La Wydad Simba day halitawezekana, leteni wengine wakali ndani ya top 20 za CAF

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Yes mmetuma barua ya maombi tarehe 8 /08 waje simba day lakini haihitaji kuwa rocket scientist with PhD kujua kwamba hilo haliwezekani kwani majamaa wana super cup vs Berkane kama sikosei ni tarehe 11/08

Ligi ya Misri ndiyo inaelekea kuisha sidhani kama kuna team itapatikana huko maana lazima waparangane na usajili na kuwapa mapumziko wachezaji wao

Sasa viongozi wa simba wekeni nguvu huku basi..angola...Guinea..Tunisia ikishindikana turudi tu kwa mazembe maana ile match ya last year ilikuwa tamu sana kuona ufundi wa Zemanga soze tunataka kina Apkan, kiyombo,kapama wakutane na mafundi wa kweli

Chondechonde msije mkarahisisha mambo kwa kukimbilia Burundi, Rwanda, kenya au zambia kwa kigezo kwamba it is just a friendly match leteni team iliyopo top ten africa au top 20 ikishindikana zaidi ya Tunisia kwa Esperance au Etoile du sahel ,Guinea kwa Horoya,Angola kwa Petro atletico,congo kwa mazembe basi hata Sudan basi kwa Al hilal.
 
Simba hata kama MO angekuwepo haina uwezo wakuileta timu yoyote kubwa barani Afrika, labda TP Mazembe ya miaka ya karibuni kwakua kwasasa timu Yao inaendeshwa kama zetu. Wakati Tp Mazembe Ipo kwenye ubora wake isingeweza Kuja kucheza mechi ya kirafiki Tanzania. Jipangeni muwa alike Igo nor ya Burundi ao wata wafaa.
 
Mkuu umekuwaje tena wajameni? Kwenye uzi wa Red arrows kuja yanga day ulisema ukubwa team siyo issue hata Mtibwa wanafaa hapa tena unaikandia Mazembe mimi nazungumzia teams zilizoko top 20 afrika Mazembe ni y a7 bado ni ndogo hiyo juzi tu ilikuwa nusu fainali Afrika
 
Hizo timu kubwa usifikiri zinakuja kujifurahisha na utaziweka pate Mtogole gest, Hizo timu zikija zinakaaa hoteli kubwa kuanzia nyota 4/5. Wakija idadi yao hawapungui watu 50 na kwasasa MO hayupo wamebaki viongozi chupri nani hatamudu hizo gharama.

Kwakuwa ni mechi za kutafuta fitness hata Igor nor watawafaa.
 
Mac Alpho Wewe inaonekana hujitambui ivi una amini Simba wanaweza kuwaleta Wydad Casablanca au Ahly aje acheze mechi ya kirafiki Dar? Labda wangetokea wadhamini wa kufanikisha Dili ilo sio awa viongozi waliokuja na mbio za mwenge.

Ili uvunje ratiba za ao vigogo wa Afrika inatakiwa fedha kubwa ya kuwashawishi wabadili utaratibu walio upanga. Nendeni Burundi mtapata timu ya kuialika.
 
Red arrows watalazwa stendi ya Magufuli? Au gesti za 5000?
 

 
Red arrows vipi mkuu? tusaidieni basi jinsi mlivyowapata? Dah tutakoma mwaka huu MO katukimbia tumeenda kwenye miwa Misri, hatuna kitu kabisa bora tu save gharama mkiwaleta red arrows tucheze nao haohao au kwa kuwa Mazembe ni team ndogo kuliko red arrows labda wale tunaweza kuwaleta.
 
zambia haiwezekani mkuu? tusaidieni basi..dahmwaka huu tutakoma jamani..uongozi wetu hamna kitu kabisa..red arrows mliwapatajepataje?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Da Joy unateseka ukiwa wapi???
 
zambia haiwezekani mkuu? tusaidieni basi..dahmwaka huu tutakoma jamani..uongozi wetu hamna kitu kabisa..red arrows mliwapatajepataje?
Viongozi wenu wafanye mambo katika uhalisia wake na nyinyi mashabiki lialia mjiongeze. Ligi ya Misri inaisha mwishoni mwa mwezi August.
Kila baada ya Siku 4 timu inacheza mechi, mnadanganywa Simba itapata mechi ya kirafiki na Moja ya vigogo pale Misri na baadhi ya Mashabiki wana amini uo upuuzi.
Kitu ambacho kina uhalisia, Simba itapata mechi za kirafiki Kwa timu za under 20 au washona viatu au masela tu kikubwa wachezaji wanatakiwa wapate dk za kucheza miiliyao ikae sawa Kwa mashindano yajayo.
 
na kuwaleta mazembe itawezekana sababu wanaendeshwa kisela kama simba....red arrows mliwapatajewapataje? senzo genius sana kwa kweli
 
na kuwaleta mazembe itawezekana sababu wanaendeshwa kisela kama simba....red arrows mliwapatajewapataje? senzo genius sana kwa kweli
Kwasasa Mazembe, As Vita, Red Arrows n.k unapiga simu tu na unapewa jibu la kukubali hapohapo . Barua itafuata baadae , hakuna Cha bodi kujadili Wala vikao vya kutathmini mwakiko.
Unawaweka pale Taifa uwanjani hotel hawana shida.
 
Ikiwa timu imeemda kambi misri kukaa kwa zaidi.ya wiki moja au mbili watashindwa kivipi kuwaleta watu wakae siku 2 au 3.? Tumia hilo fuvu vzr sio.unaandika vitu vya ovyo una umri gani.?
 
Ikiwa timu imeemda kambi misri kukaa kwa zaidi.ya wiki moja au mbili watashindwa kivipi kuwaleta watu wakae siku 2 au 3.? Tumia hilo fuvu vzr sio.unaandika vitu vya ovyo una umri gani.?
Wewe ndio utumie ilo fuvulako vizuri, Kama hujui ata fedha ya Kambi ilipo toka Mimi siwezi kukusaidia. Walio karibu na Uongozi wanajua Nini kimefanyika Mimi siandiki Ili kuwa vunja moyo mashabiki wasio fahamu Nini kimefanyi Ili timu iweke Kambi Misri.
Inatosha jamii kufahamu timu Ipo pre sison Mengineyo hayama tija.
 
Tupo tunafanya mpango wa moro united....
Simba ndio timu pekee bongo iliwahi alika vigogo mbalimbali wa Africa.
Yanga embu jaribuni na nyie sio Kila siku moro united
 
Sawa wewe tajiri unaejua ilikotoka. 🤣🤣🤣 umekaza shingo huku kuandika mauongo kudanganya wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…