Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Sikonge,
Utani hapa ndio penyewe, isipokuwa mimi watani zangu ni akina kalumanzila na akina omutwale a.k.a baba koku.

Kama unataka kuhamisha utani kutoka kwa wakwere kuja kwetu, au unataka kuongeza listi ya watani, karibu sana tarime.

Kwa kifupi tu ni kwamba nimekusikia sana mkuu, huyo dada yangu ndiye kasababisha nicheke. Maana najiuliza, pamoja na hiyo mimacho iliyomtoka, hivi Sikonge ulimpendea nini?au unafikiri hatujui kwamba umezaa nae?
kaazi kwelikweli.

Sawa mkuu. Umenichekesha kwamba eti huyo ni mke wangu.

Hebu fikiri unaota umefukuzwa na unapoamka, unagundua kumbe ilikuwa ndoto na ghafla unamwangalia mkeo anayekushangaa "kulikoni mume wangu?" na lahaula unapambana na macho. Hapohapo wapoteza fahamu.

Mkuu, nafahamu kuwa naingilia kazi ya akina "Mugambire muzungu SITOPU". Ila ndiyo raha ya mitandao. Ila kwa taarifa yako ni kuwa:
Wanyamwezi hatuna utani na Wakwere. Wakwere wanafahamu kuwa sisi ni BABA zao na hivyo huwa hawawezi kututania. Kimila ilitakiwa niende kumwambia Kikwete fanya hiki na kila na ingebidi atii. Ila leo hizo mila zimekufa, Mkwere anatesa.
 
Lingine hili! soma post yote kaka halafu ndiyo ujibu. kumbuka kuichochoe akili yako kabla vidole vyako havijaanza kuandika. Flip flop flip flop amua moja kaka kazi itakuwa rahisi

Shalom, we mtu mzima twende taratibu
 
Oooh My Goodness!You never Know you guyz might be sharing a father!

Mie nina baba mmoja na Yo Yo? Mie handsome ati. Kijana mrefu, pua ya KIKIMBU ikiwa imechanganywa na Kinyamwezi kwa mbali. Yo Yo Mpua kama wale ma KUYA. Unafahamu akina Kuya ni akina nani? Ni askari wa ki-Congo waliovamia Tanganyika miaka hiyooo. Ukitaka kufahamu pua zao hasa zikoje, kaangalie Mpua wa AURLUS MABELE (Mzee wa kiuno aka Loketo).

Ehhh, hivi Bozi Boziana bado yupo? Mama Nzawisa, nzawisaaa Na hapo unaona toto linakuja. Likifika kwako Masanilo, linakutolea macho na lina-SMILE. Mhhhh, ama kweli hiyo taasamu inakuwa kama yale maneno ya "utamu wa pilipili, muwasho wake...."

Nafikiri itabidi niwakimbie kwenye hii topic. Mwisho mtaniona na mie ni mtu wa kukojoa kwenye balcony.
 
Ktk historia ya siasa za Kyela,haujapata kutokea umati wa watu wengi ukiambatana na kufungwa kwa baadhi ya barabara kwa masuala ya usalama;kama ulivyojitekeza jumamosi ya tarehe 8/8/2009 kumsikiliza hatimaye kumpa jina jipya mbunge wao Dr Mwakyembe.Umati huo kwa kauli moja hatimaye ukakubaliana kuwa Dr Mwakyembe akiwa kwenye jimbo lake la Kyela aitwe "Obama"

Mkutano huo uliofanyika ktk viwanja vya CCM-Kyela mjini ulipitisha kwa kauli moja kuwa mwana Kyela yeyote atakayejitokeza kumpinga Mwakyembe ktk uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM na ule wa ubunge aulizwe ataifanyia nini kipya Kyela ambacho Mwakyembe hajakifanya?!Walikumbusha kuwa chini ya miaka 4 tu ya ubunge wa Mwakyembe;kila kata ina sekondari yake,umeme Kyela ni wa uhakika,maji safi na salama yapo,miundo-mbinu hasa madaraja yamejengwa,na huduma za afya hasa vijijini zimeimarishwa!

Katika mkutano huu,vijana wa CCM wa Kyela mjini walimueleza Mbunge Mwakyembe kuwa wamekasirishwa sana na vitendo vinavyofanywa na baadhi ya watu wanaolikodela macho jimbo hilo ukiambatana ushawishi wa utoaji wa na vitu kama vile nyama ya ng'ombe kama hadaa kwa wananchi.

Mwakyembe mwenyewe akihutubia huku kasimama kwenye meza iliyotandikwa bendera ya Taifa tena akilindwa na wazee maarufu wa mji wa Kyela akiwemo mzee Mboka,Mzee Hasab Baba,Mzee Mwakanyika na wengine wengi aliwashukuru sana wakazi wa Kyela kwa kumuunga mkono na akahaidi kuwatumikia kwa moyo mkunjufu zaidi!

Yaliyoelezwa kwenye mkutan huo ni mengi sana,na kama una taka kuyajua kwa ufanisi basi piga simu hii ili uelezwe zaidi 0784 370 227
 
Ktk historia ya siasa za Kyela,haujapata kutokea umati wa watu wengi ukiambatana na kufungwa kwa baadhi ya barabara kwa masuala ya usalama;kama ulivyojitekeza jumamosi ya tarehe 8/8/2009 kumsikiliza hatimaye kumpa jina jipya mbunge wao Dr Mwakyembe.Umati huo kwa kauli moja hatimaye ukakubaliana kuwa Dr Mwakyembe akiwa kwenye jimbo lake la Kyela aitwe "Obama"

Mkutano huo uliofanyika ktk viwanja vya CCM-Kyela mjini ulipitisha kwa kauli moja kuwa mwana Kyela yeyote atakayejitokeza kumpinga Mwakyembe ktk uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM na ule wa ubunge aulizwe ataifanyia nini kipya Kyela ambacho Mwakyembe hajakifanya?!Walikumbusha kuwa chini ya miaka 4 tu ya ubunge wa Mwakyembe;kila kata ina sekondari yake,umeme Kyela ni wa uhakika,maji safi na salama yapo,miundo-mbinu hasa madaraja yamejengwa,na huduma za afya hasa vijijini zimeimarishwa!

Katika mkutano huu,vijana wa CCM wa Kyela mjini walimueleza Mbunge Mwakyembe kuwa wamekasirishwa sana na vitendo vinavyofanywa na baadhi ya watu wanaolikodela macho jimbo hilo ukiambatana ushawishi wa utoaji wa na vitu kama vile nyama ya ng'ombe kama hadaa kwa wananchi.

Mwakyembe mwenyewe akihutubia huku kasimama kwenye meza iliyotandikwa bendera ya Taifa tena akilindwa na wazee maarufu wa mji wa Kyela akiwemo mzee Mboka,Mzee Hasab Baba,Mzee Mwakanyika na wengine wengi aliwashukuru sana wakazi wa Kyela kwa kumuunga mkono na akahaidi kuwatumikia kwa moyo mkunjufu zaidi!

Yaliyoelezwa kwenye mkutan huo ni mengi sana,na kama una taka kuyajua kwa ufanisi basi piga simu hii ili uelezwe zaidi 0784 370 227

Mkuu Malafyale,
Tumechoka na habari za kupikwa.
Ifike mahali sasa wana jf tujadili mambo mengine ya maendeleo na sio ujinga huu wa kupikwa na unaandikwa na malafyale na kuongelea watu wawili.

Mkutano ulifanyika tarehe 9/08 siku ya jumapili na sio jumamosi na hakukuwa na kufungwa kwa barabara yote.
 
Mkuu Malafyale,
Tumechoka na habari za kupikwa.
Ifike mahali sasa wana jf tujadili mambo mengine ya maendeleo na sio ujinga huu wa kupikwa na unaandikwa na malafyale na kuongelea watu wawili.

Mkutano ulifanyika tarehe 9/08 siku ya jumapili na sio jumamosi na hakukuwa na kufungwa kwa barabara yote.

Hii maana yake nini,na ninani sasa anayetoa habari sahihi kati ya Malafyale na huyu?huu ni utata mtupu.
 
OMBI MAALUM KWA MODS

Mimi naomba kwa wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu uwawekee jukwaa maalum wale wote ambao wameshaingia katika kampeni za mapema za uchaguzi mkuu wa 2010.
Tafadhali kama fanya hima kushughulikia ombi langu kwani joto la kampeni limeanza kupanda sasa.
 
Mkuu Malafyale,
Tumechoka na habari za kupikwa.
Ifike mahali sasa wana jf tujadili mambo mengine ya maendeleo na sio ujinga huu wa kupikwa na unaandikwa na malafyale na kuongelea watu wawili.

Mkutano ulifanyika tarehe 9/08 siku ya jumapili na sio jumamosi na hakukuwa na kufungwa kwa barabara yote.

Sijajua unamaanisha nini hapo unaposema ''ujinga wa kupikwa'' nini kimepikwa wakati wewe mwenyewe unaconfirm kuwa kweli mkutano huo ulifanyika tarehe 9?

Assuming hayo aliyoyaleta Malafyale ni majungu....twambie wewe nini kilijiri hapo kwenye mkutano!
 
ndio maana nampenda mchukia ufisadi.....yeye akituletea matukio ya Bukoba haongei mengi ni anamwaga mapicha tu.....sasa ubishe mwenyewe.... kwa hili la kyela tumuamini nani? malafyale kasema barabara ilifungwa samweli kasema hapana.....ila kama kungekuwa na picha kusingekuwa na ubishi

wana JF kuelekea 2010 tujifunze kuweka mabandiko yenye picha zaidi kuliko maneno ili kupunguza propaganda na maneno ya uzushi.....tumieni simu zenu click more pics zibandike sisi tuamue...
 
Last edited:
Oooh My Goodness!You never Know you guyz might be sharing a father!

Msanilo.
Kumbe wewe ni secretary.
Ndiyo maana una muda mwingi wa kuandika pumba na ujinga mwingi sana hapa.

Mwanzo nilipoletewa CV yako nilibisha na sasa nimeamini.

Hongera sana sana .Nsesi amekwenda wapi?
 
Msanilo.
Kumbe wewe ni secretary.
Ndiyo maana una muda mwingi wa kuandika pumba na ujinga mwingi sana hapa.

Mwanzo nilipoletewa CV yako nilibisha na sasa nimeamini.

Hongera sana sana .Nsesi amekwenda wapi?
shem kumbe ushauza CV? naona jamaa anatishia nyau bwa ha ha ha
 
ndio maana nampenda mchukia ufisadi.....yeye akituletea matukio ya Bukoba haongei mengi ni anamwaga mapicha tu.....sasa ubishe mwenyewe.... kwa hili la kyela tumuamini nani? malafyale kasema barabara ilifungwa samweli kasema hapana.....ila kama kungekuwa na picha kusingekuwa na ubishi

wana JF kuelekea 2010 tujifunze kuweka mabandiko yenye picha zaidi kuliko maneno ili kupunguza propaganda na maneno ya uzushi.....tumieni simu zenu click more pics zibandike sisi tuamue...

Piga simu hiyo chini utajibiwa kama barabara ya Kyela-Tukuyu kupitia CCM makao Makuu ilifanywa nini kwa sababu ya mkutano huo!

Na kuhusu siku huwa nachanganya sana na TZ na huku nilipo Kabul!!
 
Siasa za Kyela bana!

Inasemekana siasa za huko ni ngumu kweli kweli kule ni Chifu ndiye anaamua nani awe mbunge na akishaamua Chifu na watu wake hakuna wa kumpinga.Sasa kama Chifu wa huko Kyela anamsapoti Dr. Mwakyembe hao wanaozengea hilo jimbo wanapoteza muda tu au wanatest zali!
 
Ktk historia ya siasa za Kyela,haujapata kutokea umati wa watu wengi ukiambatana na kufungwa kwa baadhi ya barabara kwa masuala ya usalama;kama ulivyojitekeza jumamosi ya tarehe 8/8/2009 kumsikiliza hatimaye kumpa jina jipya mbunge wao Dr Mwakyembe.Umati huo kwa kauli moja hatimaye ukakubaliana kuwa Dr Mwakyembe akiwa kwenye jimbo lake la Kyela aitwe "Obama"

Mkutano huo uliofanyika ktk viwanja vya CCM-Kyela mjini ulipitisha kwa kauli moja kuwa mwana Kyela yeyote atakayejitokeza kumpinga Mwakyembe ktk uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM na ule wa ubunge aulizwe ataifanyia nini kipya Kyela ambacho Mwakyembe hajakifanya?!Walikumbusha kuwa chini ya miaka 4 tu ya ubunge wa Mwakyembe;kila kata ina sekondari yake,umeme Kyela ni wa uhakika,maji safi na salama yapo,miundo-mbinu hasa madaraja yamejengwa,na huduma za afya hasa vijijini zimeimarishwa!

Katika mkutano huu,vijana wa CCM wa Kyela mjini walimueleza Mbunge Mwakyembe kuwa wamekasirishwa sana na vitendo vinavyofanywa na baadhi ya watu wanaolikodela macho jimbo hilo ukiambatana ushawishi wa utoaji wa na vitu kama vile nyama ya ng'ombe kama hadaa kwa wananchi.

Mwakyembe mwenyewe akihutubia huku kasimama kwenye meza iliyotandikwa bendera ya Taifa tena akilindwa na wazee maarufu wa mji wa Kyela akiwemo mzee Mboka,Mzee Hasab Baba,Mzee Mwakanyika na wengine wengi aliwashukuru sana wakazi wa Kyela kwa kumuunga mkono na akahaidi kuwatumikia kwa moyo mkunjufu zaidi!

Yaliyoelezwa kwenye mkutan huo ni mengi sana,na kama una taka kuyajua kwa ufanisi basi piga simu hii ili uelezwe zaidi 0784 370 227

Simu yenyewe Zain bora ingekuwa TIGO ndo ningeweza ongea nawe. lete alternative #
 
Piga simu hiyo chini utajibiwa kama barabara ya Kyela-Tukuyu kupitia CCM makao Makuu ilifanywa nini kwa sababu ya mkutano huo!

Na kuhusu siku huwa nachanganya sana na TZ na huku nilipo Kabul!!
mkuu siwezi piga simu nisizo jua nampigia nani...after all woote ujuavyo tunatumia pen names....my point is....kama unaweza mwambie mwenye hio namba kama ana picha akutumie uziweke tuhakikishe.....nimechoka na maneno ya kyela mkuu....
 
Sijajua unamaanisha nini hapo unaposema ''ujinga wa kupikwa'' nini kimepikwa wakati wewe mwenyewe unaconfirm kuwa kweli mkutano huo ulifanyika tarehe 9?

Assuming hayo aliyoyaleta Malafyale ni majungu....twambie wewe nini kilijiri hapo kwenye mkutano!

Mkuu Next Level.
Kweli kazi ipo.

Kama unashindwa kutambua ujumbe wangu na ule wa Malafyale,nafikiri mwalimu wako alikuwa na kazi ya ziada.

Malafyale anasema Mheshimiwa alifanya mkutano tarehe 08/08 siku ya jumamosi kitu ambacho ni uzushi.Ukweli ni kwamba alifanya mkutano wake siku ya jumapili tarehe 09/08.
Amesema barabara zilifungwa kitu ambacho sio kweli.Hakukuwa na barabra iliyofungwa.Hizo ndizo taarifa za kupikwa.
 
Back
Top Bottom