Kyela, Mbeya: Mwanachama wa CHADEMA afungwa Maisha kwa kuchoma moto nyumba ya Mwana-CCM

Kyela, Mbeya: Mwanachama wa CHADEMA afungwa Maisha kwa kuchoma moto nyumba ya Mwana-CCM

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa kwa Umma:

Leo Tarehe 15/2/2022 Mahakama ya Wilaya ya Kyela imemhukumu kifungo cha maisha Gerald Mwakitalu kwa kesi ya uongo ya kuchoma moto nyumba ya Mwana-CCM kwenye uchaguzi wa 2020, huu ni ule ule mwendelezo wa hujuma dhidi ya CHADEMA ulioasisiwa na utawala wa awamu ya 5 kwa hisani ya Jiwe.

Kuwa_mfuasi_wa_CHADEMA_nchi_hii_ni_hatari%252C_na_watawala_wanafanya_kuwa_jinai._Leo_Tarehe_15...jpg
Kesi_ya_mchongo_nyingine_hii...._Kamanda_kafungwa_maisha_kisa_siasa_tu.%0A%0ANI_WIKI_YA_VITABU...jpg


Hata hivyo Chadema - Kyela imeahidi kukata rufaa ili kupambana na hukumu hiyo ya mchongo .

Nakala: PETER KIBATALA

UPDATES
=========

Leo tarehe 7/10/2022 Gerald Mwakitalu ameachiwa huru na Mahakama ya rufaa baada ya tuhuma dhidi yake kuonekana ni za uongo Mtakatifu .

Tunamuomba Mungu atoe Hukumu ya Haki kwa Wote waliotumika kumkandamiza kijana huyu , akiwemo Hakimu aliyetoa hukumu ile ya uongo , pamoja na ccm yote , Amina .
 
Hukumu inaweza kuwa mbovu au la i=kwa kutegemea mazingira ya kosa lenyewe. kama alichoma nyumba wakati watu wamo ndani wamelala, anaweza kuwa ameshitakiwa kwa attempted murder, kosa ambayo linabeba hukumu ni kubwa lakini siamini kuwa inafikia kufungwa maisha.

Ila kama alichoma nyumba kumkomesha tu wakati haina watu ndani, hiyo ni arson na hukumu yake siyo kubwa kiasi hicho.
 
Hukumu inaweza kuwa mbovu au la i=kwa kutegemea mazingira ya kosa lenyewe. kama alichoma nyumba wakati watu wamo ndani wamelala, anaweza kuwa ameshitakiwa kwa attempted murder, kosa ambayo linabeba hukumu ni kubwa lakini siamini kuwa inafikia kufungwa maisha. Ila kama alichoma nyumba kumkomesha tu wakati haina watu ndani, hiyo ni arson na hukumu yake siyo kubwa kiasi hicho.
Hahusiki na chochote, ni ile ile michongo
 
Hukumu inaweza kuwa mbovu au la i=kwa kutegemea mazingira ya kosa lenyewe. kama alichoma nyumba wakati watu wamo ndani wamelala, anaweza kuwa ameshitakiwa kwa attempted murder, kosa ambayo linabeba hukumu ni kubwa lakini siamini kuwa inafikia kufungwa maisha. Ila kama alichoma nyumba kumkomesha tu wakati haina watu ndani, hiyo ni arson na hukumu yake siyo kubwa kiasi hicho.

Mkuu Arson adhabu yake ni kifungo cha maisha ...sijui kwanini ikawa hivyo lakini ndio hivyo
 
Mkuu Arson adhabu yake ni kifungo cha maisha ...sijui kwanini ikawa hivyo lakini ndio hivyo
Najaribu kuwaza. Ofisa wa polisi mtu mzima na mwenye akili zake anaenda ofisini na kumfungulia mwingine shtaka la ARSON la uongo huku akijua adhabu yake ni kifungo cha maisha jee huyo anajisikiaje moyoni mwake?

Unaenda kutengeneza uongo ili umpoteze mtu maisha yote, una tofauti gani na muuaji? Tena kwa kutumia ofisi ya umma?
 
Taarifa kwa Umma : Leo Tarehe 15/2/2022 Mahakama ya Wilaya ya Kyela imemhukumu kifungo cha maisha Gerald Mwakitalu kwa kesi ya uongo ya kuchoma moto nyumba ya mwanaccm kwenye uchaguzi wa 2020 , huu ni ule ule mwendelezo wa hujuma dhidi ya CHADEMA ulioasisiwa na utawala wa awamu ya 5 kwa hisani ya Jiwe.


View attachment 2120559View attachment 2120558

Hata hivyo Chadema - Kyela imeahidi kukata rufaa ili kupambana na hukumu hiyo ya mchongo .

Nakala : PETER KIBATALA
Mungu ibariki CHADEMA.. Hii hukumu itabatilishwa mbeleni
 
Back
Top Bottom