Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Na muda ndio utasemaShetani hajawahi kumshinda Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na muda ndio utasemaShetani hajawahi kumshinda Mungu
No hate! Hatutalipa kisasj lakini sheria irachukua mkondo wakeHakuchoma na wala hakuna kifo
Hakuchoma na wala hakuna kifokwa nini alichoma?Kama kungekuwa na mtu angepona?
Ukitaka utetewe mitandaoni, kwanza chukua uanachama wa CHADEMA, na hakikisha unaitwa kamanda - halafu ua mtu! Kwa hukumu utakayo pata, mbele ya wachangiaji mitandaoni utakuwa umebambikiziwa kesi!..huo ni ujinga wa polisi, waendesha mashtaka, na hakimu.
Uwongo na chuki zenu zisizo na sababu za kweli kwa Rais Hayat Magufuli zinawatenganisha na uwepo wa Mungu. Mnachelewesha hatima zenu kwa mambo ya kipumbavu kama haya ya kila kitu mnamsingizia Magufuli. Kama ni Magufuli sasa amekufa, nini kinachofanya malaika waliopo wasitende haki?Taarifa kwa Umma : Leo Tarehe 15/2/2022 Mahakama ya Wilaya ya Kyela imemhukumu kifungo cha maisha Gerald Mwakitalu kwa kesi ya uongo ya kuchoma moto nyumba ya mwanaccm kwenye uchaguzi wa 2020 , huu ni ule ule mwendelezo wa hujuma dhidi ya CHADEMA ulioasisiwa na utawala wa awamu ya 5 kwa hisani ya Jiwe.
View attachment 2120559View attachment 2120558
c
Hata hivyo Chadema - Kyela imeahidi kukata rufaa ili kupambana na hukumu hiyo ya mchongo .
Nakala : PETER KIBATALA
Vipi waliomuua Kamanda Mawazo, Azori Gwanda, Ben Saa Nane, Mwangosi na wakampiga risasi Tundu Lisu, n.k. wao makosa yao unayaweka katika rank gani na adhabu yao ilikuwa nini kweli?Eti kosa dogo hukumu kubwa mnajua alivuja jasho la kiasi gani kujenga nyumba yake?
Heko kwa Hakimu, funzo kwa wengine wenye mihemko ya kisiasa isiyo na tija.
Kwahiyo nawewe unasikiliza maneno ya kuambiwa.Wewe una uwendawazimu. Unaambiwa kuwa kijana hakuchoma nyumba ya mtu, bali.amebambikiwa.
Neno "hata kama" linasimamia mashaka ya kuwepo kitendo.Hakuchoma na wala hakuna kifo
CCM ni janga la Taifa,wanalazimisha kuwadhoofisha wapinzani wao kwa kuwabambikia na kuwafunga jela.Taarifa kwa Umma : Leo Tarehe 15/2/2022 Mahakama ya Wilaya ya Kyela imemhukumu kifungo cha maisha Gerald Mwakitalu kwa kesi ya uongo ya kuchoma moto nyumba ya mwanaccm kwenye uchaguzi wa 2020 , huu ni ule ule mwendelezo wa hujuma dhidi ya CHADEMA ulioasisiwa na utawala wa awamu ya 5 kwa hisani ya Jiwe.
View attachment 2120559View attachment 2120558
Hata hivyo Chadema - Kyela imeahidi kukata rufaa ili kupambana na hukumu hiyo ya mchongo .
Nakala : PETER KIBATALA
Wewe unazungumzia kuchoma nyumba tu watu wamemuua mawazokwa nini alichoma?Kama kungekuwa na mtu angepona?
Kama alichoma kweli na hakuna kifo, hukumu yake huwa ni uharibifu wa Mali kifungo ni chini ya miaka miwili!! Huyu hakimu hana tofauti na ibilisiHata ingekuwa amechoma hiyo nyumba, kifungo cha maisha ni ridiculous na inhumane. Hukumu itaeleweka kama uchomaji huo ulisababisha kifo au vifo. Kama hakuna aliyejeruhiwa au kupoteza maisha, hukumu kama hizi ni za kukomoana tu.
Amandla...
Uwongo na chuki zenu zisizo na sababu za kweli kwa Rais Hayat Magufuli zinawatenganisha na uwepo wa Mungu. Mnachelewesha hatima zenu kwa mambo ya kipumbavu kama haya ya kila kitu mnamsingizia Magufuli. Kama ni Magufuli sasa amekufa, nini kinachofanya malaika waliopo wasitende haki?
Unaweza ukamshawishi hata shetani akuamini kwamba Mwangosi alipigwa bomu wakati wa Magufuli? Onyesheni uungwana na ukweli ili muaminike.
Hayu alipong'olewa kucha na meno na watu wasiojulikana, ilikuwa enzi ya Magufuli?
View attachment 2120648
Wkati huyu analipuliwa bomu akiwa kati kati ya polisi na RPC akiwepo ilikuwa enzi ya Magufuli?
View attachment 2120650
Kumwongezea makosa Magufuli ambayo si yake ni laana kwenu.
Haya hapa chini yameanza kutokea wakati wa Magufuli?
Na mfahamu, msipoonyesha kujua chanzo cha matatizo ya Tanzania na kubakia na huo ujingaujinga, msidhani kuna mtu atadiriki kuwaamini. Watu wajinga waiolielewa taifa hawawezi kuleta mabadiliko yoyote chanya na ya maana kwa sababu ni wajinga.
Hata ingekuwa amechoma hiyo nyumba, kifungo cha maisha ni ridiculous na inhumane. Hukumu itaeleweka kama uchomaji huo ulisababisha kifo au vifo. Kama hakuna aliyejeruhiwa au kupoteza maisha, hukumu kama hizi ni za kukomoana tu.
Amandla...
Kuna watu mlizaliwa akili haipo mama zenu walitoa uchafu tu leba ange! ange! Ndiyo nini?😎
Hakuchoma na wala hakuna kifo
Na nani?Chadema wauawe
Acha kutaja majina ya watu mkuu...Mnataka muuwe wangapi ? ben saa8 na mawazo hawatoshi ?