mwenzenu eti laptop kumbe mmepanga?
Kama mnatofauti na Mwakalinga kwa nini msitoe hoja kwa usernames zenu za kawaida?
Mnatengeneza strategy ya kuandika absurd things ili Mwakalinga aonekane hafai?
Futeni hii post lakini ukweli tumeugundua, Mwanakijiji kua kaka! Hata Mwakalinga naamini anajua ukweli huu.
Hivi mnajua kanda2 ni nani?
Hivi mnajua Mwafrika ni nani?
Hivi Mwanakijiji mbona hachangii thread hii?
JF wanafiki wakubwa, mnakuja kumchafua mwana JF mwenzenu eti laptop kumbe mmepanga?
Kama mnatofauti na Mwakalinga kwa nini msitoe hoja kwa usernames zenu za kawaida?
Mnatengeneza strategy ya kuandika absurd things ili Mwakalinga aonekane hafai?
Futeni hii post lakini ukweli tumeugundua, Mwanakijiji kua kaka! Hata Mwakalinga naamini anajua ukweli huu.
Kwi kwi kwiii AmaniK nitakupigia simu mkuu.
Tukienda Ulaya na USA tunafikia five stars hotel ambazo wao wabeba mabox wanaziona kwa nje tu miaka nenda rudi walizoishi huko.
Kuishi muishi nyinyi starehe tuje tule sisi.
YO YO, m beba mabox namba moja acha kushangaa masters za watu. Tumepiga shule sana tu.
Hii sio kambi ya wasioenda shule au wabeba mabox!
FP
Poti nini Imekwisha?
NYEPESI NYEPESI.
Wana ukumbi, leo nilipata kuongea na jamaa yake Mwakyembe, ndg Elias Mwanjala ambaye alikuwa mpiga kampeni mkubwa sana 2005 na alitumia pesa zake nyingi kumsaidia Mwakyembe kupata kiti hicho.
Elias anasema kuwa Mwakyembe amemfanyia mambo mabaya sana na baado anaendelea kumnyanyasa.
Anasema alipata nyumba ya National Housing Mikocheni na ndiko anakoishi, basi Mwakyembe alikwenda kumwambia Sitta ili wamnyang'anye ile nyumba.
Anasema naye Sitta akakubali azimio hilo na jamaa ameletewa notice ya kuondoka ile nyumba haraka kwa sababu hasizozijua, na alipofuatilia sana akapata habari kuwa hiyo nyumba anatakiwa kuhamia Sitta.
Anasema Mwakyembe amemwambia kuwa amesikia tetesi kuwa anamuunga mkono Mwakalinga na atamuonyesha lasivyo awaambie wapambe wake wampe kura yeye.
Elias amekimbilia Mahakamani kupinga hiyo notice ambayo haina sababu yoyote ya msingi zaidi ni uonevu tu.
Haya huyo ndiye mpinga ufisadi, haya ni zaidi ya ufisadi.
Kgwamaka
KG
Kitu kimoja amabchio ni kikubwa sana alichonacho Elias ni kwamba jamaa ni mtu wa msaada sana tofauti na watu wengi wanaotoka kyela pamoja na Mwakyembe mwenyewe asiye na msaada ( family affairs) kwa hilo Mungu lazima atamzidishia tu kwa sababu kanuni za mungu ziko pale pale
KG
Elias Mwanjala alikuwa jamaa yake Mwakyembe na sasa hawana ujamaa kwa sababu ya Elias kuamua kumsaliti mwakyembe mchana kweupe na kwenda kujiunga na kambi ya Mwakipesile( hapa nina maana kujiunga na kambi hiyo kwa nia ya kumharibia mwakyembe)
Ni kweli elias alikuwa kwenye kambi ya Mwakyembe na alifanya kazi kubwa lakini sio kufika kusema kuwa asingekuwepo basi mwakyembe angeshindwa. Pia uwepo wa Elias kwenye kambi ya Mwakyembe ulikuwa ni risk kubwa sana hasa ukizingatia kuwa ni mtu anayeweza kuharibu muda wowote, hana msimamo na anapendwa kuabudiwa sana. Guess what kabla hata ya uchaguzi kufanyika alisha gombana na dada yake mwakyembe na ndiyo mojawapo ya kisa cha kuhamia kwenye kambi ya kumpinga mwakyembe sababu nyingine ilikuwa ni mategemeo yake kuwa mwakyembe atapata uwaziri hivyo angefaidi. Kumbuka kuwa lilikuwa ni tegemeo la kila mtu kuwa angepewa uwaziri. (kutokupewa ni moja ya vioja vikubwa sana kwa nchi hii kwa mtizamo wangu). Na sababu nyingine ya kuanza kumchukia eti ni kwamba mwakyembe anajitapa kuwa ni ukoo wa chief du! hii kali unapoanza kumlaum prince William kwa kuzaliwa kwenye familia ya kifalme sijui ulitaka afanye nini?
Nilipenda sana style ya mwakyembe aliyoitumia kudeal na issue ya Elias nayo ilikuwa ni kumignore completely na hapo ndipo Elias alipoanza kutapatapa sana. kumbuka kuwa nimekuambia mwanzo kuwa huyu jamaa anapendwa kuabudiwa na alichotegemea ilikuwa ni kwamba pindi mwakyembe atakapojua kuwa amejiunga na kambi ya kumharibu basi atapigiwa magoti na kuombwa kurudi kwa kuhisi kuwa yeye alifanya mchango mkubwa sana kwenye campaign ya mwakyembe. Yote hayo hayakutokea na ndipo alipoanza kuogopa kivuri chake kila kinachomtokea basi yeye anapelekea kuwa ni mkono wa mwakyembe.
Moja ya kioja alichotaka kukifanya ilikuwa ni kugombea ubunge yeye mwenyewe na akaanza kampeni na vijisenti vyake vimeliwa sana tu na wanjanja hapo kyela. kampeni yake ilifika mwisho pale baba yake mzee Mwanjala alipomwita na kumwambia " nimesikia kuwa unapita pita mitaani ukitangaza kuwa unataka kugombea ubunge nakwambia kuwa wewe pamoja na huyo rafiki yako (mwakalinga) mpeleke matumbo yenu huko huko msituletee ujinga wenu huku". Ukishaambiwa na baba yako maneno kama hayo basi kama uko fit kampeni inakuwa imeisha hapo hapo na ndipo Eliasi alipotokomeza kampeni yake. Big up mzee mwanjala kwa kuamua kusimamia ukweli na kuusema bila ya kuogopa, kumbuka kuwa huyu ndiye mtoto aliye na uwezo kuliko wote lakini akaambiwa ukweli na ukweli ukamweka huru.
sasa ninaposikia kuwa jamaa analalamika kuwa amehamishwa kwenye nyumba na kusema kuwa Mwakyembe kuwa ndiye muhusika watu msiomjua mnaweza kuanza kurusha mawe kwa mwakyembe kumbe hamna lolote, kapata nyumba kwa deal na ataondoka kwenye nyumba kwa deal.
Kitu kimoja amabchio ni kikubwa sana alichonacho Elias ni kwamba jamaa ni mtu wa msaada sana tofauti na watu wengi wanaotoka kyela pamoja na Mwakyembe mwenyewe asiye na msaada ( family affairs) kwa hilo Mungu lazima atamzidishia tu kwa sababu kanuni za mungu ziko pale pale
Mtanzania: wakati ushahidi wote ukionyesha Mwakalinga wakati huo alikuwa Manyara na Ngorongoro.[/QUOTE said:Sasa hapa naunganisha dot. Kwa hiyo mheshimiwa Mwakalinga ni kweli kabisa kwamba ulifanya viako kadhaa na Lowassa na kambi yake na vilele mlifanya vikao vingine huko ulaya(uingereza)
Swali, unataka kwenda bungeni kwa maslahi ya nani, Rejea article ya Generali Ulimwengu je nawi ni uzao wa fisadi unaandaliwa kifisadi na unashirki kifisadi ukitumie fedha na miundombinu ya kifisadi.
kama sio unafiki ni nini sote hapa tuliwahi kujadili ni kwa vipi kambi ya mafisadi wanavyoandaa ngome yao na vijana kwa ajili ya 2010 kumbe ulikuwa mmoja wao.
Mheshimiwa Mwakalinga kumbuka siku za hao mafisadi zinahesabika, na hata aachwa hata mjomba wao wala vijana wao ambao wameshirikiana kuiibia nchi yetu.
Nakutakia Ubunge mwema kwani ni kazi ya wana-KYELA ku-VET mbichi na mbivu ni zipi.
Ulichoandika ni hiki kwa ushahidi upi?
"Mimi bado naamini kuwa ushirikiano wa Mwakalinga na mafisadi (nawataja tena kina Lowasa, ROstam, RIdhiwani na Mwakipesile) unamfanya yeye awe pia fisadi. "
Sihitaji kuonewa huruma ila ukija na madai makubwa kama haya basi toa hata ushahidi kidogo.
Siasa za Kyela ninazimudu ila kinachonishangaza ni hizi propaganda zenu za kumhusisha Mwakalinga na akina lowassa.
Danganya wajinga mkuu na hizo usernames 20. Ita akina Invisible utakavyo mimi hainipi shida. Ukitaka hata nifungie maana uwezo huo unao.