La Mwanza: Kwenu Mama Samia na Kamanda Sirro

La Mwanza: Kwenu Mama Samia na Kamanda Sirro

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:

IMG_20210721_070151_506.jpg


basi mnakoipeleka hii nchi siko.

Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:

1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.

2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.

"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapenda haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."

Ninawasilisha.
 
Mwambieni huyo mwamba wenu atulize kitenesi mama ashasema ukimzingua atakuzingua kwani hamkuelewa?
 
Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:

View attachment 1861723

basi mnakoipeleka hii nchi siko.

Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:

1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.

2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.

"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapendwa haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."

Ninawasilisha.
Mbowe mtoto wa Ikulu. Baba yake mzazi (acha baba wa kumlea) ndiye mwasisi wa CCM, so usitegemee Mbowe kufanyiwa hilo. Lakini pia elewa Mbowe ni mwenza wa CCM. Hiyo ni danganya toto tu.
 
Mnapomzingua mama jua kuna watu wanachukia

Kwamba?

"Mnapomzingua mama jua kuna watu wanachukia
."

Anakufahamu kuzinguliwa au anakusikia? Kwani hata kumekuwapo hata jaribio la kumzingua?

Basi na mtege masikio.
 
Hapo hakuna nini wala nini ni maagizo toka juu kuanzia na huyo unayemwita mama japo sina uhakika kama alikuzaa, mpaka na serikali yote. Logic ni ndogo tu hawataki katiba itakayorudisha mamlaka na kumlinda mwananchi.ndio maana wanafanya wanavyotaka mfano watu wanalalamika tozo na Kodi za wizi waziri anajibu shit na hakuna wa kufanya kitu ila kuna siku itafika watajua Tanzania hakuna amani ila ni utulivu tu hapo Sudan maandamano yalianza kama utani watu wanalalamika bei ya mkate lakini kilichotokea serikali ikaanguka
 
Mbowe ni mpuuzi.Anataka nini?

Kwa nini hawataki kuruhusu utulivu ili watu waweze kufikiri ni jinsi gani wataubsdili uchumi?

Haiwezekani kila siku nchi iwe juu juu tu.Akitoka huyu anakuja yule.

Huyu Mbowe anataka kulazimisha chanjo ya covid,ametumwa na nani?
 
Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:

View attachment 1861723

basi mnakoipeleka hii nchi siko.

Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:

1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.

2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.

"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapendwa haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."

Ninawasilisha.
Kama ni kweli , wapenda haki wote TOKA kila pembe ya tz iwe KWA mguu au KWA gari ,tren,tuelekee Mwanza tukafungwe wote huko, haiwezekani na haitawezekana
 
Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:

View attachment 1861723

basi mnakoipeleka hii nchi siko.

Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:

1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.

2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.

"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapendwa haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."

Ninawasilisha.
vita yote hii wanaogopa Katiba Mpya??
 
Mbowe ni mpuuzi.Anataka nini?

Kwa nini hawataki kuruhusu utulivu ili watu waweze kufikiri ni jinsi gani wataubsdili uchumi?

Haiwezekani kila siku nchi iwe juu juu tu.Akitoka huyu anakuja yule.

Huyu Mbowe anataka kulazimisha chanjo ya covid,ametumwa na nani?
walipofanya kongamano Tabata ulishindwa kujenga uchumi wewe kama wewe?
 
Mbowe mtoto wa Ikulu. Baba yake mzazi (acha baba wa kumlea) ndiye mwasisi wa CCM, so usitegemee Mbowe kufanyiwa hilo. Lakini pia elewa Mbowe ni mwenza wa CCM. Hiyo ni danganya toto tu.

Kwamba?

"Hiyo ni danganya toto tu."

Tumesikia, na kwa haya waambieni wanaowatuma atapewa 5 mingine.

Kwamba?

".. Mbowe mtoto wa Ikulu. Baba yake mzazi (acha baba wa kumlea) ndiye mwasisi wa CCM ..."

Hujasikia zile hadithi za kuwa wale wakuu wawili ni baba mmoja na kwamba wewe baba yako mzazi ni punda fulani mbeba mizigo?

Bakieni na hadithi zenu uchwara hizo hapo hapo Lumumba, hatuzihitaji!
 
Kama ni kweli , wapenda haki wote TOKA kila pembe ya tz iwe KWA mguu au KWA gari ,tren,tuelekee Mwanza tukafungwe wote huko, haiwezekani na haitawezekana

Wingi wetu na umoja wetu ndiyo iliyo silaha na ngao yetu.

Hata wakizibadili Stadium zote kuwa magereza waombe na zingine Burundi hawana pa kutuweka.

Shime wana Mwanza na shime wananchi.
 
Back
Top Bottom