Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
kwa mara ya kwanza umenena pwenti.....ukute jamaa limetoka kasamwa karudia la 7 mara 3 kafaulu kaenda sengerema kisha Tosamaganga......BA,MA na PhD zoote USSR huyo kakata aka 8 anarudi home umkute wizarani weeee utamkoma....
this mwakalinga bana ni kasoma lakini bado tu anaonahajatambulika......baridi la Warsaw anataka alipizie kyela.....anasema alipeleka walimu sijui kyela wanasiasa bana...kesho nakuambia utamsikia anasema ameisaidia sana kyela kuipigia debe JF.....
Acha kujipendekeza. Sipendi mabinti wa kiume mimi...umesikia kadogoo? Hapa ni mashuti mtindo mmoja