Kyela: Wananchi wachachamaa , wataka Meya na Mkurugenzi wakamatwe , yumo pia diwani mmoja , Mwakyembe naye atakiwa kuhojiwa

Imbombo inghafu!
 
Safi sana chama langu CCM na serikali ya awamu ya 5. Kufuata sheria kuna chelewesha maendeleo!
 
Safi sana chama langu CCM na serikali ya awamu ya 5. Kufuata sheria kuna chelewesha maendeleo!
Unaweza kuainisha maendeleo yaliyopatikana kwa kuvunja sheria ?
 
Jaffo asipoingilia kati hili suala Kyela itaripuka vibaya sana !
 
Aiseee !!!
Hilo eneo ni Mali ya CCM halmashauri waliliomba kwa masharti watu wajenge halafu baadaye lirudishwe kwa CCM muda wa mkataba ukiisha.Mkataba umeisha .Ukipanga muda ukiisha utadai jengo la kwako?
 
Hilo eneo ni Mali ya CCM halmashauri waliliomba kwa masharti watu wajenge halafu baadaye lirudishwe kwa CCM muda wa mkataba ukiisha.Mkataba umeisha .Ukipanga muda ukiisha utadai jengo la kwako?
Wewe mtu wa Geita mambo ya Kyela unayajulia wapi , halafu kama hilo unalosema lina ukweli wowote kwanini hizo nyaraka zisiwekwe hadharani ?
 
Wewe mtu wa Geita mambo ya Kyela unayajulia wapi , halafu kama hilo unalosema lina ukweli wowote kwanini hizo nyaraka zisiwekwe hadharani ?
Mkataba ni Kati ya mwenye nyumba na mpangaji.Kitakachowakuta hao watu wenu Mungu ndie anajua.Wanashabikia jambo wasilolijua vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…