Mbowe mtoto wa Ikulu. Baba yake mzazi (acha baba wa kumlea) ndiye mwasisi wa CCM, so usitegemee Mbowe kufanyiwa hilo. Lakini pia elewa Mbowe ni mwenza wa CCM. Hiyo ni danganya toto tu.Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:
View attachment 1861723
basi mnakoipeleka hii nchi siko.
Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:
1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.
2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.
"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapendwa haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."
Ninawasilisha.
hakuna mtego wowote hapo, ccm Ni Ile Ile ulitarajia mabadiliko gani miaka nenda Rudi?CCM wamenasa kwenye mtego wa Chadema.
Mnapomzingua mama jua kuna watu wanachukia
Bora Magu kamanda?Huyu mama hatufai hata Magu alikuwa hawezi kuwaachia vijana wafanye wapendavyo. She is so weak.
Kama ni kweli , wapenda haki wote TOKA kila pembe ya tz iwe KWA mguu au KWA gari ,tren,tuelekee Mwanza tukafungwe wote huko, haiwezekani na haitawezekanaKama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:
View attachment 1861723
basi mnakoipeleka hii nchi siko.
Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:
1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.
2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.
"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapendwa haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."
Ninawasilisha.
vita yote hii wanaogopa Katiba Mpya??Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:
View attachment 1861723
basi mnakoipeleka hii nchi siko.
Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:
1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.
2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.
"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapendwa haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."
Ninawasilisha.
walipofanya kongamano Tabata ulishindwa kujenga uchumi wewe kama wewe?Mbowe ni mpuuzi.Anataka nini?
Kwa nini hawataki kuruhusu utulivu ili watu waweze kufikiri ni jinsi gani wataubsdili uchumi?
Haiwezekani kila siku nchi iwe juu juu tu.Akitoka huyu anakuja yule.
Huyu Mbowe anataka kulazimisha chanjo ya covid,ametumwa na nani?
Mbowe mtoto wa Ikulu. Baba yake mzazi (acha baba wa kumlea) ndiye mwasisi wa CCM, so usitegemee Mbowe kufanyiwa hilo. Lakini pia elewa Mbowe ni mwenza wa CCM. Hiyo ni danganya toto tu.
Kama ni kweli , wapenda haki wote TOKA kila pembe ya tz iwe KWA mguu au KWA gari ,tren,tuelekee Mwanza tukafungwe wote huko, haiwezekani na haitawezekana
We sukuma gangHuyu mama hatufai hata Magu alikuwa hawezi kuwaachia vijana wafanye wapendavyo. She is so weak.