Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Duh kumbe ni dume!!!!!!??????

Tatizo maisha yanawachanganya watu, mtu anapigwa na maisha mpaka anaamua ajilipue kuwa shoga liwalo na liwe ilimradi ATM isome na Aishi maisha ya mserereko kama madem wanaohongwa Kwa kuliwa uroda.
Mkuu ni mtihani kwa kweli.
 
Yaan watu wanajuaga kilakitu ni surgery hormony inaweza kukufanya mwanamke dakika sifuri, Ila wabongo wakijua hii wote wataishia kubadilika japo ni garama sana Ila wengi watataka uraisi na watakufa sana
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mwanamke anakuwaje shoga?
 
Halali mesi awe anapendwa na kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…