This is my honest opinion and I stand to be corrected. I look at politicians with 2 possible angles/spheres of influence. First - in his/her constituency and Second - nationally. Wanasiasa wa TZ wapo ambao wamelala, wengine active ktk mambo yao majimboni, na wengine mambo ya kitaifa, wengine mchanganyiko wa majimboni na mambo ya kitaifa.
Mwakyembe ametetea sana maslahi ya taifa hili, na anajitahidi hata jimboni, sasa anaetaka kumuondoa kweli atuthibitishie kuwa yeye ana nguvu zaidi ya Mwakyembe, na si vinginevyo. Sijui wenzangu mnaopenda kuingia ktk siasa nia yenu inakuwa nini hasa, je ni kupata ubunge tu au kutetea maslahi ya wananchi. Huo ndio uzalendo, sio kuweka historia kuwa ulishawahi kuwa mbunge.
Tueleze kwanza ,Mwakyembe kafanya nini Jimboni kwake?Ofisi iko Kunduchi yeye ni balozi wa jimbo?