Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

- Mkuu ninakusikia sana, ila I am looking forward kuona mijadala yenye masilahi kwa wananchi wa jimbo la Kyela, ninasubiri kusikia vision ya George, maana ya DK ninaifahamu tayari katika miaka kumi ya ubunge wake toka EAC, mpaka huko Kyela hasa zaidi taifa. Ninaiheshimu sana kazi yake kwa taifa letu, lakini lazima niwe mkweli sijui chochote kuhusu kazi yake jimboni, zaidi ya kuwaisikiliza sana hao maluteni wake, wawili.

Hapa tuko pamoja

- George, itafika wakati itabidi aseme kujibu maswali muhimu kwamba ni kwa nini anataka ubunge wa Kyela na sio jimbo lingine?, kwa nini anataka kumtoa mbunge shujaa wa taifa kama DK? kwa nini anafikiri anaweza kuwapelekea Kyela mazuri kuliko mbunge wao wa sasa? Je mbunge wa sasa amefanya mangapi mazuri na mangapi mabaya? Kama mbunge shujaa kama DK ameshindwa yeye atawezaje? Na maswali mengine mengi muhimu kwa taifa pia, ni majibu ya maswali kama haya ndio yatawasadiai wananchi Kyela na sisi wengine, kuliko hizi lows ninaziona humu.

Nadhani hii kazi alishaianza hapa kwa muda sasa kwa kutumia ID zake za JF (ambazo inaonekana kama ni nyingi) au kutumia wasemaji wake.

- Kampeni hazijaanza, lakini hii tunaita part gazeti au trailer imeshaanza, na heshima kwa George kwa kuli-freeze taifa na JF for almost a week sasa, saafi sana na ataingia kwenye vitabu vya historia ya taifa kwa ujasiri wa kusimama na kusimamia principles. Ndio maana huko nyuma nilisema kwamba huu uchaguzi utakua wa Century na watakaofaidika ni wananchi wa Kyela hivi vichwa viwili vikitwangana.

Hapa tuko pamoja ... huu ni uchaguzi wa karne. Upande mmoja kuna mafisadi woote kuanzia Lowasa na Mwakipesile, upande mwingine kuna Mwakyembe, na wakimaliza kupata mgombea wao, watakutana na mtu ambaye upinzani watamsimamisha huko Kyela.

- La George kuwa fisadi, bado ninalikataa sijaona sababu ya msingi, kama ni kukutana alianza kukutana na the right hand man wa DK, tena aliyemfuata London, silioni hili likipigiwa kelele hapa, Mwakipesile hamjui George, lakini yes ni adui namba moja wa DK, sheria haimzuii kumshabikia George na hata kumfanyia kampeni on his own ili kushindana na adui wake hilo linaeleweka, kwamba eti George anahusika directly na Mwakipesile au Lowassa, nimewauliza sana wale watu wa DK, ambao binafsi ninawaaminia sana inapokuja masuala ya kampeni za DK na George huko Kyela, infact mmojawao alinihakikishia kuwa George akimshinda mtu wake DK, basi yeye atahamia Malawi na kuomba uraia huko, now that is deep royalty kwa kiongozi, as opposed na hizi blah blah humu,

Haya ni maoni yako binafsi na sina sababu yoyote ya kuyachukulia kama facts.

- Alisema alisikia kuwa George anajenga bara bara ya lami Kyela kwa kusaidiwa na mafisadi, hasa Lowassa lakini alikwenda haraka sana huko na kuhakikisha kwamba sio kweli, na nimamumini sana huyu aliyeniambia haya, sasa hawa wawili wakiniambia kwamba George ameanza kuwa fisadi basi wala sina sababu ya kumuuliza George kama ni kweli au uongo, hawa ni watu tunaheshimiana sana, so far wamesema mengi mazuri na mabaya ya George as a candidate wa jimbo lao, lakini la kushirikiana na mafisadi hawajalisema na ninawaamini sana hasa inapokuja interest ya uongozi wa
DK huko jimboni.

Ha ha ha hah,

hii ya barabara ya lami imenivunja mbavu kabisaaa.

- Ushauri wangu kwa George, ni do not panic maana sasa umeingia siasa za taifa na hasa kwa kumgusa shujaaa wa taifa, haya ya JF ni madogo sana kulinganisha na ya mbele zaidi, hizi za JF ni za kawaida ingawa kuna mengine ni mazuri sana kwake kuyakariri, hasa ule ushauri wa Dilunga kwamba ifike time George ndiye awe the owner wa message yake na awe muangalifu sana na vibaka. Huna sababu yoyote ya kuhangaika kujibu hizi shutuma zisizo na kichwa wala miguu, be yourself watu ni watu tu maana ukiingalia vizuri sana hii thread utajionea mwenyewe some of the so called you "friends" wakivua ngozi zao rasmi, ndio maana hata viongozi wetu huteseka sana na siasa zetu Tanzania maana this is how we are, lakini yasikusumbue yachukulie kama changamoto.

Naona ushauri wako umefuatwa kabisaaaa.

Miwsho I am looking forward kuiona na binafsi kushiriki mijadala serious kwa ajili ya wananchi wa Kyela, pindi tu hizi blah blah zikiisha, zitaisha tu karibuni si unajua sisi wabongo na kipya kinyemi, soon tuta get down to serious business, otherwise ninamtakia safari njema kurudi "nyumbani" na pia ninamuombea sana kwa Mungu DK, amsalimishe na majaribu ya waovu wasiomtakia mema na ninawaombea sana wananchi wa Kyela kuwa waangalifu katika kutafakari hii situation, ambayo kama hawako makini itawaletea kimbembe sana, maana this thing is for real.

Mjadala mwema wananchi wenzangu wa JF, ila hapa ninaweka kalamu chini na huu mjadala. Na JF idumu where we dare! nafikiri hata George atajionea mwenyewe humu nyani alivyopigwa giladi, tena bila kumuangalia usoni ikiwa mchana kweupeee! I love JF!

Respect.

FMEs!

Respect kwako pia. George kama ameingia kwenye siasa ategemee kupata maswali na scrutiny ambayo wanasiasa wote bongo wanapewa. Na kwa vile anaingia CCM (chama ambacho mi nakihesabu kama cha mafisadi) basi George ameingia kwenye kundi la mafisadi kwa hiyo ategemee the same standard against mafisadi toka kwa wana JF.

Respect again na unakaribishwa muda wowote kwani mimi nitakuwa hapa hadi kieleweke.
 
Angalieni, hiyo ndio strategy yenyewe.

Kwa Kyela watu wanajua ukweli. Hii ni strategy ya kutokea ili akishindwa aje aseme ni mafisadi ndio wamemuondoa.

Onyesheni hizo pesa alizopewa Mwakalinga ziko wapi? Ile miradi yake anayojenga tokea miaka ya 90 pesa alipewa na nani?

Hii ndio itakuwa inajitokeza siku hadi siku kwa majina tofauti. Kuna watu wameandaliwa hapa kwa hilo lakini wanajisumbua bure. George ni smart kuweza kujua hizi njama.

George kweli ni smart kuweza kucheza na pande zote mbili za Mwakyembe na Mwakipesile kwa muda wote huu. Ninachojiuliza sasa hivi, ni kwa George ameamua kuchukua upande wa mafisadi wa kina Mwakipesile?
 
Fataki yupo wapi?, ningependa aje apambane na Mtanzania ana kwa ana.

Najua upo bize mkuu na mastrategy ila usikimbie sana, Siku hizi hata kwenye simu unaweza kuingia kwenye net. Ndo maana tunataka viongozi wa kisasa wanaoenda na wakati.

Pole FATAKI dakika zina tick tick tick tick..
 
Fataki yupo wapi?, ningependa aje apambane na Mtanzania ana kwa ana.

Najua upo bize mkuu na mastrategy ila usikimbie sana, Siku hizi hata kwenye simu unaweza kuingia kwenye net. Ndo maana tunataka viongozi wa kisasa wanaoenda na wakati.

Pole FATAKI dakika zina tick tick tick tick..

wewe nawe mkuu kama kipindi tukiwa elementary school halafu baadhi ya vijana wanawachochea wenzao kupigana.

ha ha hahaha
 
Mponjoli,

Kwi kwi kwi, sasa si nilikuwa na Mwakalinga kijijini na baadaye nikarudi mjini?

Dah...Mkuu Mtz,

Inaonekana ulimbana sana Mwakalinga.....kwa mtindo huu, tukiambiwa Mwakalinga alipofika AR alienda mara moja pale Mawingu Club kakamata TOTOs la Meru....mkuu unaweza elezea yote yaliyojiri kwa bed pamoja na kuielezea nini ya shori yule... (joke)...hahahah!
 
Na wewe umetumwa na Mwakyembe. Nyie ndo mnaamini kuwa kiongozi LAZIMA ADUMU MILELE!. Kubalini kuwa lazima watu wapishane uongozi.

No wonder nchi za Africa haziendelei kwa kuwa tuna watu wenye MAWAZO MGANDO wasiotaka mabadiliko hata kama zina maslahi ya umma!.

Miaka kumi inatosha inabidi wengine wachukue madaraka.

Kwa hiyo na wewe unavyompigia debe Kikwete kuwa apewe uongozi mwaka 2010 bila kujali kuwa Kikwete amekuwa serikalini na kwenye siasa kwa miaka zaidi ya 20 unatumia mawazo mgando?
 
Kwa hiyo na wewe unavyompigia debe Kikwete kuwa apewe uongozi mwaka 2010 bila kujali kuwa Kikwete amekuwa serikalini na kwenye siasa kwa miaka zaidi ya 20 unatumia mawazo mgando?


Mwafrika;

Swali zuri. Unapomaliza shule(yoyote) unaanza kazi ya chini, other things remain constant unapanda ngazi kwa ngazi, mpaka ufikie kuwa president wa kampuni inaweza kuchukua hata miaka 20. Hapo sina tatizo na wewe. Ndo issue kama ya Kikwete.

Dr miaka kumi inatosha, kwakweli tuweni na tamaduni ya kuachiana madaraka, hii ya akina Mugabe sio sahihi.

Mi nimeangalia kwa upana sio kwa issue hii ya Mwakyembe vs Mwakalinga
 
Mwafrika;

Swali zuri. Unapomaliza shule(yoyote) unaanza kazi ya chini, other things remain constant unapanda ngazi kwa ngazi, mpaka ufikie kuwa president wa kampuni inaweza kuchukua hata miaka 20. Hapo sina tatizo na wewe. Ndo issue kama ya Kikwete.

Dr miaka kumi inatosha, kwakweli tuweni na tamaduni ya kuachiana madaraka, hii ya akina Mugabe sio sahihi.

Mi nimeangalia kwa upana sio kwa issue hii ya Mwakyembe vs Mwakalinga


Pumba!
 
Kinachowashinda ni kwamba huwezi kukuta au kuona mahali popote ambapo Mwakalinga amefanya kitu chochote ambacho ni kinyume na maadili. Amejenga biashara zake Kyela zinazokaribia bilioni kwa sasa na nenda hata leo, huwezi kukuta hata mtu mmoja anayesema aliwahi kudhulumiwa au kunyang'anywa kitu na Mwakalinga.


Nitaendelee kujibu baadhi ya hoja kidogo kidogo kabla ya kuelezea safari zetu.

Naona sasa zimeanza kurushwa namba za kuonesha uwezo wa kifedha wa Mwakalinga. Kama Mwakalinga ana pesa hizi zote na miradi yote hii, je ni kwa nini anataka kuwa mbunge wa Kyela?

Kwa nini asisaidie tu kama kina Bill Gates wanavyofanya bila kuingia kwenye siasa?

Mtanzania una jibu? Nafasi yako hapa ya kuelezea sera na sababu ya kutaka kuwa mbunge wa Kyela. Nimekurushia bonge ya soft question la ki-charlie Rose.
 
Mwafrika;

Swali zuri. Unapomaliza shule(yoyote) unaanza kazi ya chini, other things remain constant unapanda ngazi kwa ngazi, mpaka ufikie kuwa president wa kampuni inaweza kuchukua hata miaka 20. Hapo sina tatizo na wewe. Ndo issue kama ya Kikwete.

Dr miaka kumi inatosha, kwakweli tuweni na tamaduni ya kuachiana madaraka, hii ya akina Mugabe sio sahihi.

Mi nimeangalia kwa upana sio kwa issue hii ya Mwakyembe vs Mwakalinga

Bado hujaweka tofauti yoyote kati ya Kikwete (ambaye alikuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10) ambaye amekuwa kiongozi wa ngazi ya juu kwa muda wowote kuruhusiwa kubaki madarakani lakini wazee wenzake (kina Mwakyembe?) wanaambiwa watoke.

Nataka kusoma sababu na/au tofauti ya hivyo viwili.
 
Bado hujaweka tofauti yoyote kati ya Kikwete (ambaye alikuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10) ambaye amekuwa kiongozi wa ngazi ya juu kwa muda wowote kuruhusiwa kubaki madarakani lakini wazee wenzake (kina Mwakyembe?) wanaambiwa watoke.

Nataka kusoma sababu na/au tofauti ya hivyo viwili.


Sawa mzee. Kikwete miaka kumi Uwaziri wa mambo ya nje. Enough.

Miaka kumi urais. Enough.

Nilichosema kama unapanda ngazi au unashikilia vyeo tofauti ni sawa, sio kuwa kwenye cheo kimoja your entire life.

Umenielewa mkuu?
 
Mponjoli,


Kinachowatisha Kyela ni kwamba michango ya Mwakalinga kule Kyela haijaanza jana wala juzi. Kwa miaka karibu ishirini sasa anasaidi shule hasa kwenye majengo na vitabu. Mfano tu, mwaka 1987 akiwa chuoni, yeye na vijana wenzake wachache wa Kyela walichanga pesa ili walimu wanafunzi pale mlimani waende Kyela kufundisha shule za sekondari mbili ambazo zilikuwa hazina walimu. Walikata posho yao ya field ili kuwasaidia wale walimu. Waliendelea hivyo mpaka yeye alipoondoka kwenda kusoma nje.

Wakati wao wanawekeza Dar, Mwakalinga miradi yake yote iko Kyela tena sio ya kuanza jana kwamba wanaweza kusema ni kwasababu ya ubunge.

Mwakalinga ana interests nyingi sana kwenye masuala ya elimu. Sio tu kawasaidia wadogo zake wote kusoma mpaka vyuo vikuu, lakini pia kuna vijana ambao wala sio ndugu ila aliwaona wana uwezo na akawasaidia na sasa wanasoma vyuo vikuu.

.

Katika waraka(mwongozo) wa Mwakipesile kwa wanakyela, unaotumika kumnadi Mwakalinga kuna mambo ishirini yanayotajwa(waraka ambao umewekwa hapa JF na mdau mmoja) kwa ajili ya kuwaongoza wanakyela kumchagua bw.Mwakalinga.

Kusaidia kupeleka walimu wa sekondari kyela wakati akiwa anasoma chuo kikuu wakati Mwakyembe akiwa mhadhiri hakutoa msaada wowote.
Waraka aka mwongozo unasema Mwakyembe amewekeza dar, kajenga nyumba kubwa kuzidi hata mafisadi, na wewe hapa tena unarudia maneno yale yale ya mwongozo wa mwakipesile.

Katika hali kama hii utawezaje kutuaminisha kwamba bw.Mwakalinga hayuko kambi moja na mwakipesile?
unajua hata kama mwaka 2005 mwakalinga na mwakyembe walikuwa kambi moja sio suala la ajabu mwaka 2010 mwakalinga na mwakipesile kuwa kambi moja kwakuwa tayari mwakalinga hayuko pamoja na mwakyembe.
kwangu mimi hiyo siyo hoja ya msingi ya kuwafanya mwakipesile na mwakalinga wasishirikiane.
 
Sawa mzee. Kikwete miaka kumi Uwaziri wa mambo ya nje. Enough.

Miaka kumi urais. Enough.

Nilichosema kama unapanda ngazi au unashikilia vyeo tofauti ni sawa, sio kuwa kwenye cheo kimoja your entire life.

Umenielewa mkuu?

kwa logic hii, kwa nini isiwe kwamba Mwakyembe naye apewe miaka 10 Kyela? Kwa nini unatumia different standard?
 
Katika waraka(mwongozo) wa Mwakipesile kwa wanakyela, unaotumika kumnadi Mwakalinga kuna mambo ishirini yanayotajwa(waraka ambao umewekwa hapa JF na mdau mmoja) kwa ajili ya kuwaongoza wanakyela kumchagua bw.Mwakalinga.

Kusaidia kupeleka walimu wa sekondari kyela wakati akiwa anasoma chuo kikuu wakati Mwakyembe akiwa mhadhiri hakutoa msaada wowote.
Waraka aka mwongozo unasema Mwakyembe amewekeza dar, kajenga nyumba kubwa kuzidi hata mafisadi, na wewe hapa tena unarudia maneno yale yale ya mwongozo wa mwakipesile.

Katika hali kama hii utawezaje kutuaminisha kwamba bw.Mwakalinga hayuko kambi moja na mwakipesile?
unajua hata kama mwaka 2005 mwakalinga na mwakyembe walikuwa kambi moja sio suala la ajabu mwaka 2010 mwakalinga na mwakipesile kuwa kambi moja kwakuwa tayari mwakalinga hayuko pamoja na mwakyembe.
kwangu mimi hiyo siyo hoja ya msingi ya kuwafanya mwakipesile na mwakalinga wasishirikiane.

Safi kabisa Mwita,

Kwa kuongezea tu, kwa nini Mwakalinga na wapambe zake watumie msaada alioutoa kwa wana Kyela (kama kweli aliutoa bila strings attached) kuwa ni chambo cha kuwataka watu wa Kyela kumpa kula (kura)?

Hii ni blackmail au nini?
 
kwa logic hii, kwa nini isiwe kwamba Mwakyembe naye apewe miaka 10 Kyela? Kwa nini unatumia different standard?

East Africa + Bunge la Muungano ni miaka mingapi?

Au utasema ni vyeo tofauti? OK.

Naomba niulize wakati nakubaliana na wewe kuwa ni vyeo tofauti.

Mwakyembe ametangaza kugombea tena Kyela?
 
Back
Top Bottom