Kyiv nako si shwari, Askari wa Jeshi la Urusi watishiwa usalama wao

Kyiv nako si shwari, Askari wa Jeshi la Urusi watishiwa usalama wao

Mkuu , upewe maua YAKO, PUTIN alikosea sana , Alinogewa kuichukua Creamia
Putin ametumia pesa nyingi sana kuwalipa Wagner group na ukiangalia haiingizi chochote pale Ukraine, dhahabu hakuna wala mafuta.
Walikuwa wanalingana kiuchumi au alikuwa amemzidi China kiuchumi ila sasa China anamzidi kiuchumi Urusi.
Na Urusi asipoangalia, China atakuwa amemzidi kiuchumi na kijeshi mbali sana. China ilishituka kwa Taiwan ndiyo maana amekaa kimya.
Russia vs Ukraine (Marekani, Uingereza, Ujerumani & Ufaransa). Putin hakusoma huu mchezo
 
Huo ni ujinga uliopea.Hata Iraq na Afghanistan walipigana na nchi nyingi tu kwa uvupumba wao na kutaka kujionesha ni mahodari.Mwisho wake?
Mkuu Russia siyo Iraq wala Afghanistan.
Yanayo endelea Ukraine ni tofauti unayo ambiwa na vyombo vya habari pande zote.
 
Back
Top Bottom