La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

Kaka picha yako ya mwisho unasema nikijana wa los zetas lakini mimi nimekuwa nafuatilia sana mambo mengi na nimefurahi kukutana na huu uzi wako maana mambo haya napenda sana kufuatilia. Ila hiyo picha sio ya los zetas bali ni member wa 18th Street Gang ambao wanajulikana pia kama M18 (tattoo kwenye uso wake ni uthibitisho)
Ongezea nyama mkuu wengine mbali ya kujifunza tunaburudika na haya makitu.
 
Dah hadi mwili unatetemeka asante mkuu kwa historia
 
Pamoja sana mkuu..

Mkuu The bold uzi wa 27/01/2017 nimeusoma leo kwa kweli nimesononeka mkuu. Nimecheck tag list yako nikaona umekosea ID yangu ndio maana sipati notifications. Mimi naitwa mij ila mku umeandika T-@mij ndio maana napitwa na mambo muhimu mkuu. Tafadhali rekebisha mkuu.
 
Mkuu The bold uzi wa 27/01/2017 nimeusoma leo kwa kweli nimesononeka mkuu. Nimecheck tag list yako nikaona umekosea ID yangu ndio maana sipati notifications. Mimi naitwa mij ila mku umeandika T-@mij ndio maana napitwa na mambo muhimu mkuu. Tafadhali rekebisha mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sijui kwanini ila nimecheka sana.
 
  • Thanks
Reactions: mij
STORY HII NIMESOMA KUFIKA MWISHO NIMESAHAU INAHUSU NINI.NITASOMA TENA KESHO KWA UMAKINI
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sijui kwanini ila nimecheka sana.

Pole mkuu Nifah ila mkuu The bold alishanitag hapo awali sasa nikaamua nifuatilie tatizo nini mbona sipati notifications? Ndio nimegundua hiyo kasoro.
 
Shukrani mkuu,haya mambo yanatisha sana hivi genge la el chapo limesamaratika au bado wanaungaunga kusavaiv?
Shukrani sana mkuu..

Genge la El Chapo (Sinaloa Cartel) bado lipo ingawa haliko strong kama alipokuwepo mwenyewe kabla hajakamatwa.. Kwa sasa kimegubikwa na vita ya ndani kwa ndani ya wenyewe kugombea madaraka ya juu ya kuongoza genge.!
 
Mkuu The bold uzi wa 27/01/2017 nimeusoma leo kwa kweli nimesononeka mkuu. Nimecheck tag list yako nikaona umekosea ID yangu ndio maana sipati notifications. Mimi naitwa mij ila mku umeandika T-@mij ndio maana napitwa na mambo muhimu mkuu. Tafadhali rekebisha mkuu.
Dah pole sana mkuu! Niwie radhi..
Narekebisha hill kosa Mara moja!!
 
  • Thanks
Reactions: mij
Back
Top Bottom