Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Jamani ndugu zangu tuliosoma ng'ambo na kufanya kazi kwa "muda mrefu ngambo" tuache hii tabia ya kutumia vigezo hivyo hapo viwili kutafuta vyeo tanzania!

Kusoma ng'ambo kunatupa exposure tu,na kufikiria vitu katika "dimensions" au mionekano tofauti na mingi zaidi kuliko wale waliosoma TZ.hakutupi sifa za kuwa viongozi,ila tunaweza kutumia advantage hiyo kuchangia maendeleo ya sehemu tulizotoka,either kwa ushauri au "consultancy".

kufanya kazi ng'ambo hakutuongezei sifa zozote za kiuongozi,may be zinatupa humility na creativity kazini as well as discipline.Lakini sio sifa za kuwa kiongozi.

mbali na mambo mengine,Kiongozi anatakiwa aweze toa maamuzi critical,anatakiwa awe amekuwa challenged kwenye lower positions and passed with flying colours.sifa hizi hazina uhusiano wowote na mtu kusoma/kufanya kazi nje.

kufanya kazi nje "kwa muda mrefu" hakumaanishi tulipo ni viongozi,wengi wetu ni wataalam tuliobobea kwenye nyanja zetu tulizokuwepo.iwe uinjinia,udaktari,au urubani lakini "hell NO" it doesnt add anything to us being GOOD LEADERS.

makampuni mengi tunayeyofanyia kazi ni large enterprises that are driven by a system.(fikiria urahisi wa kuendesha manual na automatic car).hawahitaji an inteligent Tanzanian to help them run their management.they need our expertise!and we usually give it.kama kunamtanzania yupo kwenye board of any recognisable company in the world na atajwe!au kama kuna mtanzania aliyekuwepo kwenye management ya kampuni yoyote kubwa duniani na asemwe.probably hakuna!na kama yupo sidhani kama kugombea ubunge kuko kwenye cards zake hivi sasa!!

wengi wetu tuko-stuck kwenye cubicles!we do what we do best but we are in no way leaders where we are.

Ni vizuri kama tunataka kuleta maendeleo tanzania tulete utaalamu wetu,sio uongozi uchwara tusiokuwa nao!

kyela,biharamulo,njombe,lindi etc will be better of with expertise we have acquired rather than the empty promises and gifts we are going to lavish them with on our way to the maiden TZ parliament where all greed people's dreams comes true.

wito kwa watanzania tuliosoma na tunaofanya kazi ng'ambo.TURUDI tanzania kwanza,tupeleke ujuzi wetu kabla ya kufikiria
 
kuna tetesi za zimefika hivi punde kuwa huyu bwana mwakalinga katumwa na kapewa pesa ya kutosha na kina Kikwete,Lowasa na Rostamu ,Mwakipesile na Mafisadi wengine walioaibishawa katika ripoti ya Mwakyembe kwa kweli mtandao ni mkubwa na bwana Mwakyembe ataponea kudra za Mungu na uelewa wa wanakyela.Nasikia hawatamani kumuona Mwakyembe akipumua.Ukijali maslahi ya taifa hakuna wakumfikia Mwakyembe na ukiangalia sera kuu za huyu bwana ni kuhusu wafanyakazi wa mgodi wa kiwira.Kwa mtu mwenye akili timamu angeharakisha kufikiri kuwa mchawi wa kiwira ni Mkapa na yona hata hivyo kapiga kelele nyingi sana kuhusu kiwira lakini kama tujuavyo hakuna asiyejua serikali ya kikwete ilivyofanya madudu.Kiukweli huyu mwakalinga hawezi kujivunia.
 
Sio ya Mwakalinga bana... ya Mwakalinga ni uongo ile ya FD

Usiwe sensitive hivyo mwanawane....gangamala....kwani Fikiraduni ni jina lako la kweli? Mbona Kitila Mkumbo alikuwa anajiita Mwanasiasa...na hana shobo ukimwita Mwanasiasa...
 
HARAMBEE YA UMOJA WA VIJANA WA CCM
Mkuu Field80, kwasababu umeuliza wacha nikujibu. Ilikuwa hii niandike baadaye ila kwasababu watu wengi wameulizia wacha nijibu sasa.

Umoja wa vijana wa CCM Kyela walikuwa na harambee yao ambayo nasikia waliiandaa siku nyingi zilizopita. Wakaamua kumualika mtoto wa JK. Huu mwaliko nimeambiwa walimpatia wakati wa uchaguzi wa umoja wa vijana ngazi ya taifa. Mwenyejiti wa vijana Kyela ni Dr Hunter au Dr. Hanta sijajua jina lake vizuri, ndiye alimwomba mtoto wa JK aende Kyela kusaidia harambee kwa ajili ya miradi ya vijana Kyela.

Huyu Dr. hunter nimewahi kuongea naye mara nyingi ila sijawahi kuonana naye uso kwa uso. Ilikuwa nonane naye tarehe 01/08/2009 lakini ilishindikana maana alikuwa down mno baada ya harambee yao kushindwa kufanyika.

Kuna mtu mwingine kaniambia Dr. Hunter alikubaliana na mtoto wa JK juu ya hili wakati mtoto wa JK anapiga kampeni ya mtu aliyetaka awe mwenyekiti wa umoja wa vijana wa CCM. Na kama kurudisha fadhila akawaahidi wakimwunga mkono basi na yeye atakuja kuwaunga mkono kwenye Harambee (hili sina uhakika nalo sana). Ilipofika huo uchaguzi ndipo wakampa mwaliko rasmi (sikumbuki uchaguzi wa vijana ulifanyika lini).

Baadaye tarehe ikapangwa kuwa ni Ijumaa tarehe 31/07/2009.

Kyela kuna kumbi chache sana ambazo ni kubwa kiasi cha kuchukua watu zaidi ya 200. Kama nakumbuka vizuri ni mbili tu, huenda kuna zingine. Ukumbi bora zaidi kwa maelezo ya baadhi ya watu ni ule kwenye jengo la Mwakalinga. Pia umezibwa kwahiyo sauti haitoki nje na una AC. Hao vijana wakaamua Harambee yao ifanyike hapo.

Siku hiyo ya Ijumaa Mwakalinga alikuwa kijijini kwao katumba na kulikuwa na mkutano wa kimila ambao uliandaliwa kumpa baraka mwanao. Hakuwepo pale mjini wala hakuwa na mwaliko wa kuhudhuria hiyo Harambee.

Kumbe kuna watu wamechukia kwanini ile Harambee ifanyike kwernye ukumbi wa Mwakalinga. Wakatengeneza majungu huku Dar na kutumia vitisho kwamba huyo mtoto wa JK anaenda Kyela kumpigia kampeni Mwakalinga na kwamba kuna vijana wamejiandaa kumzomea na kumrushia mawe.

Wakapeleka hizo habari mpaka kupitia watu wao walioko usalama wa taifa. Wakakuza jambo mpaka wakubwa wakaona hii inaweza kuleta balaa hasa wakiangalia zile vurugu za yule kijana aliyeuliwa na polisi. Inasemekana ikabidi viongozi waamue haraka haraka kwamba huyo kijana asiende.

Harambee hiyo ikavunjika, vyakula vikadoda, pesa milioni 155 walizotegemea zikawa hazipo tena, kisa wamefanya kosa kufanyia hiyo Harambee kwenye ukumbi wa Mwakalinga. Ndio siasa za Kyela hizo.

Mimi sikuwa na hili wala lile, nimerudi mjini hiyo Ijumaa usiku ndio naambiwa mtoto wa JK hajafika kwasababu mheshimiwa mmoja katia fitina.

Wao waliona wanamkomoa mwakalinga lakini ukweli ni kwamba hiyo center ilishalipwa hata kama mkutano ulivunjika. Kibaya zaidi ameishia kuwaudhi vijana wote ambao ndio walihangaika kwa nguvu na mali kuandaa hiyo Harambee.

Kama kuna mtu anamjua huyo mtoto wa JK basi amwulize kama amewahi hata kusikia jina la Mwakalinga.

Mambo kama haya ndiyo yanatufanya watu wengine tuamue kurudi nyumbani na kujaribu kuleta mabadiliko ya kweli. Mimi sikushangaa maana hata sisi huko nyuma tumeshafanyiwa visa kibao. Kuna bank walitaka kufungua branch pale kwa Mwakalinga, mhusika huyo huyo akaenda kutumia undungu na mtoa maamuzi ili kuzuia.

Haya maelezo kama hayajatoka kwa Mwakalinga mwenyewe, kwa nini yaaminiwe kuwa ya kweli ingawa yanaonesha kuandikwa na mtu mwenye ufahamu mkubwa wa kilichotokea.

Kama wewe mtanzania sio Mwakalinga, basi kila unachoandika hapa si cha kweli na lazima kichukuliwe kama hear say zingine tu hadi hapo kitakapothibitishwa na sources zingine.
 
kuna tetesi za zimefika hivi punde kuwa huyu bwana mwakalinga katumwa na kapewa pesa ya kutosha na kina Kikwete,Lowasa na Rostamu ,Mwakipesile na Mafisadi wengine walioaibishawa katika ripoti ya Mwakyembe kwa kweli mtandao ni mkubwa na bwana Mwakyembe ataponea kudra za Mungu na uelewa wa wanakyela.Nasikia hawatamani kumuona Mwakyembe akipumua.Ukijali maslahi ya taifa hakuna wakumfikia Mwakyembe na ukiangalia sera kuu za huyu bwana ni kuhusu wafanyakazi wa mgodi wa kiwira.Kwa mtu mwenye akili timamu angeharakisha kufikiri kuwa mchawi wa kiwira ni Mkapa na yona hata hivyo kapiga kelele nyingi sana kuhusu kiwira lakini kama tujuavyo hakuna asiyejua serikali ya kikwete ilivyofanya madudu.Kiukweli huyu mwakalinga hawezi kujivunia.


Na wewe umetumwa na Mwakyembe. Nyie ndo mnaamini kuwa kiongozi LAZIMA ADUMU MILELE!. Kubalini kuwa lazima watu wapishane uongozi.

No wonder nchi za Africa haziendelei kwa kuwa tuna watu wenye MAWAZO MGANDO wasiotaka mabadiliko hata kama zina maslahi ya umma!.

Miaka kumi inatosha inabidi wengine wachukue madaraka.
 
HARAMBEE YA UMOJA WA VIJANA WA CCM
Mkuu Field80, kwasababu umeuliza wacha nikujibu. Ilikuwa hii niandike baadaye ila kwasababu watu wengi wameulizia wacha nijibu sasa.

Umoja wa vijana wa CCM Kyela walikuwa na harambee yao ambayo nasikia waliiandaa siku nyingi zilizopita. Wakaamua kumualika mtoto wa JK. Huu mwaliko nimeambiwa walimpatia wakati wa uchaguzi wa umoja wa vijana ngazi ya taifa. Mwenyejiti wa vijana Kyela ni Dr Hunter au Dr. Hanta sijajua jina lake vizuri, ndiye alimwomba mtoto wa JK aende Kyela kusaidia harambee kwa ajili ya miradi ya vijana Kyela.

Huyu Dr. hunter nimewahi kuongea naye mara nyingi ila sijawahi kuonana naye uso kwa uso. Ilikuwa nonane naye tarehe 01/08/2009 lakini ilishindikana maana alikuwa down mno baada ya harambee yao kushindwa kufanyika.

Kuna mtu mwingine kaniambia Dr. Hunter alikubaliana na mtoto wa JK juu ya hili wakati mtoto wa JK anapiga kampeni ya mtu aliyetaka awe mwenyekiti wa umoja wa vijana wa CCM. Na kama kurudisha fadhila akawaahidi wakimwunga mkono basi na yeye atakuja kuwaunga mkono kwenye Harambee (hili sina uhakika nalo sana). Ilipofika huo uchaguzi ndipo wakampa mwaliko rasmi (sikumbuki uchaguzi wa vijana ulifanyika lini).

Baadaye tarehe ikapangwa kuwa ni Ijumaa tarehe 31/07/2009.

Kyela kuna kumbi chache sana ambazo ni kubwa kiasi cha kuchukua watu zaidi ya 200. Kama nakumbuka vizuri ni mbili tu, huenda kuna zingine. Ukumbi bora zaidi kwa maelezo ya baadhi ya watu ni ule kwenye jengo la Mwakalinga. Pia umezibwa kwahiyo sauti haitoki nje na una AC. Hao vijana wakaamua Harambee yao ifanyike hapo.

Siku hiyo ya Ijumaa Mwakalinga alikuwa kijijini kwao katumba na kulikuwa na mkutano wa kimila ambao uliandaliwa kumpa baraka mwanao. Hakuwepo pale mjini wala hakuwa na mwaliko wa kuhudhuria hiyo Harambee.

Kumbe kuna watu wamechukia kwanini ile Harambee ifanyike kwernye ukumbi wa Mwakalinga. Wakatengeneza majungu huku Dar na kutumia vitisho kwamba huyo mtoto wa JK anaenda Kyela kumpigia kampeni Mwakalinga na kwamba kuna vijana wamejiandaa kumzomea na kumrushia mawe.

Wakapeleka hizo habari mpaka kupitia watu wao walioko usalama wa taifa. Wakakuza jambo mpaka wakubwa wakaona hii inaweza kuleta balaa hasa wakiangalia zile vurugu za yule kijana aliyeuliwa na polisi. Inasemekana ikabidi viongozi waamue haraka haraka kwamba huyo kijana asiende.

Harambee hiyo ikavunjika, vyakula vikadoda, pesa milioni 155 walizotegemea zikawa hazipo tena, kisa wamefanya kosa kufanyia hiyo Harambee kwenye ukumbi wa Mwakalinga. Ndio siasa za Kyela hizo.

Mimi sikuwa na hili wala lile, nimerudi mjini hiyo Ijumaa usiku ndio naambiwa mtoto wa JK hajafika kwasababu mheshimiwa mmoja katia fitina.

Wao waliona wanamkomoa mwakalinga lakini ukweli ni kwamba hiyo center ilishalipwa hata kama mkutano ulivunjika. Kibaya zaidi ameishia kuwaudhi vijana wote ambao ndio walihangaika kwa nguvu na mali kuandaa hiyo Harambee.

Kama kuna mtu anamjua huyo mtoto wa JK basi amwulize kama amewahi hata kusikia jina la Mwakalinga.

Mambo kama haya ndiyo yanatufanya watu wengine tuamue kurudi nyumbani na kujaribu kuleta mabadiliko ya kweli. Mimi sikushangaa maana hata sisi huko nyuma tumeshafanyiwa visa kibao. Kuna bank walitaka kufungua branch pale kwa Mwakalinga, mhusika huyo huyo akaenda kutumia undungu na mtoa maamuzi ili kuzuia.


Maelezo niliyoyawekea rangi yanaonyesha Mwakalinga na Mtanzania is one and the same.
 
kuna tetesi za zimefika hivi punde kuwa huyu bwana mwakalinga katumwa na kapewa pesa ya kutosha na kina Kikwete,Lowasa na Rostamu ,Mwakipesile na Mafisadi wengine walioaibishawa katika ripoti ya Mwakyembe kwa kweli mtandao ni mkubwa na bwana Mwakyembe ataponea kudra za Mungu na uelewa wa wanakyela.Nasikia hawatamani kumuona Mwakyembe akipumua.Ukijali maslahi ya taifa hakuna wakumfikia Mwakyembe na ukiangalia sera kuu za huyu bwana ni kuhusu wafanyakazi wa mgodi wa kiwira.Kwa mtu mwenye akili timamu angeharakisha kufikiri kuwa mchawi wa kiwira ni Mkapa na yona hata hivyo kapiga kelele nyingi sana kuhusu kiwira lakini kama tujuavyo hakuna asiyejua serikali ya kikwete ilivyofanya madudu.Kiukweli huyu mwakalinga hawezi kujivunia.

Angalieni, hiyo ndio strategy yenyewe.

Kwa Kyela watu wanajua ukweli. Hii ni strategy ya kutokea ili akishindwa aje aseme ni mafisadi ndio wamemuondoa.

Onyesheni hizo pesa alizopewa Mwakalinga ziko wapi? Ile miradi yake anayojenga tokea miaka ya 90 pesa alipewa na nani?

Hii ndio itakuwa inajitokeza siku hadi siku kwa majina tofauti. Kuna watu wameandaliwa hapa kwa hilo lakini wanajisumbua bure. George ni smart kuweza kujua hizi njama.
 
Mimi sikuwa na hili wala lile, nimerudi mjini hiyo Ijumaa usiku ndio naambiwa mtoto wa JK hajafika kwasababu mheshimiwa mmoja katia fitina.
Kuna bank walitaka kufungua branch pale kwa Mwakalinga, mhusika huyo huyo akaenda kutumia undungu na mtoa maamuzi ili kuzuia.
Dogo Mwakalinga, in JF we dare talk openly...sasa mbona unakuja na kama majungu utatufaa kweli kwenye mjengo? Unachuki na huyo mh mmoja asiye na jina!
 
Dogo Mwakalinga, in JF we dare talk openly...sasa mbona unakuja na kama majungu utatufaa kweli kwenye mjengo? Unachuki na huyo mh mmoja asiye na jina!


Sasa hutaki aseme anachojua jamani?

Duh! nimejichokea ngoja nikalale kidogo
 
Duh!! Umetinga mwenyewe hapa? Haya tueleze ni kweli ama unakanusha ? Sema maana uko online .
 
Mambo kama haya ndiyo yanatufanya watu wengine tuamue kurudi nyumbani na kujaribu kuleta mabadiliko ya kweli.

Safi sana Mtanzania na timu yako!

Ila kama ulivyowaonya pale mwanzoni wale wapambe wenu kina Rich, MkamaP, Kanda2 et al jaribuni kuwapa somo zaidi hawa wapambe wanaokuja na hoja za kitoto hapa wakifikiri kila mmoja atazinunua kirahisi! Sisi wengine hata hatuna hisa huko Kyela kama Kyela bali tuna hisa na Tanzania kwa jumla hivyo tunawatakia kila la kheri huko.........!

Lakini kinachonikera ni kwamba siasa zenu ni za visa, visasi na hata kama mnapeana ushindani mkubwa na Dr. mtokeo yake si kuwaletea maendeleo wananchi wa kawaida.....kwa mfano hizo mambo za kuzuia kufunguliwa tawi la benki au kutotumia ukumbi etc naamini na Dr. naye kuna mizengwe mingi sana anafanyiwa ya kufifisha maendeleo kwa sababu ya kisiasa!
 
Haya maelezo kama hayajatoka kwa Mwakalinga mwenyewe, kwa nini yaaminiwe kuwa ya kweli ingawa yanaonesha kuandikwa na mtu mwenye ufahamu mkubwa wa kilichotokea.

Kama wewe mtanzania sio Mwakalinga, basi kila unachoandika hapa si cha kweli na lazima kichukuliwe kama hear say zingine tu hadi hapo kitakapothibitishwa na sources zingine.

Mwafrika,

Kama unaweza omba namba za viongozi wa umoja wa vijana Mbeya wala sio Kyela na pata maelezo yao. Au tumia njia zako zingine na utapata tu ukweli maana hili jambo watu wengi wanajua.
 
Back
Top Bottom