cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
Cheusi nitakubatiza jina la 'balozi wa mawigi'.
teh teh teh haina noumarrr :biggrin1:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheusi nitakubatiza jina la 'balozi wa mawigi'.
teh teh teh haina noumarrr :biggrin1:
teh teh teh haina noumarrr :biggrin1:
Ninahamu ya kuona wigi lako linakukaaje au wewe unapigia debe tu lakini huvai?
Dah! sasa kabaki nani? nyinyi kinamama ndio mnaosababisha global warming na mawigi yenu. Aaaargh!
hahaha hapo red nimecheka kwa nguvu hadi watu wamekimbia kuja kuona kuna nin,
hakuna aliyebaki mkuu,vyote unavyoona vinangara ujue vimeundwa na mawig:biggrin1:
Ninahamu ya kuona wigi lako linakukaaje au wewe unapigia debe tu lakini huvai?[/QUOT
hivi mbona siwezi kuweka picha,nilitaka kukuwekea picha yangu uione,jamani tokea juzi nikitaka kuweka picha zinatokea vitu vya ajabu,
anayejua why anisaidie.
Ninahamu ya kuona wigi lako linakukaaje au wewe unapigia debe tu lakini huvai?[/QUOT
hivi mbona siwezi kuweka picha,nilitaka kukuwekea picha yangu uione,jamani tokea juzi nikitaka kuweka picha zinatokea vitu vya ajabu,
anayejua why anisaidie.
Hivi unafanana na hiyo avatar yako? Manake duuuu, siyo siri kila nikiiona nashindwa kuzuia udende.
Dah! sasa kabaki nani? nyinyi kinamama ndio mnaosababisha global warming na mawigi yenu. Aaaargh!
Haha hah, imagine ecological footprint ya utengenezaji wa hayo madude! Halafu waathirika wakuu ni kinamama masikini wa vijijini ambao huangaika kutafuta Maji kisa mito imekauka effects za global warming; usisahau upotezaji as nguvu kwa kulima Mazao ambayo hukaukia shambani (ukame na aridity)