Kyiv nako si shwari, Askari wa Jeshi la Urusi watishiwa usalama wao

Kyiv nako si shwari, Askari wa Jeshi la Urusi watishiwa usalama wao

Putin alijichanganya sana kwenye hii vita. Ogopa sana watu wanaoitwa mabeberu, wanaakili mingi sana.

Putin kajichanganya kajaa, huu ni mwaka wa ngapi bado anapigana vita na nchi ndogo kama Ukraine?

China aliliona hili kwa Taiwan ndiyo maana akakaa kimya. Vita ina gharama sana.

Wakijashituka Marekani bado yupo namba 1 na anaendelea kuwawekea vikwazo tu.
1. Vita ni sawa na kuruhusu panya ghalani utashtuka baadae kuwa nafaka zimeharibiwa

2. Russia anaona western anamuogopa kumbe anapimwa uwezo

3. Ameachwa ajidai sana mwishowe watamuua kama Sadam na Gadafi.

Kamwe Putin hatochomoka
 
Jifariji.
Hana huo ubavu wa kupigana na nchi 30+
Hapo Beberu anamzoom tu mwisho wa siku Marekani atakuwa amemzidi mbali sana kiuchumi na vikwazo vitakuwa pale pale.
Unajua Putin anatumia kiasi gani kwenye vita? Unajua Wagner group walikuwa wanalipwa kiasi gani cha hela? Ndiyo utajua kwenye hii vita Putin amejichanganya. Ndiyo maana ameingilia Afrika kuiba dhahabu na Almas kuziba gepu ila bado kadoda.
China kwa Taiwan aliliona hili, sasa hivi yupo bize na kuzalisha bidhaa.
Russia na China, Russia ilikuwa nchi yenye nguvu kuliko China ila sasa km wanalingana au amezidiwa. Tunakoelekea China atamuacha mbali sana kiuchumi na kijeshi. Muda utaongea

Tupe mchanganuo wa cost na mimi nikupe za Ukraine icluding NATO
 
Bongo bana yaan mtu anaelezea mambo ya Jeshi kumbe hata hela ya kula Hana au kalala kwenye kochi la shemeji yake

Shauri yenu siku zenu zimekaribia kufurushwa sebuleni kwa shemj
 
1. Vita ni sawa na kuruhusu panya ghalani utashtuka baadae kuwa nafaka zimeharibiwa

2. Russia anaona western anamuogopa kumbe anapimwa uwezo

3. Ameachwa ajidai sana mwishowe watamuua kama Sadam na Gadafi.

Kamwe Putin hatochomoka
Utoto unakusumbua dogo
 
Jifariji.
Hana huo ubavu wa kupigana na nchi 30+
Hapo Beberu anamzoom tu mwisho wa siku Marekani atakuwa amemzidi mbali sana kiuchumi na vikwazo vitakuwa pale pale.
Unajua Putin anatumia kiasi gani kwenye vita? Unajua Wagner group walikuwa wanalipwa kiasi gani cha hela? Ndiyo utajua kwenye hii vita Putin amejichanganya. Ndiyo maana ameingilia Afrika kuiba dhahabu na Almas kuziba gepu ila bado kadoda.
China kwa Taiwan aliliona hili, sasa hivi yupo bize na kuzalisha bidhaa.
Russia na China, Russia ilikuwa nchi yenye nguvu kuliko China ila sasa km wanalingana au amezidiwa. Tunakoelekea China atamuacha mbali sana kiuchumi na kijeshi. Muda utaongea
Bado ni mtoto kwenye hawa mambo
 
Proganda. Wanacheza na maneno tu hapo.

Sheria ya kuuliwa ukisaliti siyo ya leo wala jana. Hiyo ni sheria ya majeshi yote duniani.
Swali kubwa la kujiuliza hapa ni kwanini wanajeshi wa urusi wamekosa ari ya kuendelea na vita na badala yake waamua kutoroka mbele kwa mbele hii ndio hoja hapa
 
Proganda. Wanacheza na maneno tu hapo.

Sheria ya kuuliwa ukisaliti siyo ya leo wala jana. Hiyo ni sheria ya majeshi yote duniani.
Proganda ni neno la kabila Gani?
Hivi wewe shuleni ulisomea ujinga?
Kama kiingereza hujui sio lazima kuandika kiingereza.
Na kama kiswahili hujui basi andika kikabila chenu.
 
Putin alijichanganya sana kwenye hii vita. Ogopa sana watu wanaoitwa mabeberu, wanaakili mingi sana.

Putin kajichanganya kajaa, huu ni mwaka wa ngapi bado anapigana vita na nchi ndogo kama Ukraine?

China aliliona hili kwa Taiwan ndiyo maana akakaa kimya. Vita ina gharama sana.

Wakijashituka Marekani bado yupo namba 1 na anaendelea kuwawekea vikwazo tu.
Mkuu , upewe maua YAKO, PUTIN alikosea sana , Alinogewa kuichukua Creamia
 
IMG_8493.jpeg
 
Back
Top Bottom