Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Haya ni mawazo ya kinadharia kuliko hali halisi kisiasa. Uchaguzi haushindiki na kushindwa kwa misingi ya nani ana sifa bora zaidi pekee.

Ingekuwa hivyo labda Mwandosya na Salim Salim ndio wangekuwa marais. Lakini kwenye campaign kuna mengi. Salim Salim alipakwa matope na kambi ya Kikwete, akaonekana hafai. Mwandosya alionekana sio "kijana" na CCM stalwart kuliko Kikwete.

Tunapojadili Mwakyembe vs Mwakalinga lazima tuangalie mambo mengine ambayo yanaambatana na kampeni, campaign tactics, na pia jinsi mgombea anakavyojiuza, na kuuzwa na mwenzake, kupakwa matope etc.

Mwakyembe ni campaigner mzuri sana kwa standard za Tanzania, anaweza kuchota watu akili hata akiwa anaongea kwa matusi. Mwakalinga anaweza kuwa bora zaidi lakini Mwakyembe akamwangusha kwa sababu ya u-alwatan na sifa bandia, kambi ya Mwakalinga haiwezi kuyafungia macho haya, yanaweza kutokea. Yatatokea
.

- Strong!

Respect.


FMEs!
 
Asante mzee nitabeba kebehi zako kwa maslahi ya watanzania wengi wasio na uwezo wa Ku-vet viongozi wao. Nitabeba kebehi zako kwa ajili ya taifa langu linaloliwa kila siku na kunyimwa haki ya kujua viongozi wao kabla hawajachaguliwa.

Nitabeba kebehi zako nikijua kwamba ndio njia pekee ya viongozi wasio bora kuzima hoja elimishi na hasa zile zinazoingilia maslahi yao na rafiki zao.

Nitabeba kebehi zako kwa heshima na taadhima nikijua kwamba nasaidia wengi kujua ukweli.

na mwisho nakwambia Asante sana, huniumizi moyo wala hunikatishi tamaa ila najua panapo hasira ukweli huwa karibu kutoka. lets keep pressure up.

Mshikaji kubali uliuliza mambo ambayo yalishajadiliwa. Kwa ufupi ULIBOA. Swali lako sio kama ilikuwa mbaya ila ilishaulizwa.

Acha longolongo kubali tuendelee. Ila unaboa kurudisha watu nyuma halafu we mwenyewe HUJIELEWI!!
 
Kinepi,

Unataka Mwakalinga akanushe mara ngapi ndio ukubali? Mwakalinga hajawahi kukutana na Lowassa mahali popote hapa duniani. Hajawi kupeana mkono na Lowassa, hajawahi kuwa hata chumba kimoja na Lowassa.Hajawahi kuwa hata meter 100 toka alipokuwa Lowassa. Anamwona Lowassa kwenye TV na magazeti tu.

Nakuomba kama unataka ukweli tafuta contacts za Choroa Luxury Safaris ya Arusha na waulize unachotaka kuhusu huyo George na linganisha na maelezo yaliyoko hapa.

Mwakalinga ni mpinzani wa ufisadi kwa vitendo na wala sio maneno matupu. Hushangai husomi hata mmoja anayesema mimi namfahamu Mwakalinga na alifisadi hiki mahali hapa?

Huu ni ujumbe wangu wa mwisho kwenye thread hii na badala yake tunapeleka nguvu zote kule Kyela kuandaa mikakati ya kumkomboa mwana Kyela na hasa vijana kutoka hizi siasa za usanii. Ni mapambano ambayo tunayaamini kwa dhati na hakuna kurudi nyuma. Wanaofikiri watamtisha na kumchafua Mwakalinga ili eti aogope na kuendelea na kazi zake basi mnajisumbua bure, mapambano ndio kwanza yanaanza! Tunatoka kwenye mapambano ya fikra kwenda kwenye matendo na kuwasaidia vijana waweze kujijengea maisha yao ya baadaye.

Karibu Kyela ujifunze siasa za vitendo na maendeleo.

Mheshimiwa Mtanzania aka Mwakalinga, kwanza nakushukuru kwani umejibu bila lugha ya Kejeli wala matusi. nakutakia kampeni njema, na endelea kujibu hoja hasa zile unazoona zinafaa, kumbuka ni haki ya mpiga kura kupata ukweli.

Viongozi wa leo ni wale ambao wapo tayari kujibu na kusikiliza wanayoyapenda na yale wasiyoyapenda.
 
Mkuu acha utoto. Ulichemsha. Uli quote kipengele cha kurasa ya sabini wakati ilishajibiwa.

Kuna watu wengine mnaandika tu kwasababu sio illegal kuandika. usitumie neno la ufisadi kuficha uwezo wako wa kufikiria.

Imeandikwa: ficha upumbavu wako, ila usifiche hekima yako -- Yoshua bin Sira

Asante mheshimiwa, kwani imeandikwa mwisho wa busara ndio mwanzo wa matusi na kejeli, na hili ndilo lilojenga kwa viongozi wengi ambao upeo wao ni mdogo. kumbuka mazingira ya elimu wengi waliyokulia ni yale ya prof. ni sahihi na ikitokea mwanafuzi akaonyesha uwezo prof. anaona kama anamuumbua na kutengeneza uhasama. Ila kwa maprofesa ambao wanatunga vitabu na kujua kwamba dunia imejaa info ambazo sio rahisi mtu mmoja kuwa nazo zote wakikumbana na maswali mazito ama ambayo hawana majibu huomba kurudi na jibu baada ya kufanya utafiti, vilevile kwa sababu ya ustaarabu kuna maneno mengi watu wastaarabu huwa hawayatumii.

Ila kikomo cha kufikiri ni mwanzo wa matusi, na mwisho wa hekima ni mwqanzo wa upumbavu. Ila naomba tujengane kwenye misingi ya hekima na busara huku tukiwa tayari kusikiza hoja huru.

Bill Clinton aliwahi kusema hata wale wanaonipinga wananifunza kwani ndio mwanzo wa ujuzi.

naomba tukosane na kujibizana kwa hoja ili tujenge kizazi chenye kuheshimiana na kupingana bila kugombana.
 
Mheshimiwa Mtanzania aka Mwakalinga, kwanza nakushukuru kwani umejibu bila lugha ya Kejeli wala matusi. nakutakia kampeni njema, na endelea kujibu hoja hasa zile unazoona zinafaa, kumbuka ni haki ya mpiga kura kupata ukweli.

Viongozi wa leo ni wale ambao wapo tayari kujibu na kusikiliza wanayoyapenda na yale wasiyoyapenda.

Kinepi_nepi,

Tangu hii makala ianze, tumekuwa tukijibu shutuma za kumshambulia Mwakalinga ambazo nyingi hazina hata maana. Mtu anakashifu hata nchi ya Poland aliposomea na wakati huo, kiuchumi ukweli ni kuwa Poland iko mbali saaana kuzidi Tanzania, ni member wa European Union, NATO na ni moja ya nchi chache sana DUNIANI ambazo hazikuathirika sana na HOMA ya Uchumi. Hata shule aliyosomea Mwakalinga, kwa sasa iko kwenye nafasi kama ya 600 katika listi ya Vyuo 4,000 bora duniani.
Ilifika muda sasa tukaanza kutumia Newton's Law of Motions. Mtu akiuliza kistaarabu kama ulivyoandika, hata kama unarudia, tutakujibu na kukuelewesha. Ila akiuliza na kuanza kutoa kashfa kama wewe mwanzo kuwa umesoma between the line na vitu vingine, hapo tulikuwa tunamjibu sawasawa na UPUUZI wake alioulizia. "In Every reaction, there's equal and oposite reaction".Kwa hiyo hapa usitulaumu sisi ila imebidi tuwe tunajibu watu kwa namna hiyo.

Sijui kama wafahamu kuwa mtu kama Kanda2 na Mwafrika ni mtu mmoja? Kibaya zaidi ni kuwa anamfahamu sana Mwakalinga na anafahamu wazi kabisa kuwa Lowassa alikuwa Dodoma bungeni wakati Mwakalinga yuk Arusha kutalii. Ila anakuja hapa kusema kuwa Mwakalinga alikutana na Lowassa Arusha.
Hapo wanakuja sasa WATANI wa kwenye JF. Masanilo, Yo Yo, na Nyani Ngabu ambao wao kila mtu anafahamu kuwa si wa kusikilizwa sana maana utani na wao ni DUGU MOJA.
Nimekujibu hivi kukuonyesha tu kuwa "sisi ni watu na BUSARA zetu". Ila twaweza kuzitumia hizo busara katika kujadili, kusilibana, vijembe, kashfa, kuvuruga thread nk. Sijui kama utakuwa umetuelewa. I hope yes.
Tuendelee kujadiliana bila KUPAKANA matope na wala bila ya kuoneana AIBU pale mtu anapokosea. Ila Kuzuliana siyo vizuri hata kidogo.

Mungu Ibariki JF, Mungu ibariki Tanzania.
 
Last edited:
Hapo wanakuja sasa WATANI wa kwenye JF. Masanilo, Yo Yo, na Nyani Ngabu ambao wao kila mtu anafahamu kuwa si wa kusikilizwa sana maana utani na wao ni DUGU MOJA.
Point of interruption sir....! was serious and meant it Mtanzania ni zao la Ufisadi na ninarudia ametumwa na mtandao wa kifisadi kuchafua hali ya hewa kule Kyela. Fisadi's wapo wakutosha bungeni tusiongezee Mwakalinga bandugu. Mimi na wapiga kura wenzangu wa Kyela hatutokubali tutahakikisha Mh Dr Mwakyembe anarudi bungeni kwa kishindo. Maslahi ya taifa mbele ......Mwakyembe for life!
 
Point of interruption sir....! was serious and meant it Mtanzania ni zao la Ufisadi na ninarudia ametumwa na mtandao wa kifisadi kuchafua hali ya hewa kule Kyela. Mimi na wapiga kura wenzangu wa Kyela hatutokubali tutahakikisha Mh Dr Mwakyembe anarudi bungeni kwa kishindo. Maslahi ya taifa mbele ......Mwakyembe for life!

Uzuri ni kuwa Mwakalinga ananguvu za KIROHO. Ndiyo maana alipokuwa Arusha, aliweza kuongea na Lowassa aliyekuwa bungeni Dodoma na hapohapo akaweza kufungua kikao cha watu kibao huko Kyela na kuanza kutangaza kampeni zake.

Inabidi tu MZIFYATE maana huwezi kushindana na mtu anayekuwa sehemu TATU tofauti kwa nguvu ya KIROHO (maneno ya Malayfale) na wakati nyie hata hiyo moja tu hamuonekani.

Mwisho wee Mkuu Masanilo tumekuzoea. Hivi hata nyumbani kabla hujasalimia familia, huwa unaanza kwa utani nini? Yaani unatania hadi LAPUTOPU yako inacheka. Si nenda tu kajiunge na ile family ya Wayans?
 
Uzuri ni kuwa Mwakalinga ananguvu za KIROHO. Ndiyo maana alipokuwa Arusha, aliweza kuongea na Lowassa aliyekuwa bungeni Dodoma na hapohapo akaweza kufungua kikao cha watu kibao huko Kyela na kuanza kutangaza kampeni zake.

Inabidi tu MZIFYATE maana huwezi kushindana na mtu anayekuwa sehemu TATU tofauti kwa nguvu ya KIROHO (maneno ya Malayfale) na wakati nyie hata hiyo moja tu hamuonekani.

Mwisho wee Mkuu Masanilo tumekuzoea. Hivi hata nyumbani kabla hujasalimia familia, huwa unaanza kwa utani nini? Yaani unatania hadi LAPUTOPU yako inacheka. Si nenda tu kajiunge na ile family ya Wayans?


Nice joke, well done.
 
Tumemaliza mkutano na mbunge wetu. Alikuwa mstaarabu sijawahi kumwona Dr akiwa hivi. Nampongeza sana kwa ustaarabu aliouonyesha leo.

Anasema spika alimpa pesa za kwenda kutibiwa ujerumani, itabidi tuombe risiti.

Ila kadanganya tu kwamba kaja leo asubuhi wakati wajanja wa mjini tunajua aliingia Tukuyu toka jumatano na walikuwa na vikao kadhaa kuandaa mkutano huu.

Kuanzia kesho kasema atapita kata zote. Hongera Mwakalinga kwa kumsaidia mbunge wetu aanze kuwajibika.

Richard Kirumbo ndio katoa mpya kwa kusema dr ni mbunge wa Muyaya kama alivyokuwa anaambiwa Banda.

Tunataka mikutano kama hii na sio vijembe vingi.
 
Kinepi_nepi,

Tangu hii makala ianze, tumekuwa tukijibu shutuma za kumshambulia Mwakalinga ambazo nyingi hazina hata maana. Mtu anakashifu hata nchi ya Poland aliposomea na wakati huo, kiuchumi ukweli ni kuwa Poland iko mbali saaana kuzidi Tanzania, ni member wa European Union, NATO na ni moja ya nchi chache sana DUNIANI ambazo hazikuathirika sana na HOMA ya Uchumi. Hata shule aliyosomea Mwakalinga, kwa sasa iko kwenye nafasi kama ya 600 katika listi ya Vyuo 4,000 bora duniani.

Hah hah hah,

chuo cha 600, yaani hii kambi ya Mwakalinga bwana!

Ilifika muda sasa tukaanza kutumia Newton's Law of Motions. Mtu akiuliza kistaarabu kama ulivyoandika, hata kama unarudia, tutakujibu na kukuelewesha. Ila akiuliza na kuanza kutoa kashfa kama wewe mwanzo kuwa umesoma between the line na vitu vingine, hapo tulikuwa tunamjibu sawasawa na UPUUZI wake alioulizia. "In Every reaction, there's equal and oposite reaction".Kwa hiyo hapa usitulaumu sisi ila imebidi tuwe tunajibu watu kwa namna hiyo.

Naona hapa umethibitisha maneno yangu kuwa kambi ya Mwakalinga imejaa watu wenye visasi kiasi kwamba wakipewa nchi au uongozi wowote Tanzania, wapinzani kama kina Slaa watajikuta jela chini ya Newton's law.

Sijui kama wafahamu kuwa mtu kama Kanda2 na Mwafrika ni mtu mmoja?
Kibaya zaidi ni kuwa anamfahamu sana Mwakalinga na anafahamu wazi kabisa kuwa Lowassa alikuwa Dodoma bungeni wakati Mwakalinga yuk Arusha kutalii. Ila anakuja hapa kusema kuwa Mwakalinga alikutana na Lowassa Arusha.
Hapo wanakuja sasa WATANI wa kwenye JF. Masanilo, Yo Yo, na Nyani Ngabu ambao wao kila mtu anafahamu kuwa si wa kusikilizwa sana maana utani na wao ni DUGU MOJA.

Invisible,

Hivi kwa Sikonge ameitisha watu kuchangia JF ndio maana anavunja sheria zako na za forum kwa makusudi bila kupata adhabu kama wengine?


Nimekujibu hivi kukuonyesha tu kuwa "sisi ni watu na BUSARA zetu". Ila twaweza kuzitumia hizo busara katika kujadili, kusilibana, vijembe, kashfa, kuvuruga thread nk. Sijui kama utakuwa umetuelewa. I hope yes.
Tuendelee kujadiliana bila KUPAKANA matope na wala bila ya kuoneana AIBU pale mtu anapokosea. Ila Kuzuliana siyo vizuri hata kidogo.

Mungu Ibariki JF, Mungu ibariki Tanzania.

Hah haha,

Umejibu kwa sababu timu yenu inahitaji kula (yes ile mipesa ya ubunge) na wala sio chochote kingine. Inachekesha kuona ukisema kuwa unataka watu waendelee kujadiliana huku ukitaka pia kuamua cha kujadiliwa (kwa kutumia connection yenu ya kuanzisha hii forum na kuichangia?).
 
Tumemaliza mkutano na mbunge wetu. Alikuwa mstaarabu sijawahi kumwona Dr akiwa hivi. Nampongeza sana kwa ustaarabu aliouonyesha leo.

Anasema spika alimpa pesa za kwenda kutibiwa ujerumani, itabidi tuombe risiti.

Ila kadanganya tu kwamba kaja leo asubuhi wakati wajanja wa mjini tunajua aliingia Tukuyu toka jumatano na walikuwa na vikao kadhaa kuandaa mkutano huu.

Kuanzia kesho kasema atapita kata zote. Hongera Mwakalinga kwa kumsaidia mbunge wetu aanze kuwajibika.

Richard Kirumbo ndio katoa mpya kwa kusema dr ni mbunge wa Muyaya kama alivyokuwa anaambiwa Banda.

Tunataka mikutano kama hii na sio vijembe vingi.

Wakati timu Mwakalinga inalialia hapa kuwa watu wasiweke habari za kusikika tu, wao wanaendelea kuweka udaku na habari za uongo za mtu wanayetaka kumtoa kwenye ubunge.

Kumbuka waswahili walichosema kuhusu mkuke kwa nguruwe....
 
Hah hah hah,

chuo cha 600, yaani hii kambi ya Mwakalinga bwana!
Naona hapa umethibitisha maneno yangu kuwa kambi ya Mwakalinga imejaa watu wenye visasi kiasi kwamba wakipewa nchi au uongozi wowote Tanzania, wapinzani kama kina Slaa watajikuta jela chini ya Newton's law.
Invisible,

Hivi kwa Sikonge ameitisha watu kuchangia JF ndio maana anavunja sheria zako na za forum kwa makusudi bila kupata adhabu kama wengine?

Hah haha,

Umejibu kwa sababu timu yenu inahitaji kula (yes ile mipesa ya ubunge) na wala sio chochote kingine. Inachekesha kuona ukisema kuwa unataka watu waendelee kujadiliana huku ukitaka pia kuamua cha kujadiliwa (kwa kutumia connection yenu ya kuanzisha hii forum na kuichangia?).

Mwafrika,

Ilikuwa NIKUJIBU Utumbo ila kwa kuwa nafahamu wewe ni nani ............
 
Wakati timu Mwakalinga inalialia hapa kuwa watu wasiweke habari za kusikika tu, wao wanaendelea kuweka udaku na habari za uongo za mtu wanayetaka kumtoa kwenye ubunge.

Kumbuka waswahili walichosema kuhusu mkuke kwa nguruwe....

Engineer,

Angalia sana KUJIBIZANA na Mwafrika. Nafikiri unaelewa nina maana gani.
 
Mwakalinga asifikirie kirahisi hivyo, kwamba yeye atakapopewa jimbo la Kyela anaweza kulibadilisha jimbo kwa kuleta maendeleo makubwa tofauti na mbunge aliyeko madarakani na hata waliomtangulia. Pamoja na kuwa kugombea ubunge ni haki yake ya kikatiba bado Mwakalinga hawezi kufika mahali pa kujidai kuwa yeye ndiye anayeweza kuleta mabadiliko ya kimaendeleo wilayani Kyela. Yeye kama Mwakalinga hawezi kufanya muujiza kama Mussa alivyotumia fimbo kufanya njia katika bahari ya Shamu au Mfalme Daudi alivyoweza Kuuwa jitu lenye Nguvu Nyingi liitwalo Goliath. Kwa maana hiyo basi asije akawa Goliath wa Kyela. Hata hivyo Mwakalinga asifike mahali pa kjitapa kuwa yeye ana uzoefu wa kuongoza, UZOEFU WAKE NI WA HUKO ULAYA na sio Tanzania na Afrika kwa ujumla.Bw. Mwakalinga asichukulie uepesi wa ktunnza fedha za kikundi cha watu wnao nia ktu kimoa ni sawa na kuongoza watu wenye mitizamo tofauti.
 
Mwakalinga asifikirie kirahisi hivyo, kwamba yeye atakapopewa jimbo la Kyela anaweza kulibadilisha jimbo kwa kuleta maendeleo makubwa tofauti na mbunge aliyeko madarakani na hata waliomtangulia. Pamoja na kuwa kugombea ubunge ni haki yake ya kikatiba bado Mwakalinga hawezi kufika mahali pa kujidai kuwa yeye ndiye anayeweza kuleta mabadiliko ya kimaendeleo wilayani Kyela. Yeye kama Mwakalinga hawezi kufanya muujiza kama Mussa alivyotumia fimbo kufanya njia katika bahari ya Shamu au Mfalme Daudi alivyoweza Kuuwa jitu lenye Nguvu Nyingi liitwalo Goliath. Kwa maana hiyo basi asije akawa Goliath wa Kyela. Hata hivyo Mwakalinga asifike mahali pa kjitapa kuwa yeye ana uzoefu wa kuongoza, UZOEFU WAKE NI WA HUKO ULAYA na sio Tanzania na Afrika kwa ujumla.Bw. Mwakalinga asichukulie uepesi wa ktunnza fedha za kikundi cha watu wnao nia ktu kimoa ni sawa na kuongoza watu wenye mitizamo tofauti.

Mwakalinga hafikirii kirahisi hivyo.
 
- Saafi sana, mkuu tupo pamoja sana ilikuwa apewe uwaziri ila ni Lowassa ndiye aliyeng'oa jina lake dakika za mwisho, mnyonge mnyongeni.

- Otherwise, hoja zako ni nzito sana kwa machache ya huko Kyela ninayoyajua.

Respect.

FMEs!

Najua unachokifanya ila mimi watu wanaopenda kujinyonga huwa sitaki kujibizana nao kabisa kwa kuogopa madhara yake!
 
Wee Mwita,
Hilo tusi ulilonitukana kimoyomoyo ***** nasema asante sana. Sijawahi kusifiwa kwa kupewa manyotanyota mengi namna hiyo.

Nilifahamu tangu mwanzo wee kijana wa miondoko ya Mombasa. Sauti lainii na kurembua macho "sasa kaka Mwakalinga, na mimi ntapata LAPUTOPU?". Ehhh Kaza sauti basi, unaongea kama Form one ambaye hajabarehe.
Usivyo na aibu unadhihirisha kabisa wee ni Mombasa line. Haya ya eti "TUNAKUJUA SANA", ebooo, mie simo. Mie namjua mke wangu tu hapa "cheupe dawa wangu, niliyelipa mang'ombe 35".

Sikonge,
Unatakiwa unafahamu kwamba wanyamwezi mmekuwa watumwa kwenye mashamba makubwa maeneo ya pwani kwa miaka nenda rudi.Kwa hali hiyo hata tabia za pwani mmezichukua na mnajifanya nanyi ni watu wa pwani.

Kujiona unajua sana kiswahili, kujifanya kuchezea maneno hilo halinipi shida.
Lakini ukumbuke kwamba kama unataka tuendelee kurushiana maneno hapa, sipati shida kwa hilo pamoja na kuwa sikuzaliwa, kukulia na kulelewa pwani kama wewe.

Mwanaume rijali hawezi kupoteza muda wake kumuangalia mwanaume mwenzie machoni na kuisikiliza sauti yake na kuiita laini, lakini ikitokea hivyo, huna sababu ya kujiuliza kulikoni? huyo ni wazi kabisa anakuwa ni mtoto si rizki.

Kwahiyo naomba kuishia hapa kutoendelea kurushiana maneno nawewe kwa kuwa nimeshakujua wewe mtoto si rizki, endelea tu kuwafuata fuata wanaume wengine uliowazoea, mi mtu wa tarime hizo mambo hatuendekezi.
 
Back
Top Bottom