onechromosome
JF-Expert Member
- Jul 10, 2014
- 1,243
- 780
Shukrani mkuu,haya mambo yanatisha sana hivi genge la el chapo limesamaratika au bado wanaungaunga kusavaiv?Nitaweka muendelezo soon!
Shukrani Mkuu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuu,haya mambo yanatisha sana hivi genge la el chapo limesamaratika au bado wanaungaunga kusavaiv?Nitaweka muendelezo soon!
Shukrani Mkuu..
Afu mkuu mbn kule umetukaushia tena?Hahahaha..
Ongezea nyama mkuu wengine mbali ya kujifunza tunaburudika na haya makitu.Kaka picha yako ya mwisho unasema nikijana wa los zetas lakini mimi nimekuwa nafuatilia sana mambo mengi na nimefurahi kukutana na huu uzi wako maana mambo haya napenda sana kufuatilia. Ila hiyo picha sio ya los zetas bali ni member wa 18th Street Gang ambao wanajulikana pia kama M18 (tattoo kwenye uso wake ni uthibitisho)
Acha ufala uende peponinahitaji kufuatilia Uzi huu kwa jirani sana. Mimi ni RAIA wa Mexico ila Niko Tz kwa Bahati njema
Naomba nami next time uniweke kwenye TAG LIST YAKO! Mkuu kila unapoachia nondo mpya! Jasusi mbobezi The Bold, huwa sichoki kukusoma.Nitaweka muendelezo soon!
Shukrani Mkuu..
Bold naomba uniongeze kwenye tag list yako kaka, nakubaliana sana na post zako.Hahahahahaah.!
Shukrani..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sijui kwanini ila nimecheka sana.
Shukrani mkuu..Shukrani sana the bold kwa uzi wako makini next timeo nitagg na mimi
[HASHTAG]#shedede[/HASHTAG]
Shukrani sana mkuu..Shukrani mkuu,haya mambo yanatisha sana hivi genge la el chapo limesamaratika au bado wanaungaunga kusavaiv?
Kule inaendelea kila jumanne.. Kwa episode za kika siku whatsappAfu mkuu mbn kule umetukaushia tena?
Shukrani mkuu..Dah hadi mwili unatetemeka asante mkuu kwa historia
Dah pole sana mkuu! Niwie radhi..
Shukrani sana jasusi hahahahNaomba nami next time uniweke kwenye TAG LIST YAKO! Mkuu kila unapoachia nondo mpya! Jasusi mbobezi The Bold, huwa sichoki kukusoma.
Shukrani mkuu.. Nakuongeza Mara mojaBold naomba uniongeze kwenye tag list yako kaka, nakubaliana sana na post zako.