Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Kwa hiyo wanawake na wanaume matasa nao ni mashoga kisa hawazaliani?

Fungua akili yako acha kukariri sana,

Nakupa homework, nenda kasome masuala ya Sexuality na Gender Identity,

Ukishaipata hiyo elimu wafundishe na wengine usirudi kwangu.
Umeelewa nilichaondika au umekurupuka kujibu kwa hisia!??

Ulivoikomalia hiyo gender identity sasa!!! Sasa unadhani hawatawatambua hao mashoga kama wanawake ilhali ni wao ambao hufanya hizo surgery na kuupromote ushoga.

Hiyo homework nimeifanya, majibu ni hayo apo.
 
Tukiwaambia ukweli tunaitwa mashoga,
Lakini sitaacha kusema ukweli sababu msema kweli ni mpenzi wa Mungu,
[emoji16][emoji16][emoji16]
Wee msagaji unaukweli gani zaidi yakuongea mashudu?🤣🤣🤣ukute hili lidada Lina miaka 30+ ila limejaa uozo.
 
Sijui nilitaka kuandika nini, ila kwa kweli wanaume tunapoteza identity yetu kila kukicha
 
Povu jingi sana lazima ipo namna sio bure!
 
Nashukuru kwa hilo
Nina tabia moja kila ninaposikia kitu huwa nahakikisha nimesoma Google kama hiyo Habari ina ukweli na haya ndio matokeo

Huyo mleta Mada kaandika uzi bila kujiongeza na hii ni aibu kubwa kukurupuka

Mimi ni mpenzi wa miziki na sports pia na siasa za Dunia huwa hazinipiti

Kama unakumbuka waimbaji wa Bee Gees watatu walikufa na kubaki mmoja Barry
Nae hivi karibuni waliandika sana kuwa amefariki ila ikawa ni hoax
Kabla sija comment nilitafuta Habari za uhakika

Nimewasamehe mpaka walionitukana na mleta Mada pia
 
Mleta mada amekurupuka kweli na amejua kupuyanga sasa anaona aibu kukubali kua alikosea kuleta uzushi humu matokeo yake anatukana watu na kuwaita majina ya ajabu na wafuasi wake kuiponda Google na Wikipedia, mtu anaikataa google wakati habari hizo za uzushi kazitoa huko huko google, [emoji3]

Vioja haviwezi kuisha Tz
 
Nashangaa wewe kusema habari ni ya uongo wakati ni kweli mbape analala na punga
Sasa kwann umtetee mnaajenda gani nyie watu
Kwanini usisome Habari za uhakika
Nitetee ushoga ili iweje
Kwa hiyo kila linaloandikwa utaamini

Barry Gibb wamemtangazia kafa na watu walihuzunika sana maana mpaka blogs nyingi ziliandika na wengi wapenzi wa mziki waliamini

Mimi nilisoma na kuuliza kama ni za kweli kabla ya comments
Ikawa ni uzushi bado yupo

Nakuomba kabla ya kuleta Habari yoyote uliza kwanza is if fake news?

Umenitukana bure

Jana kulikuwa na Habari kwenye news kuwa kutakuwa na mashindano ya ngumi mapunga nao wanapigana na imeingia kwenye sheria kuanzia 2023

WBC wamepitisha haya wao ndio wanawabeba mapunga na kama mtu akiandika haina maana nae ni shoga
 
Sasa ndugu wewe unawakingia kifua hao kina mbape kujihusisha na ushoga tutakiliwaje
 
Bro tafuta pesa acha kuchunguza maisha ya watu wa kwenye mitandao,
Kuna mwenzio huko kaambiwa aanze kulima hata mboga mboga ajikeep busy,
Lol
[emoji38][emoji38][emoji38]
Bila kuwasahau wenye misongo ya mawazo,
Watu wenye shida ya Afya ya Akili utawaona tu kwenye uchangiaji wao, atatumia matusi na lugha za kukera akiamini atapata faraja ya magumu anayopitia,

Basi ni kuwadharau na kuwakwepa.
 
Sijakutukana ndugu yangu ila watu waeupinde wana nguvu sana

Siunaona jukwaani wakishambiliana km nyuki hadi tunaogopa
Kwanini ushoga wa Mbape muukingie kifua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…