[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu umenichekesha sana.Unapoona the bold anachelewa kutuletea updates ujue ni huyu mdada ndio chanzo. The bold akiwa anaandika huyu mdada anakuwa anamsumbua mara amshike mikono, mara amsumbue mabegani, mara amwambie muda wa kulala umefika.... Na ukimuudhi tu huyu mdada hata updates zenyew utazisikia bombani.... usimuudhi huyu mdada tafadhali
mzigo keshatupia mbona hebu check mwanzo pale kuna mwendelezoAisee, kweli mchizi kanasa
Mambo vipi sister langu la ukweli? Nilijoin J.mosi siku ile mikia wamepewa kichapo, sema kidogo muda nao unanibana.Broh mbona kule kwenye 'chit chat' yetu sikuoni?
Kimya kimya au? [emoji6]
Poa broh,tunakukosa bhana.Mambo vipi sister langu la ukweli? Nilijoin J.mosi siku ile mikia wamepewa kichapo, sema kidogo muda nao unanibana.
Hakuna shaka sister, msalimie shem ndiyo nimemaliza kuusoma uzi wake "nice article".Poa broh,tunakukosa bhana.
Uwe unatucheki japo...
Hahahahahaah.!Duuh nilikuwa nimelala...nimeota ndoto ya ajabu. ..nimeamka nimeingia JF kumbe The Bold kanitag...asante.
Ngoja nikaisomemzigo keshatupia mbona hebu check mwanzo pale kuna mwendelezo
Sorry sijui imekuwaje nimesahau..Halafu na whatsap no yako nimechukua please add me
Hadi nimesisimkamkuu next time unitag na mm ,but sitoki hapa nakungojaaaaa
Daahh mie nafikiria hiyo roho ya kinyama namna hiyo wanatoa wapi.......lazima kuna miroho ya kuzimu inawavaa picha nyingine nimeshindwa hata kuangaliaHawajaumbwa hvyo blaki womani ametengenezwa wawe hvyo