Karibu sana Mwakalinga! Hivi SUA ulimaliza ama hukupata maksi za kutosheleza kuwa warded BSc Agr Eng na kukimbilia Poland? You can not fool us all da time mazee
Masanilo,
Unaweza kuandika utakacho kuhusu Mwakalinga lakini ambacho huwezi kufuta ni mafanikio yake katika shule na kazi.
Hakuna hata sehemu moja ambapo Mwakalinga amesema alimaliza SUA wala kuondoka kwake SUA hakukuwa kwasababu ya kufeli shule.
Mwakalinga ana degree tatu katika level ya masters, moja ambayo aliipata Poland na mbili akiwa amesoma UK. Pia amekuwa kwenye Telecoms tokea alipoajiriwa mwaka 1997 mpaka leo bila kukosa kazi hata siku moja, tena kwenye field ambayo ilikuwa na matatizo makubwa na wafanyakazi wengi kupoteza ajira kati ya 2000 na 2004. Alikuwa Lucent Technologies wakati ilipopunguza wafanyakazi wake kutoka 150,000 mpaka kufikia 20,000.
Andika utakacho lakini huwezi kukashifu mafanikio ya Mwakalinga kwenye shule na kazi.
Labda utusaidie wewe ndugu yetu umefanya nini kwenye taaluma yako hata udiriki kukshifu elimu za wengine?