1. Vita ni sawa na kuruhusu panya ghalani utashtuka baadae kuwa nafaka zimeharibiwaPutin alijichanganya sana kwenye hii vita. Ogopa sana watu wanaoitwa mabeberu, wanaakili mingi sana.
Putin kajichanganya kajaa, huu ni mwaka wa ngapi bado anapigana vita na nchi ndogo kama Ukraine?
China aliliona hili kwa Taiwan ndiyo maana akakaa kimya. Vita ina gharama sana.
Wakijashituka Marekani bado yupo namba 1 na anaendelea kuwawekea vikwazo tu.
Jifariji.
Hana huo ubavu wa kupigana na nchi 30+
Hapo Beberu anamzoom tu mwisho wa siku Marekani atakuwa amemzidi mbali sana kiuchumi na vikwazo vitakuwa pale pale.
Unajua Putin anatumia kiasi gani kwenye vita? Unajua Wagner group walikuwa wanalipwa kiasi gani cha hela? Ndiyo utajua kwenye hii vita Putin amejichanganya. Ndiyo maana ameingilia Afrika kuiba dhahabu na Almas kuziba gepu ila bado kadoda.
China kwa Taiwan aliliona hili, sasa hivi yupo bize na kuzalisha bidhaa.
Russia na China, Russia ilikuwa nchi yenye nguvu kuliko China ila sasa km wanalingana au amezidiwa. Tunakoelekea China atamuacha mbali sana kiuchumi na kijeshi. Muda utaongea
Hata nikileta mifano elf kumi, hauwezi kunielewa. Sababu ni moja tu, sio kitu unachopenda kukielewa!Naona unajifariji.
Unaweza kuilinganisha Russia na Israel?
Tafuta mfano mwingine huenda nikakuelewa
Actualy haipigani na nchi hata mbili. Inapigana na ukraine tu.
Hizo nchi 30 zinatoa msaada tu kwa ukraine lakin hawajapeleka officialy full military troops zao
Utoto unakusumbua dogo1. Vita ni sawa na kuruhusu panya ghalani utashtuka baadae kuwa nafaka zimeharibiwa
2. Russia anaona western anamuogopa kumbe anapimwa uwezo
3. Ameachwa ajidai sana mwishowe watamuua kama Sadam na Gadafi.
Kamwe Putin hatochomoka
Masawe hebu ukanywe mbeke kwanza haya huyawezi😂😂Utoto unakusumbua dogo
Bado ni mtoto kwenye hawa mamboJifariji.
Hana huo ubavu wa kupigana na nchi 30+
Hapo Beberu anamzoom tu mwisho wa siku Marekani atakuwa amemzidi mbali sana kiuchumi na vikwazo vitakuwa pale pale.
Unajua Putin anatumia kiasi gani kwenye vita? Unajua Wagner group walikuwa wanalipwa kiasi gani cha hela? Ndiyo utajua kwenye hii vita Putin amejichanganya. Ndiyo maana ameingilia Afrika kuiba dhahabu na Almas kuziba gepu ila bado kadoda.
China kwa Taiwan aliliona hili, sasa hivi yupo bize na kuzalisha bidhaa.
Russia na China, Russia ilikuwa nchi yenye nguvu kuliko China ila sasa km wanalingana au amezidiwa. Tunakoelekea China atamuacha mbali sana kiuchumi na kijeshi. Muda utaongea
Swali kubwa la kujiuliza hapa ni kwanini wanajeshi wa urusi wamekosa ari ya kuendelea na vita na badala yake waamua kutoroka mbele kwa mbele hii ndio hoja hapaProganda. Wanacheza na maneno tu hapo.
Sheria ya kuuliwa ukisaliti siyo ya leo wala jana. Hiyo ni sheria ya majeshi yote duniani.
Kwanini hawapeleki kama walivyofanya kwa Hamas?
Banduka sebuleni kwa Shemj Ndg siku dada anatimuliwa utatimuliwa mchanaMasawe hebu ukanywe mbeke kwanza haya huyawezi😂😂
Mbona huondoki kwa bibi mangi?Banduka sebuleni kwa Shemj Ndg siku dada anatimuliwa utatimuliwa mchana
Apaa itaridoo
Proganda ni neno la kabila Gani?Proganda. Wanacheza na maneno tu hapo.
Sheria ya kuuliwa ukisaliti siyo ya leo wala jana. Hiyo ni sheria ya majeshi yote duniani.
Mkuu , upewe maua YAKO, PUTIN alikosea sana , Alinogewa kuichukua CreamiaPutin alijichanganya sana kwenye hii vita. Ogopa sana watu wanaoitwa mabeberu, wanaakili mingi sana.
Putin kajichanganya kajaa, huu ni mwaka wa ngapi bado anapigana vita na nchi ndogo kama Ukraine?
China aliliona hili kwa Taiwan ndiyo maana akakaa kimya. Vita ina gharama sana.
Wakijashituka Marekani bado yupo namba 1 na anaendelea kuwawekea vikwazo tu.
Wanajeshi wangapi wa hizo nchi 30+ wamekufa vitani mpaka sasa??Russia anapigana na nchi 30+ lkn bado kete zake zinasonga
Nina akina Masawe 10 ninawalea hapa we boyaBanduka sebuleni kwa Shemj Ndg siku dada anatimuliwa utatimuliwa mchana
Apaa itaridoo
Na huo Uwezo tu hawanaActualy haipigani na nchi hata mbili. Inapigana na ukraine tu.
Hizo nchi 30 zinatoa msaada tu kwa ukraine lakin hawajapeleka officialy full military troops zao
Umesahau na hizo zote zina eneo dogo kuliko urusRussia anapigana na nchi 30+ lkn bado kete zake zinasonga